Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

nMaelfu ya watoto waliouwawa bila hatia huko Gaza hawakuanzisha vita na mtu yoyote, na wala hawajui hata kushika jiwe kupambana na jeshi lenye mavifaru na ndege za kivita wanazotumia kupambana na watoto hao.
Wambie ndugu zenu hamas wapigania conventional warfare, sio kujificha kwenye makazi ya watu na kuwafanya kinga. Wataendelea kuuawa tu. mpaka waseme po
 
Nenda huko uarabuni alafu kajitangaze wewe shoga alafu utupe mrejesho,, kisha nenda Israel alipozaliwa mungu wako yesu katangaze unagongwa pia rudi utupe mrejesho,, kipahpah weee
Kwani mudi si alikuwa muarabu, ushoga akifundishwa na nani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hao Israel walioomba msaada wa silaha, fedha na kijeshi kutoka kwa mashoga wenzao?

Hamas anapigana na Israel, US na Uingersza kwa uchache tu na bado hawajatoboa mwezi wa tatu huu unaisha.
Unashangaa IDF kununua silaha Marekani ila hushangai superpower Putin kuomba silaha North Korea, China, Iran kupambana na Ukraine!!
 
Naona mnafarijiana huku,ni huruma tu ya taifa la Mungu kupiga kistaarabu,ingeweza kupiga siku Moja na kumaliza kazi.
Ndugu soma alama za nyakati, Israel kama nchi huwezi kuita taifa la Mungu, kumbuka nchi hiyo inatawaliwa na Wazayuni ambao itikadi Yao ni tofauti na Wayahudi wengine, Wazayuni wameanzisha sheria nyingi kupiga marufuku hata kumtaja Yesu Masihi katika nchi hiyo, pia wanaeleza wazi kuwa Yesu ni mtoto wa zinaa ambaye baba yake hajulikani.

Wazayuni wanafadhiri ushoga, kamali na mambo mengi ambayo Mungu ameyapinga katika Biblia. Zipo taarifa za uhakika kuwa Wazayuni ndio wakuu wa freemason duniani. Iwapo utasema kuwa Israel ni taifa la Mungu, ni Mungu gani huyo?
 
Israel wana uwezo wa kufanya carpet bombing na waisambaratishe Gaza in minutes, ila inawabidi wachambue magaidi yenu yanayojificha nyuma ya watoto na kina mama.
Israhell anachoweza kuchambua labda ni maharage tuuu
 
Unaonekana uelewa wako ni mdogo ila nikuambie kwamba Kila mwanaume anayezaliwa Gaza ni Hamas ndio maana mpaka watoto wadogo wanafundishwa namna ya kutumia silaha za kijeshi.

Alafu nani kakudanganya kwamba Hamas wanatumia silaha za kienyeji tu? Kwako AK 47 ni silaha ya kienyeji sio?

Usichokijua ni kwamba Hamas walikuwa wamejiandaa kupambana na IDF zaidi ya miaka 20 ila mahesabu Yao wamepiga vibaya na nakuhakikishia baada ya miezi miwili kama Hali itaendelea hivi basi hakutakuwa tena na waji wanaoitwa Hamas GAZA
Ona unavyojikanyaga kila mwanaume anazaliwa akiwa hamas mara baada ya miezi miwili hakutakua na hamas
Sasa mossad kama shirika bora lakijasusi mnavyoliita lilikua wapi siku zote hizo watu wanapanga mipango hapo nje kwao?
Mmeshindwa miezi mitatu mtaweza miwili nakuongeza tena miwili ila hamtaifuta hamas
 
Israhell anachoweza kuchambua labda ni maharage tuuu

Na mahindi pia

3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Ni aje waungwana?

Wazungu baada ya kuona wamefanikiwa kutawala sehemu kubwa ya dunia haswa haswa katika bara zima la Afrika, wakaona kuwa hata uongo wao pia watakaoleta kwa watawaliwa utaweza kuishi milele, bila kujua kwamba zama zinabadilika na akili za watawaliwa nazo pia zinabadilika.

1. Kwanza wazungu walitudanganya kuwa wanakuja kutukomboa kiuchumi na kiroho, kumbe nyuma ya pazia lengo lilikuwa ni kututawala, kumiliki ardhi yetu na kila kilichopo katika nchi zetu.

2. Pili walitudanganya kuwa binadamu wa kwanza au wa kale walikuwa ni manyani, lakini hapo hapo kupitia vitabu vitakatifu vya dini wakatuambia kuwa binadamu wa kwanza alikuwa ni binadam wa kawaida ambae jina lake ni Adam.

cha kushangaza katika vitabu vinavyoonesha kuwa binadamu wa kwanza walikuwa nyani, utakuta waliochorwa ni watu weusi, na vile vinavyoonesha kuwa binadam wa kwanza alikuwa Adam utakuta amechorwa mzungu, hivyo ni wazi kuwa binadam wote tulikuwa ni binadam wa kawaida kutoka kwa baba yetu Adam, hao nyani tulioambiwa ilikuwa ni uongo mahususi uliotengenezwa kwa malengo yao watawala (wazungu)

3. Tatu wanadanganya kuwa pale Mashariki ya kati nchi yenye nguvu zaidi za kijeshi ni Israel, lakini wengi tumeshuhudia kwamba Israel haina tofauti na Ukraine, kwamba kila inapotaka kupigana na adui yake, au hata kikundi cha vijana wasiozidi hata 20,000 kama vile Hamas lazima waombe msaada wa silaha kutoka Marekani, huku UK na EU nao wakiipa kwa njia ya kimya kimya ili kupambana na kakundi hako.

Bora hata Ukraine inapambana na taifa ambali ni la kwanza kwa ukubwa duniani, taifa ambalo Ukraine inaingia zaidi ya mara 10, lakini pia ni la pili kwa nguvu za kijeshi duniani, hivyo kutokana na udogo wake na pia utoauti wa nguvu za kijeshi, ina haki ya kuomba msaada kutoka katika nchi nyingine. Lakini Israel inaomba msaada wa kifedha na silaha hata pale inapopambana na kikundi cha watu wachache wasiofika hata elfu 50 ambacho sio nchi, sasa inawezaje kuwa taifa lenye nguvu kuliko nchi zote za eneo hilo?

Mbona tukifuata uhalisia wa kweli bila kutanguliza mihemko ya kipropaganda za magharibi ni kama vile Israel haiwezi kufua dafu hata mbele ya mziki wa Iran kijeshi, japo nchi hiyo ina vikwazo lukuki vilivyodumu kwa zaidi ya miaka 70. Kama vikundi vidogo vidogo vinavyodhaminiwa na Iran iliyowekewa vikwazo kwa takribani miaka 70 Hezbollah, Hamas na vinaitoa kamasi Israel inayodhaminiwa kijeshi na kifedha na Marekani kwa zaidi ya miaka 80 tena bila kikwazo hata kimoja, je hiyo ndio ya kuuita yenye nguvu hapo Mashariki ya kati zaidi ya nchi zingine? Kuna kikundi kidogo tu cha vijana kadhaa kilichopewa silaha mbili tatu na Iran hapo Yemen, kimesababisha nchi kubwa duniani zaidi ya 10 kuingia baharini kwenda kupambana nacho. Hivyo kudai kuwa Israeli ni taifa lenye nguvu kwa sasa, kwakweli ni uongo wa dhahiri ambao kwa dunia ya leo watu wanaanza kuushtukia kutokana na kile kinachoendelea katika eneo hilo.

Fikiria hiyo miaka zaidi ya 70 ambayo muisrael anapewa misaada ya kijeshi na kifedha na Marekani pamoja na vibaraka wa magharibi, kama pia ingetumika kutoiwekea vikwazo Iran hali ingekuaje, bado wangeendelea kudanganya hivi hivi au wangeongea ukweli kwa sababu ingekuwa ngumu kuuficha ukweli huo?

4. Walidanganya kuwa Russia ni nchi hatari kwa usalama na amani ya dunia, japo Russia ni wazungu wenzao, lakini ukweli ni kwamba wazungu wa nchi za West ndio wanaoongoza kwa kuhatarisha usalama na amani katika nchi za wenzao. Wengi tuliona jinsi wafaransa walivyopachika wavaa kobaz huko Mali, Niger, na kwengineko ili aweze kutumia mwanya huo kuiba rasilimali za nchi hizo kupitia maeneo yale ambayo serikali haiwezi kuyadhibiti tena. Hata miaka kadhaa iliyopita Msumbiji iligundua kuwa katika eneo la kusini mwa nchi yake kuna utajiri mkubwa wa gesi, hivyo waliingia mkataba na kampuni fulan ya kifaransa kwa lengo la kuja kuchimba gesi hiyo kwa makubaliano maalum, bila kujua kwamba nchi hiyo ya kusini mwa Afrika inakaribisha nyoka katika ardhi yake.

Miezi michache tu baada ya wafaransa kuingia eneo la kazi na kuisoma vizuri ramani, wakaunda kikundi cha wavaa kobaz kama ilivyozoea kufanya katika nchi Mali, Niger, Gabon nk. Lengo la kuunda kikundi kile ni kutaka lile eneo lisitawalike na kampuni yao ijifanye inakimbia kutokana na sababu za kiusalama, kumbe nyuma ya pazia wawe bado wapo wanachota gesi hiyo watakavyo huku wakiwapa silaha na hela ya kula viongozi wa wavaa kobazi ambao wanajua kile kinachoendelea katika eneo hilo. Hivyo kusema kuwa Russia ni nchi hatari kwa usalama na amani ya dunia ni uongo mtupu wanaojaribu kutudanganya sisi watawaliwa ambao wanahisi hatuwezi kujua lolote.

Uongo wao ni mwingi, siwezi kuuorodhesha wote, ila wajue kwamba watawaliwa tumeshaamka, sio kila tango pori watakaloturushia sisi tutalimeza bila kulimung'unya ili kujiridhisha kuwa ni lenyewe kweli au tango la mimba.
Naona mnafarijiana huku,ni huruma tu ya taifa la Mungu kupiga kistaarabu,ingeweza kupiga siku Moja na kumaliza kazi.


Akili zenu nyinyi waislam ziko kwenye ngono, vita, vurugu na uongo. Hatushangai kwa sababu mnamtumikia mungu Allah ambaye kiukweli ni shetani mwenyewe. Sahih Al- Bukhari 4950


View: https://x.com/OliLondonTV/status/1742937879763103927?s=20
IMG_2574.png
 
Does your friend oli London knows there is highly educated muslim women around the world including your country maybe you need tell him
 
Tukadanganywa pia kuwa Israel ina teknolojia ya hali ya juu kabisa ya ulinzi wa anga "iron dome" kwamba hakuna kombora lolote linaweza kupenya kwenye ardhi ya Israel.

Lakini tumekuwa tukishuhudia kila mara Hamas, Hezbollah na Houth wakivurumisha makombora yanapiga kambi za kijeshi za Israel bila kupingwa.

Sasa udhaifu huu wa Israel ndiyo apambane na taifa kamili kama Iran lenye nguvu ya kijeshi na teknolojia ya hali ya juu?
Hawa hawawezi kupambana na Iran hata dakika 30, na wengi wasiokuwa na mihemko wameshaliona hilo. Hiyo ardhi ya Israel imekuwa ikilindwa na jeshi la Israel, Marekani, UK nk. Hata hao mateka wa kimarekani na uingereza waliokamatwa ukute kuna baadhi ni askari wao.

Lakini cha kushangaza majeshi ya nchi zote hizo nilizozitaja hapo juu, pamoja na mamitambo yao ya kudhibiti makombora wameshindwa kuzuia makombora yanayorushwa na vijana ambao hawana mafunzo mahususi ya kijeshi, hawana nchi wanayoithibiti wala mavifaru.

Je akiingia mwenyewe muiran mzigoni na full silaha za maangamizi za kijeshi ni nani atakaekuwa na uwezo wa kumdhibiti eneo hilo. Tumeona vindege kidogo tu alivyompa Urusi jinsi vilivyofanya uharibifu mkubwa Ukraine, sasa akiingia nazo mwenyewe vitani, si itakuwa balaa.
 
Ndio huo mtihani, magaidi yenu yanajificha kwenye watoto, yanarusha kombora yakiwa kwenye watoto kisha yanakimbia hapo na kuacha hao watoto, kombora likijibiwa na mfumo wa Israel ambao hutumika kugundua wapi kombora limetokea, wanaishia kupiga watoto halafu kwa mbali magaidi yenu yanachukua video na kutupia kwenye mitandao ya kijamii.
Ulichoandika ni hisia tu na dhana, wala hauna uthibitisho wowote ili utuwekee hapa tukubaliane na kile ulichoandika.

Yani unaendeleza uongo ule ule tunaousema hapa bila kuweka fact na prove ya unachoandika. Dunia ya leo sio ile ya miaka mia 2 iliyopita kwamba mtu anaweza kudanganya lolote bila kuthibitisha alichodanganya na watu wakamuamini. Leo hii ili uaminike ni vizuri ukaweka ushahidi wa jambo fulani, watu waone na kukubaliana na wewe.

Otherwise hichi ulichoandika umekipata katika kijiwe cha kahawa cha wayahudi weusi wenzako wa tandahimba.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hao Israel walioomba msaada wa silaha, fedha na kijeshi kutoka kwa mashoga wenzao?

Hamas anapigana na Israel, US na Uingersza kwa uchache tu na bado hawajatoboa mwezi wa tatu huu unaisha.
Correctly kabisa 👍😄
 
Back
Top Bottom