Humu JF tukianza kuwahesabu wajinga, wewe kimsboy unaongoza kwa mbali wala hukuna anayekukaribia. Ujinga wako ni wa kurithi na kama ungekaa kimya ungefanikiwa sana katika kuficha ujinga wako...ni ushauri tu!Huu ni ujinga umecomment unazijua itifaki za usalama kweli wewe
Wanakuwa kwenye mazulia unajuaje kama huwa haendi nalo.la kwakeMsikitini anaendanacho?
Kwa ujinga huu serikali ina uwezo wa kutugeuza itakavyo.Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.
Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.
View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Tatizo viti vya vyenu havina udhu mkivimbiwa maharage yenu mnavipumulia kama Bedford linapanda KitongaNyumba za ibada hazitakiwi kutengeneza makundi
Sababu ni zilezile tu.1.Soil Erosion.
2.Due to lack of employment.
3.Triangular Slave Trade.
4.Lack of Natural Resources.
5.Land Alienation.
Kwanini uwaze kua ni dharau?Binafsi sikumshangaa rais wa TEC wa wakati huo Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, alipomzuia Mzee wa Msoga kuingia na kiti chake kwenye hafla aliyoalikwa na Kanisa.
Mzee wa Msoga kuona vile, akasusa kuhudhuria lile tukio, na maisha yakaendelea. Kuna kama viashiria vya dharau hivi kwa mbali dhidi ya Kanisa na pia imani, kwa mbali.
Mengine hayaepukiki, hivi nahayatengenezwi kwa utashi wawatuNyumba za ibada hazitakiwi kutengeneza makundi
Au kilikuwa na baraghashia mkuu na makubazi mana wamemind.Hawawezi kumpangia hivyo !! Kwani kiti cha Rais hakiruhusiwi kuingizwa kanisani ? Nadhani kimeingizwa kwa ruksa ya hapo kanisani na wamekubali kwa sababu hawakuona ubaya wowote ! That's My take lakini sina hakika !
Akili zetu za kitanzania zina upuuzi wa kila aina, ni kuwavumilia tu.Hujui Biblia inatanka wazi astahiliye heshima anastahili heshima kubwa
Heshima inaanzia kuanzia mapokezi atakapokaa ,atakachokula ,atapolala nk
Raisi ni mtu mwenye heshima kubwa huwezi m treat kama mtu wa kawaida
Mlitaka kumfanyaje mbona mnakomaa? AFTER All yeye na Makamu sio waumini wa hapo kanisani kwenu Bukoba walikuja kama wageni wa heshima wana makanisa yao Parokia au misikiti wanakosali Hawako kigango chenu au jumuiya ya kwenu!! Wamesafiri kuja kama wageni wa heshima tu huwezi kuwaweka kundi moja na wanywa Rubisi wa Kagera
Akienda msikitini mkeka utatoka Unguja au nako atakalia kiti!Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.
Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.
View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
au mambo ya dini yanahusika kingetoka msikitini je?
ni uchawa au protokali.tusaidieni wajuvi wa haya mambo.
Nami nikiwa Kama wewe kiimani nimeona SSH amekosea itifaki ya kanisa. Kiti Cha rais ni alama ya mamlaka na wote tunaoenda kanisani tunaamini tupo chini ya Mamlaka Moja na ndio maana vitu vyote vinavyoashiria mamlaka Kama Wanaume kuvaa kofia haviruhusiwi.GENTAMYCINE nikiwa kama Mkristo tena wa Dhehebu Mama na Kubwa duniani la Katoliki sijaona Kosa lolote kwa Rais Samia kuingia Jana Kanisani na Kitu.
Wamarekani wanatembea mpaka na shuka za vitanda!! Tulishuhudia alipokuja Obama !! The Beast ndio haisahauliwi kabisaaa!! Gari la mkulu wa dunia !!
Bahati mbaya hilo andiko la kuheshimu mamlaka halikutoa nafasi ya kutuambia mamlaka tunazopaswa kuziheshimu ni zipi, wala jinsi zilivyopatikana, andiko limetubana tuheshimu mamlaka zilizo juu yetu, full stop.
Kuanza kulijadili hilo andiko hapa kwa sasa naona ni sawa na kumkufuru Mungu, au kuwafundisha wale waliotuletea maandiko, na hicho ni kinyume cha kuwa muumini.
Mseveni kaenda Kenya na gari la choo, hataki ku-share choo na mtu!Hata kikwete waliwahi kumjadili humu mwaka 2011 khs kuzunguka na kitu Chake kila aendako.
Kiti cha Kikwete na miujiza yake
Jk kila aendako anabeba kiti na kuzunguka nacho, hakalii kiti kingine. Je hicho kiti kina nini spesho? Kwanini hataki kukalia viti vingine?www.jamiiforums.com