Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

One thing men should know. YOU ARE NOT DOING A FAVOR MARRYING WOMEN! Ni kwasababu tunategemeana.

Huwa mnalichukulia hili suala la ndoa kama msaada hivi! Utaskia si ashukuru flani kamstiri!

Wanawake wangapi wanastiri mashoga na watu wasio na uwezo wa kupandisha jongoo kwenye mtungi, ila mwanamke anahangaika sijui na dawa za kimasai ili we punda uitwe baba. Saizi mnanguruma huku.

Kama mna uwezo sana si mzalishane wenyewe wanaume kwa wanaume. Mpite labor mkaone shughuli yake. Mnachukulia wanawake ni kama voodoo dolls ya kutoboa toboa tu. A whole head passed through my vagina, I created a brain and oh a title for you ungrateful set of lunatics to be called fathers eti leo mnajifanya mnakashfu wanawake.

I call out gays in every men who talk down on women. Kaeni na wake zenu ndo muwaachishe kazi. Kwani lazima kila mtu awe kama mama ako au mkeo! Hao hao vilaza waliokubali wametosha! Wa wenzenu wako makazini na miradi wanafungua.
 
Tayari tumeshampata mmoja wao.
 
Mkuu kama hujampata mleta uzi basi hivi unavyofoka hapa ndio hasa lengo la uzi wake...

Kwa nilivyomuelewa hajataka wanawake msifanye kazi, ila kufanya kwenu kazi kunawatesa wenyewe.

Si unaona hata wewe ulivyopanick hapa kwa reply ndefu ndefu, ndicho alichomaanisha. Kidogo tu tayari mshawaka, mnahisi mnadharaulika so mnajilinda kwa maneno makali mpaka matusi sometimes, wakati ni ishu ndogo tu hii.
 
Nina mengi sana ya kuchangia kuhusu hili ila naona uvivu kuandika, ila kiufupi wanawake wengi ni wabinafsi, wanataka wafanye kazi kama wanaume ila hawataki kugawana majukumu na mwanaume, wao wanataka wapokee tu na kuhudumiwa na mwanaume ila pesa zao wanafanyia mambo yao wanayoyajua wao.

Ushauri wangu kwa wanaume wenzangu, jijali mwenyewe kwanza, ukiamua kumhudumia mwanamke,mhudumie kulingana na uwezo wako, usikope ili kumfurahisha mwanamke au usiache kufanya mambo yako ya msingi kwa ajili ya kumfurahisha mwanamke, kuna wengine walienda mbali hadi kumsomesha mchumba na bado wakaachwa, pesa ambazo wangefanyia mambo yako ya msingi.

Ili kutia mkazo zaidi: "Focus on yourself, never go above and beyond for a woman"
 
Muachishe huyo zombie wako kazi. Kwani walioko makazini nao ni wake zenu? Mbona mna uchungu nao sana!

Au mnatamani muwe mnavaa pedi pia maana sielewi hasira ni za nini!
Hamna asietaka msifanye kazi, hizi reply zako zinadhihirisha jinsi hiyo kazi inavyokupa stress na kupoteza ile haiba yako ya kike.
 
Nishawahi kua na boss mwanamke aloo usiombe.
Kwanza hakosolewi kindezi, haelezeki, hashauriki. Ukifanya hayo yeye anahisi sijui umemuoa yeye hajui, umemuona ni kilaza, umemdharau kisa ni mwanamke.
Daah yaani shida tupu mpaka unajiuliza ni kwanini wao hujihisi hivyo wakati wewe unamchukulia kama kiongozi wako yeye anahisi unataka kumchallenge.
 
Huyo humuwezi mkuu, ni super woman, unawajua masuper woman wewe?? 😂😂
 
Sasa wewe ndo Umepanic.

Kaanze mwanzo kwenye comment yangu uliyoidakia nilikua namjibu nani na nimemjibu kwa mantiki gani kulingana na alichoandika yeye.
 
You can't fight nature, mwanamke alishaumbwa kuwa chini tu, , shida ya nyi feminist, mmealibiwa kisaikolojia kwa kuaminishwa kua unatakiwa kufanya kazi kumshinda mwanaume, ndio hapo mnapofeli, na wakati sisi wanaume tunafanya kazi kutatua changamoto za uchumi wa familia

Hata andika yako inaonesha unafanya kazi kushindana na mwanaume sio kusonga mbele.
 
Huyo humuwezi mkuu, ni super woman, unawajua masuper woman wewe?? 😂😂
Ndo sisi ndio. Unataka kila mtu awe kama mama ako. Utegemezi umemsaidia nini zaidi kuchomeka na frying pan za vitumbua ili nyinyi mpate ndala za kuendea shule. Au hao wa sampuli hio hamuongelei ila wanaowauma ni hawa wanaoenda kazini tu! Mama ntilie anashinda posta kuanzia mda anapika chai hadi jioni anakaanga samaki arudi nyumbani. Hajui hata ac ni nini ila mkanyage uone alivyo na stress. Hapo mwanaume amezeeka na pombe za pingu.

Mimi nilitegemea mngekuja na mada za kuinuana wanaume. Yani niskie hapa mnasema wanaume tuache kunywa pombe ovyo, tuache michepuko ina magonjwa, tutengeneze pesa tulee familia. Kazi kujazana ujinga tu mapoyoyo
 
Shule ulienda kupiga nyeto mkuu? Sasa mimi nishindane na mwanaume ili anisaidie nini?

Niache kushindana na njaa nikapambane na mtu anaetumia ubongo wa chini kufikiria? We fanya analysis zako maliza ila ukweli ndo huo! Mwanamke kuwa chini yako ni yule wa nyumbani kwako. Tatizo mnataka hadi bosi wako akiingia ofisini akufyonze vidole vya miguu just because she is a woman and you are a man! Si ufanye kazi kwa bidii sasa ili umzidi huyo bosi awe chini yako!
 
Unahitaji ushauri, kuna jambo lina kusibu
 
Mimi nataka hii comment yangu waje wanaume wanaopiga kura wakisema wanataka wanawake ambao wanakaa tu nyumbani kusubiri mwanaume alete chakula.

Nani anaoa golikipa saizi? Hivi wanaume wa design hiyo mnajielewa kweli? Mnaijua future? Mkifa mnataka nani amtunze mkeo au mnaleta zile zama za mdogo wangu atarithi mke wangu. Jiskieni wenyewe mnajidharaulisha. Kila mtu abaki na bwanyenye lake nyumbani

mnakaa mnadanganyana wapumbavu na msio na nguvu za kiume mnapeana moyo mnaogopa wake zenu wakienda makazini watapata exposure watawaacha😂
 
Hajajua hata lengo la hii mada kumbe ilikua inatafuta mtu wa ku panick ndio anakua mhusika🤣🤣 hili ni jiwe la gizani
 
🤣🤣🤣 Super Woman ashapaniki stress zimemtia uchizi, huku anatukana kila mchangiaji hadi mleta mada , afu anajisifu, She is a good wife, and beautiful woman kisa hatumuoni,
Nani kajisifu ni good wife sijui beautiful ? Hiyo ni kazi ya mume wangu. Ye ndo anajua kaoa mwanamke wa namna gani mwaka wa kumi naa huu katulia hapa.

Niko hapa kuongea facts wanaume mnaotaka wanawake waache kazi ni wanaume weak mentally and physically. Mbona mi sijawahi kuambiwa niache kazi?
 
Hajajua hata lengo la hii mada kumbe ilikua inatafuta mtu wa ku panick ndio anakua mhusika🤣🤣 hili ni jiwe la gizani
Nyie ndo vilaza sasa. Maana mpuuzi mwenzenu mmoja aliejifanya anamsifia eti mke wa gsm ni mama wa nyumbani huyo ndo nliekua namjibu nyie wenye nyege mmeikutia mada katikati. Mkadandia ndo maana siku hizi mmo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…