Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

Ikiwa unamaanisha mtume Muhammad basi ukae ukijua ya kwamba,,,
Alikuwa na wake wanne,,
Watoto saba,,,
Kaongoza vita Zaidi ya moja,,
Alikuwa pia mfanyabiashara, yani kifupi alikuwa mwanaume wa shoka haswa tofauti na nyie Ambao kiongozi wenu kule Italy katoa dongo mgongwe pumbavu kabisa,,, sasa wewe sijui ushaenda kubariki kanisani ili ufilwhe vizuri,,
Hujui kuwa na wake wengi, na wengine wa miaka tisa tu, hakumzuii kuwa na tabia za kishetani. Ushoga na ulawiti nyumbani kwao ni uarabuni kwa kina mudi
 
Yaa ni kweli maelfu wanauwawa wakiwemo watoto wadogo ambao hawajui hata kuongea wala kutembea.

Fikiria nchi ambayo umedanganywa kuwa ina intelejensia kubwa, weledi na uwezo mkubwa wa kijeshi inaweza kutumia ndege zisizokuwa na rubani, vifaru na silaha zake nzito kuuwa watoto wachanga wasiojua hata kurusha jiwe?

Hii ni sawa na wewe uingie ulingoni kupigana na katoto ka miaka miwili, ukarushie ngumi, mateke na nguvu zako zote alafu uje ujitape kuwa wewe ni bingwa kwa kukapiga katoto hako. Wenye akili na nguvu za kweli nafikiri watakucheka sana.
Kama unajua huna uwezo wa kupigana usianzishe mapigano, itakula kwako
 
Graduate wa madrasa ndo hao vijana wasiozidi elfu 20, wamesababisha nchi nzima iingie vitani kwa ajili yao. Na kama hiyo haitoshi bado nchi hiyo bila aibu wala fedheha imeomba msaada wa fedha na kijeshi pamoja na kuita askari wake wa akiba ili kupambana na vijana tu wasiomiliki hata ndege moja ya kijeshi 😄😄😄

Israel wana uwezo wa kufanya carpet bombing na waisambaratishe Gaza in minutes, ila inawabidi wachambue magaidi yenu yanayojificha nyuma ya watoto na kina mama.
 
Wababe na wakati kikundi cha vijana wasiovuka elfu 20 wamesababisha nchi nzima hadi askari wa akiba waingie vitani. Tena nchi yote imeingia vitani kupambana na vijana wasiokuwa na uwezo wa kumiliki ndege hata moja ya jeshi?

Je kama wangekuwa wanamiliki ndege za kijeshi, vifaru na silaha kidogo nzito nzito si ndo Israel ingeomba hadi askari na polisi kutoka Marekani na UK waje kuwasaidia?

Ni aibu kubwa kwa nchi nzima kuingia vitani kupambana na vijana wanaotumia visilaha vya kuunga unga. Huu ni uthibitisho kuwa Israel haiwezi kuingia vitani na nchi ambayo ina silaha kubwa za maangamizi na ikafanikiwa kushinda vita.
Unaonekana uelewa wako ni mdogo ila nikuambie kwamba Kila mwanaume anayezaliwa Gaza ni Hamas ndio maana mpaka watoto wadogo wanafundishwa namna ya kutumia silaha za kijeshi.

Alafu nani kakudanganya kwamba Hamas wanatumia silaha za kienyeji tu? Kwako AK 47 ni silaha ya kienyeji sio?

Usichokijua ni kwamba Hamas walikuwa wamejiandaa kupambana na IDF zaidi ya miaka 20 ila mahesabu Yao wamepiga vibaya na nakuhakikishia baada ya miezi miwili kama Hali itaendelea hivi basi hakutakuwa tena na waji wanaoitwa Hamas GAZA
 
Hujui kuwa na wake wengi, na wengine wa miaka tisa tu, hakumzuii kuwa na tabia za kishetani. Ushoga na ulawiti nyumbani kwao ni uarabuni kwa kina mudi
Nenda huko uarabuni alafu kajitangaze wewe shoga alafu utupe mrejesho,, kisha nenda Israel alipozaliwa mungu wako yesu katangaze unagongwa pia rudi utupe mrejesho,, kipahpah weee
 
Fikiria nchi tulioaminishwa kuwa ina nguvu za kijeshi kuliko nchi zote za Mashariki ya kati iliita jeshi lake lote, mpaka wale askari wa akiba waliokuwa likizo, ili wakapambane na kikundi cha vijana ambao hawajawahi kumiliki hata kifaru kimoja achilia mbali ndege au meli za kijeshi [emoji1][emoji1][emoji1]
Tukadanganywa pia kuwa Israel ina teknolojia ya hali ya juu kabisa ya ulinzi wa anga "iron dome" kwamba hakuna kombora lolote linaweza kupenya kwenye ardhi ya Israel.

Lakini tumekuwa tukishuhudia kila mara Hamas, Hezbollah na Houth wakivurumisha makombora yanapiga kambi za kijeshi za Israel bila kupingwa.

Sasa udhaifu huu wa Israel ndiyo apambane na taifa kamili kama Iran lenye nguvu ya kijeshi na teknolojia ya hali ya juu?
 
Unaonekana uelewa wako ni mdogo ila nikuambie kwamba Kila mwanaume anayezaliwa Gaza ni Hamas ndio maana mpaka watoto wadogo wanafundishwa namna ya kutumia silaha za kijeshi.

Alafu nani kakudanganya kwamba Hamas wanatumia silaha za kienyeji tu? Kwako AK 47 ni silaha ya kienyeji sio?

Usichokijua ni kwamba Hamas walikuwa wamejiandaa kupambana na IDF zaidi ya miaka 20 ila mahesabu Yao wamepiga vibaya na nakuhakikishia baada ya miezi miwili kama Hali itaendelea hivi basi hakutakuwa tena na waji wanaoitwa Hamas GAZA
Bado utetezi wako ni wa kipuuzi sana. Watoto waliouwawa wengi ni wa kike, wadogo sana wasiojua hata kuongea vizuri sasa hayo mafunzo wanayapataje watoto wa mwaka mmoja, miwili au mitatu ambao wengi ndio waliouwawa?

Alafu unasema eti AK 47, hivyo ndo jeshi kubwa linalojifanya linaweledi litumie mavifaru, madege ya makombora, askari wa akiba, askari waastafu wote waitwe wakapambane na vijana wasiozidi elfu ishirini 😀😀😀

Je mfano waingie vitani na kanchi kadogo kenye jeshi na vifaa vinavyokaribia kushabihiana ubora na vya kwao si ndo watawaita na askari wa Marekani, pamoja wa waingereza waje wawasaidie?
 
Wachambuaje na wakati asilimia kubwa yaliowauwa ni watoto na wakina mama wasiokuwa na hatua?

Utetezi wako hauna kichwa wala miguu ndugu yangu myahudi wa tandahimba.

Ndio huo mtihani, magaidi yenu yanajificha kwenye watoto, yanarusha kombora yakiwa kwenye watoto kisha yanakimbia hapo na kuacha hao watoto, kombora likijibiwa na mfumo wa Israel ambao hutumika kugundua wapi kombora limetokea, wanaishia kupiga watoto halafu kwa mbali magaidi yenu yanachukua video na kutupia kwenye mitandao ya kijamii.
 
Thread za kujifariji tu hizi ila mzigo wanaopiga IDF pale GAZA hakika jamaa ni watabe mno, IDF ni mojawapo ya jeshi Bora kabisa duniani.

Mbugi Inapigwa GAZA, inapigwa LEBANON inapigwa SYRIA tena kwa wakat mmoja na kwa ufanisi mkubwa sio jambo dogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hao Israel walioomba msaada wa silaha, fedha na kijeshi kutoka kwa mashoga wenzao?

Hamas anapigana na Israel, US na Uingersza kwa uchache tu na bado hawajatoboa mwezi wa tatu huu unaisha.
 
Ahmedinejad aliposema ataifuta Israel kwenye uso wa Dunia alikuwa anajua anasema nini kwa sababu alikuwa amiri jeshi mkuu anaepata taarifa zote
Ila waisrael wetu wakapinga na kutukana sana
Ona sasa leo hata mateka wanawauwa wao
Ahmednejad ni kichaa kweli kama angeendelea kuwa Rais wa Iran hadi leo angeifuta kweli Israel kwenye uso wa dunia wala hatanii.
 
Wababe na wakati kikundi cha vijana wasiovuka elfu 20 wamesababisha nchi nzima hadi askari wa akiba waingie vitani. Tena nchi yote imeingia vitani kupambana na vijana wasiokuwa na uwezo wa kumiliki ndege hata moja ya jeshi?

Je kama wangekuwa wanamiliki ndege za kijeshi, vifaru na silaha kidogo nzito nzito si ndo Israel ingeomba hadi askari na polisi kutoka Marekani na UK waje kuwasaidia?

Ni aibu kubwa kwa nchi nzima kuingia vitani kupambana na vijana wanaotumia visilaha vya kuunga unga. Huu ni uthibitisho kuwa Israel haiwezi kuingia vitani na nchi ambayo ina silaha kubwa za maangamizi na ikafanikiwa kushinda vita.
Tena silaha zenyewe wanatengeneza Hamas kwa njia ya kienyeji.
 
Back
Top Bottom