Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Naogopa kuzeeka nikiwa mpweke ilhali watoto wapo,, inaumiza sanaUsiseme hivyo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa kuzeeka nikiwa mpweke ilhali watoto wapo,, inaumiza sanaUsiseme hivyo mkuu
Nipe mbinu maana nimeshindwa,, Niko serious nipe mbinu mwenzioMbona rahisi sana kupata bby girl kuliko kupata bby boy
cocastic njoo huku.Omba sana Mungu wakue wakimjua yeye maana kama ulivyolia kwa furaha ndipo utakavyolia lia kwa huzuni pindi wakiwa kama Cocastica au Jamesdeliciois. Mungu akusaidie wakuwe vyema.
na vp akiwa james delicious afu ukute ndo anamchango mkubwa wa kifedha na kiuchumi kuliko nyie wote na ukute ndo tajiri na mtoaji mkubwa wa misaada kama yule choko/shoga wa south Africa bob risk?Wanaume wanakimbiliaga kulaumu wanawake kwenye watoto wa kiume huku wao ndio wazalishaji wa jinsia hiyo.
All in all mtoto ni mtoto. Unaweza ng'ang'ana wa kiume wa kiume anakuja james delicious. Kumtanguliza tu Mungu katika kila jambo.
Bob risk ni wa nigeria mbona. Sasa yule ni kidume kwamba ataendeleza ukoo?na vp akiwa james delicious afu ukute ndo anamchango mkubwa wa kifedha na kiuchumi kuliko nyie wote na ukute ndo tajiri na mtoaji mkubwa wa misaada kama yule choko/shoga wa south Africa bob risk?
Hapana....Mwenyewe natafuta bby boy aise.Nipe mbinu maana nimeshindwa,, Niko serious nipe mbinu mwenzio
Mi naona ni rahisi zaidi kupata wa kiume
Ukiona Muda Mwingi Mwanaume Anawaza/Kukimbizana Na Mbususu Fahamu Fika Hana Majukumu Yakutosha Kulingana Na Uwezo Wake.Iko hivi wanaume mnatumia muda wenu mwingi kukimbizana na kuwekeza katika mbususu, tofauti na sie mijegejo haitupeleki puta kihivyoo, ndo maana muda mwingi tunawafikiria wazazi wetu kwa ukaribu wa kuwatembelea na hata maisha yao kiuchumi, ulizia kwa wazee watakwambia uhalisia,,
nina watoto kadhaa wa kike, mke wangu ndio alikuwa na shida na maumivu kwanini hana mtoto wa kiume, mimi nilisharidhika na watoto wa kike.Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.
Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.
Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.
Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.
Mchanga alianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.
Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
yule mbona ni kidume kabisa na alishazaa kabla ya kuanza kumegwa.Bob risk ni wa nigeria mbona. Sasa yule ni kidume kwamba ataendeleza ukoo?
Jamani Kama nikugawie vile, Kila la heri utampata tu,,Hapana....Mwenyewe natafuta bby boy aise.
Ongea na dokta pia google google utapata mbinu dear....
Wengi wenu mko hivyoUkiona Muda Mwingi Mwanaume Anawaza/Kukimbizana Na Mbususu Fahamu Fika Hana Majukumu Yakutosha Kulingana Na Uwezo Wake.
Wengi wenu mko hivyo
Na ikawe hivyo, shukraniUsisahau Kuwalea Katika Imani Wawe Na Hofu Ya Mungu Mengine Yote Utazidishiwa Kutoka Kwa Wanao.
Wa kikeNilikimbia bios, hivi ni mtoto yupi rahisi kupatikana kati ya kike na kiume
Jamani, nakuelewa..Pole sana .Jamani Kama nikugawie vile, Kila la heri utampata tu,,
Naona nimeathirika kisaikolojia kiasi Kwamba mtu wangu wa karibu akipata baby boy nakosa vibe hata la kwenda kumuona ila akiwa wa kike nitapeleka mazawadi Kama yote[emoji23][emoji23]
Mimi nilikua nasex everyday after my period nakumbuka..So try itJamani, nakuelewa..Pole sana .
Mimi wakati mjamzito, nilitamani bby boy but ultrasound ikasoma bby girl and nikawa tu kawaida but as time went on I loved her so much mpaka leo nampenda kweli mrembo wangu. But for now I wish to have a bby boy hakuna mfano.
So inabidi nizingatie siku zangu vyema, na siku ya kutunga mimba ya bby boy niwe tayari na mwenzangu awe ready kweli kweli cuz one of the things to consider is deep penetration.
Angalia hapo some of the dos to consider when having sex ili upate bby girl.View attachment 2123667
hahahahahaBob risk ni wa nigeria mbona. Sasa yule ni kidume kwamba ataendeleza ukoo?