Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Well presented, huwa tunasema humu wanadhani tunawachukia, kimsingi dunia haiko fair, na haiko fair zaidi kwa mwanaume. Na kwasababu wanaume ni waume zetu, ni ndugu zetu, kaka na wadogo zetu, tunawapaga situation ilivyo kwa ground ila wanatujibu kwa "Ego", ulishawahi kuona mtu amenyamaza ila ego inaongea??

Ukiwaambia utasikia mwanaume tafuta hela, Tunza kibunda, very well and fine, mi napenda kuwaambia "mnaona wanaume wanaozurura uzeeni? Sio kwamba enzi zao hawakutafuta pesa, pesa unaweza tafuta na usipate, kimbilio pekee likawa familia uliyoitreat vizuri enzi ukiwa na nguvu..... SOMETIMES naona tunaargue na watoto humu ambao may be hawaelewi mambo yalivyo kwa ground, au waliojaa false hope/delulu.

Maisha yana misingi yake, na somehow huku Africa uzeeni misingi inamfavour KE.
 
Umenichekesha eti masharti ya IMF 🤣😁🤣
 
Ungekua unatumia kichwa cha juu kuwaza ungeona comment yangu inayosema kuhusu mwanamke alitangulia kufa inakuwaje ila kwa kuwa una bichwa limejaa kamasi sina mda wa kukuelezea.
Unalinganishaje sasa kamasi na bao za multiple gangbangers ulizopitia hadi zimekujaa mwilini unakuwa na jazba za kuachwa? [emoji848]
 
Watajua hawajui.

Nna binamu yangu nimeona leo ame-post ”birthday loading” keshokutwa hapo anagonga 50 akiwa single parent mtoto aliyezaa na mume wa watu yani yupo fully stressed huku early 2003 kuna jamaa alidondosha chozi akimlilia amuoe yeye akamkataa.
 
Mawakili peke yao ndo wanaozijua kuta za mahakama? We unanyonya bado ukishiba maziwa unapiga kelele
Of course nanyonya maziwa ya mke wangu mwanamke anayejielewa, na nikifika climax lazima niachie shuzi na ukelele kama simba dume kwa nguvu hadi majirani wanatamani kupiga simu TANAPA kuwaambia kuwa Mufasa wa Serengeti yupo kwenye makazi ya watu.
 
Umeshasema wazungu. Wazungu wanapractice vitu kiprofessional. Mwanamke mnaweza toka out lakini ikifika muda wa kulipa bill atazama mfukoni kuta bill na hatochukulia sijui yeye ni mwanamke basi alipiwe never.

Ila njoo bongo, mkeo hata alipwe milioni kumi wewe million moja anakwambia its romantic for a man to pay kumbe wizi mtupu.

Upande wa management please usiongelee jambo ambalo halijawahi kukukuta. Uliza waliowahi fanya kazi chini ya maboss wanawake watakwambia. Mimi nimeshapitia so ninaongea nilichokiona sio tu kuambiwa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu you don't want peace,you want violence always!!
I want violence [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona ninyi ndio mlio experience hayo mambo maana ndio mlikuja kupinga tulipohoji why 50/50 ina haribu badala ya kuimarisha ustawi wa jamii.

Sasa ukisema sisi sijui tunatesa wake zetu wakati ametoka kunipigia hapa kuniuliza kwamba nakuja kula muda si mrefu aweke mezani au aweke kwenye hotpot hadi nirudi baadae.

Sasa sijui unaongelea akina nani na watu tuna amani tele kwenye mahusiano yetu changamoto ni za kawaida tu tunalaumiana tunaongea them we make up.

Kazi unayo single feminists probably single mother or maybe miserable sadist woman. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole.
 
Asee we jamaa utakuwa na tatizo mahali siyo bure, trust me you are a pyschopath in denial, you need some serious help..pathetic!!
Psychopath my foot. I have exposed you. And now you are upset that i can smell your cheap talk.

Nataka mtanange na wewe mic kwa mic nikukalishe flat level.
 
Maboss wa kibongo wengi ni wanyanyasaji, iwe ke au me.
 
He is psychopath...hamjamjua tu? Yeye ana devote time na resources zake ( bando) kumjibu kila mtu mwenye ID ya kike kwenye mada zinazohusu wanawake/50/50. Yaani humuoni kwenye mada zingine kama sio upunguwani ni nini?
Nilikuwa sijui kuwa ni fan wangu, anyways, sasa kama mimi ni psychopath, what does it make you, following up on my tendencies and habits? Mis detective Anita Makirita, we should get a drink together sometime when you are free mmmmmmhmn?
 
Sasa si useme tu kuwa unataka kuwa mdangaji mbona unazunguka sana.
 
Halafu bora hata angekuwa na hoja sasa, akiona ameshindwa hoja anaanza kutafuta tuvikauli twa kujifariji na kukushambulia ili uonekane huna hoja na una matatizo, kifupi jamaa ni bingwa wa kujitafutia points za ushindi nje ya mada huo ndio ujanja wake
Wapi wewe acha maneno ya kujifanyia skimming wewe.
 
Huyo ni taaira wa kidigitali
Unajitag mwenyewe ili tuone ni watu wawili acha bange wewe. Unakuwa na ma'account double ya kazi gani unasumbuliwa na multiple personality disorder?[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…