Kiasili watu wengi huwa wanapenda kuwa na watoto wa kiume, hili halijalishi mzazi wa kike au wa kiume. Huu ndiyo ukweli.
Ila asikwambie mtu mtoto ni mtoto, cha msingi mzazi uwalee vyema hasa kwa malezi ya dini, hutakuja kujutia, sababu mtoto mwema anafaida na wewe ukiwa hai na hata ukifa. Sasa ni wajibu baba au mama kuangalia wapi pa kupanda mbegu zako.
Kwa imani yetu sisi ni kuwa ukijaaliwa watoto wa kike kisha ukawalea vizuri kwa malezi bora na tabia njema yaani dini, mpaka wa kaolewa wewe utalipwa Pepo. Hapa utaona fadhila na ubora wa kuwa na watoto wa kike.
Mola atupe vizazi vyema na vyenye kheri na sisi.
Ila asikwambie mtu mtoto ni mtoto, cha msingi mzazi uwalee vyema hasa kwa malezi ya dini, hutakuja kujutia, sababu mtoto mwema anafaida na wewe ukiwa hai na hata ukifa. Sasa ni wajibu baba au mama kuangalia wapi pa kupanda mbegu zako.
Kwa imani yetu sisi ni kuwa ukijaaliwa watoto wa kike kisha ukawalea vizuri kwa malezi bora na tabia njema yaani dini, mpaka wa kaolewa wewe utalipwa Pepo. Hapa utaona fadhila na ubora wa kuwa na watoto wa kike.
Mola atupe vizazi vyema na vyenye kheri na sisi.