Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

Kwa hiyo na vifaru viko angani, religious bigotry ni upofu mbaya sana
Waambie washuke kwenye videge vyao waache kulialia
Kwahio hawana ndege juu kweli kukosa akili nayo kazi
Kwani vifaru pekee vinapigana au hujui kama walianza na kurusha videge kwa asilimia πŸ’― kabla ya kuja huko chini na bado hawajaacha kukaa juu mpaka leo
Waache waje chini hao mazayuni wale kipigo
 
Wewe na Allah wenu ndiyo hama akili na ndiyo maana Allah wenu na malaika zake wanaswali kwa Mtume
Surah 33:56
 

Attachments

  • Screenshot_20231225-190342.png
    119.4 KB · Views: 3
Ok
 
Waambie na hao mapagani ya kiarabu yatoke mapangoni yaonekane yamalizwe haraka, dunia imechoshwa na Islamic terrorism
 
Wewe na Allah wenu ndiyo hama akili na ndiyo maana Allah wenu na malaika zake wanaswali kwa Mtume
Surah 33:56
Ndio maana nikasema wewe ni kiongozi wa wapumbavu duniani. Kama wazungu wamefanikiwa kukutawala kiakili na ki mwili, basi usifikiri na sisi wengine tumetawaliwa hivyo. Sio lazima kila mkristo aipende Israel au muislam aipende Palestina.

Binafsi mimi naamini katika Mungu, lakini siamini katika dini yoyote, maana zote hazina msaada wowote kwangu wala kwa familia yangu. Dini zimeletwa na wakoloni haswa Afrika kwa mission maalumu, ndio maana leo hii unanishambulia na hata ungekuwa na uwezo ungeniua kwa kuamini kuwa mimi sio dini moja na wewe. Na hili ndio walilolitaka waleta dini. Kwamba tuchukiane wenyewe kwa wenyewe, tutukanane au tuuwane kwa sababu ya utofauti wa kidini huku waliozileta wengi wao wakiwa wameshaachana nazo, na wengine wanazitumia kwa manufaa yao.

Waafrika kiuchumi tulikuwa sawa na wachina. Baada ya wenzetu kuachana na upuuzi wa kidini waliokuwa wamepachikiwa na wazungu, leo hii China imepiga hatua kubwa na kuwa nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani, huku sisi waafrika wakiendelea kuwa masikini kwa kukusanya kila walicho nacho na kukipeleka makanisani na misikitini ili wajanje wachache waneemeke kupitia upuuzi huo wa kidini.

Kuna watu walijikusanya wakaenda airport kutaka kupanda ndege waende Israel wakahiji bila kuwa na pasport wala ticket ya ndege au visa. Sasa hiyo ni akili ya kawaida au matope?

Ndomaana raisi wa China kawambieni ukweli waafrika.
 

Attachments

  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    67.3 KB · Views: 5
Wanatumia hela nyingi kuvilipa vyombo vya habari viandike uongo wao, lakini bahati nzuri tunaodanganywa tumeshaanza kuoona ukweli kupitia akili zetu na macho yetu wenyewe.
Shingapi wametumia? Tupe link
 
Ulichotaka kutuambia kuwa Russia siyo wazungu au umeamua kuleta ushabiki tu wa udini inayokusumbua siku zote?
 
Ulichotaka kutuambia kuwa Russia siyo wazungu au umeamua kuleta ushabiki tu wa udini inayokusumbua siku zote?
Vijana mnakuwa mapoyoyo sababu ya ujinga wa dini. Ni wapi nimeandika neno dini? Au haujasoma mada umekimbilia kukurupuka kisa umeona tu neno Israel na wewe mhayudi wa vizaka miguuni, uko kwenu bonyokwa umekimbilia kupandwa na mihemko na kuandika usichokijua?

Nimeamini kuwa raisi wa China alikuwa sahihi juu ya watu kama nyinyi. Hata hao wayahudi wenu hawatambua uwepo wa dini zenu katika taifa lao.
 

Attachments

  • 13820411_474e176b5f9b4f73a0efd5c863b1537b_jpeg9007ab240faecd3b84b2d425535ccbd1.jpeg
    67.3 KB · Views: 4
Ndege zisizokuwa na rubani pamoja na vifaru vyao vyote vimeshindwa kuwasaidia πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…