Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Kunywa soda kreti kwa mangi ntalipa. Asantee
 
Cc Zemanda usisahau na Hii
 
Mazaa kawaka kichizi ataki kujua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
Kunywa soda kreti kwa mangi ntalipa. Asantee
☺ Asante huo ndo ukweli, mwanamke bila kujitegemea kiuchumi hunyanyasika sana na wanaume wanaotumia mwanya wa matatizo yake kujinufaisha wao na tamaa zao,

Hata nikipata mtoto wa kike nitamlea katika misingi ya kumheshimu mwanaume ila pia ni lazima ajue kutafuta hela ili kutotegema Mwanaume kiuchumi,

Kumtegema mwanaume kiuchumi ni anguko kubwa sana kwa wanawake wengi, Nafurahi kuona kizazi hiki kimeushtukia huo mtego na wameanza kujinasua.....hiki ni kizazi chenye akili sana. Nikiwa kama Mwanaume naunga tu hoja bora mwanamke ajitegemee kiuchumi ili kukwepa manyanyaso madogo madogo na kunajisiwa kwa kutumia udhaifu wa kutojiweza kiuchumi kwa mwanamke.
 
Ndo wanaamini ili mwanaume awe amekamilika basi akifika nyumbani kila mtu atetemeke kuanzia mama, watoto hadi mapazia. Yani wana inferiority complex ya kiwango cha juu
 

Baambie baelewe. In GenZ kila kitu ni pesa, nani atakupa pesa for the rest of your fycking life huh!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Fortunately nimewahi pata bahati ya kupewa hela, kiasi fulani cha pesa " Significant " Asikwambie mtu hela ya mwanamume ina masharti jamani yale ya IMF yana nafuu 🀣🀣 Au labda mi nina bahati mbaya, na utii wangu pia una mushkeli.?
 
Halafu bora hata angekuwa na hoja sasa, akiona ameshindwa hoja anaanza kutafuta tuvikauli twa kujifariji na kukushambulia ili uonekane huna hoja na una matatizo, kifupi jamaa ni bingwa wa kujitafutia points za ushindi nje ya mada huo ndio ujanja wake
Saa nyingine anajaribu kuprove a point kwa kwenda extreme, atakualika nyumbani kwake,yuko tayari kulipa kiasi chochote cha pesa kama akiprove hivi au vile....huyu desperado is sick...wala sibishani ni ukweli anaumwa mentally....
 
Saa nyingine anajaribu kuprove a point kwa kwenda extreme, atakualika nyumbani kwake,yuko tayari kulipa kiasi chochote cha pesa kama akiprove hivi au vile....huyu desperado is sick...wala sibishani ni ukweli anaumwa mentally....
Wewe ni mke wa yule jamaa mwandishi wa vitabu vya ujasiriamali somebody makirita amani sijui..???!
 
Alichokieleza mleta uzi ni wewe huyu huyu umejaa mabishano,upo kishari,kisarani njenje!
pole sana jikedume
 
mkuu umefanya research kati ya ndoa 5 zinazofungwa ndani ya miaka mitano zinadumu ngapi?

Hao single mother nikweli wanaolewa sana tu lkn hawadumu pia. nenda kwa sngle mothe mwenye watoto 3 uliza kama wote ni wababa mmoja jibu ni hapana au ni nadra sana.


ukweli ni kwamba 50-50 imeathiri sana
 
My guy you re better than this.... this is a dumb writing

1. Nna first hand experience ya psychiatric wing, as of then wanawake wengi watu wazima waliokua wanachukua dawa sababu ya mahusiano ilikua ni sababu ya stress za kushindwa kuachilia toxic marriages sababu ya sababu mbalimbali ESPECIALLY WATOTO

2. Most men hawanywi antidepressants but huko duniani ambako hili swala limeshika kasi ndo wanaongoza kwa SUICIDE mfano UK wanaume 18-45 yrs are likely to die by SUICIDE THAN ANY OTHER REASON

3. Ukienda CTC pale kwenye grid ya taifa couple ambazo mwanamme anakunywa dawa mama mzima ni nyingi kuliko mama anakunywa ARV then baba hanywi... lakini huko mbele sidhani kama kutakua na mtu wa kuishi na mume muathirika wakati yeye ni mzima

HII VITA HAINA FAIDA KWA UPANDE WOWOTE LAKINI MEN ARE MORE AT A LOOSING END

1. Mwanamke ni social being , a divorced woman ana support kubwa socially kuliko mwanaume
2. Utampa mimba mwanamke lakini watoto are more likely kuishia na yeye unless dishi limeyumba
3. Ni rahisi mwanamke wa miaka 30 ambae hajaolewa kukaa nyumbani bila masimango especially akiwa na kazi kuliko mwanaume at the same circumstance, sasa nyumbani kuna community it's hard to be lonely
4. Mwanaume mpweke ni rahisi kuwa mlevi na kuwa malaya, uchumi na afya vikiyumba basi he is more likely kujiua tu lakini mwanamke mpweke sanasana atakimbilia kanisani na hospitali kama ana elimu kidogo, akifika huko support ni kubwa mno bado marafiki, ndugu na jamaa
5. Kwenye hii dunia yenye vijana marioo, wajane wengi wenye uwezo hawatokua lonely, as much as mwanaume anaweza oa kibinti na mjane anajichukulia kimarioo life goes on, tunawaona wakina shishi wanabadili vijana tu

SO HOPEFULLY MNABISHANA HUMU MITANDAONI LAKINI GROUND MNA COMPANIONSHIPS HEALTHY SABABU MWISHO WA SIKU A HEALTHY RELATIONSHIP IS GOOD FOR THE SOUL, BODY AND SPIRIT AND ITS A BONUS KUENDELEA KUJAZA DUNIA KWA WATOTO WENYE AKILI TIMAMU
 
kwenye mshono ple ple acha wahusika povu liwatoke kama wamenyweshwa foma
 
Kwahiyo 50/50 ndo sababu pekee ya single mothers wengi tz? Wanaume wanavyotelekeza watoto hawana makosa! Punga we
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Na bado. Hadi mseme. Mmezoea wanawake wengi jf wanawanyenyekea! Wakati watu wenyewe wengi wapumbavu
Sisi tumebahtika kuoa wanawake sio majike dume kama wewe!!
Na hii ikanifanya niandike wosia mapema Nikifa MkeWangu Asiolewe
kazi yake ni mama wa nyumbani mlezi na mlinzi wa family.

kilichobaki sasa kwa wasio jielewa kama nikuomba papuchii kwa lugha zote akinpa tu napita ndukii kama upepo no kwa heri tena πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…