Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Wanaume wanakimbiliaga kulaumu wanawake kwenye watoto wa kiume huku wao ndio wazalishaji wa jinsia hiyo.
All in all mtoto ni mtoto. Unaweza ng'ang'ana wa kiume wa kiume anakuja james delicious. Kumtanguliza tu Mungu katika kila jambo.
na vp akiwa james delicious afu ukute ndo anamchango mkubwa wa kifedha na kiuchumi kuliko nyie wote na ukute ndo tajiri na mtoaji mkubwa wa misaada kama yule choko/shoga wa south Africa bob risk?
 
na vp akiwa james delicious afu ukute ndo anamchango mkubwa wa kifedha na kiuchumi kuliko nyie wote na ukute ndo tajiri na mtoaji mkubwa wa misaada kama yule choko/shoga wa south Africa bob risk?
Bob risk ni wa nigeria mbona. Sasa yule ni kidume kwamba ataendeleza ukoo?
 
Iko hivi wanaume mnatumia muda wenu mwingi kukimbizana na kuwekeza katika mbususu, tofauti na sie mijegejo haitupeleki puta kihivyoo, ndo maana muda mwingi tunawafikiria wazazi wetu kwa ukaribu wa kuwatembelea na hata maisha yao kiuchumi, ulizia kwa wazee watakwambia uhalisia,,
Ukiona Muda Mwingi Mwanaume Anawaza/Kukimbizana Na Mbususu Fahamu Fika Hana Majukumu Yakutosha Kulingana Na Uwezo Wake.
 
Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.

Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.

Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.

Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.

Mchanga alianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.

Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
nina watoto kadhaa wa kike, mke wangu ndio alikuwa na shida na maumivu kwanini hana mtoto wa kiume, mimi nilisharidhika na watoto wa kike.
 
Kwa kizazi hiki, mwanaume kutegemea kuwa mtoto wako wa kiume atakuja kukusaidia kimaisha huko ni kujidanganya kwa 100%. Ni sawa na kucheza Biko.

Mtoto wa kiume akikua anawaza kwenda kutafuta mwanamke, amuoe na kutengeneza miliki yake, na akichelewa kufanikisha hilo atabakia hapo hapo home akiwaza wewe baba utakufa lini ili arithi mali.
 
Elimu ya afya ya uzazi nayo tunasubiri NG'O ,anashindwaje kutambua siku ya 12 na 13 toka mkeo wewe kubrid nikikutia mtoto wakike anapatikana ,baada yahapo siku zifuatazo ni baby boy ,sijui tunafeli wapi wanaume ...harafu unamwita kasoma ulaya hayamambo ni basic muhimu kuyafahamu ,wanaume tupunguze ubwege twende clinic na mama tukamwone mkunga atusaidie ,endapo mkeo Hana pamanent menstrual cycle pia utaratibu utapewa kikubwa ujue kanuni za bridi zake(hedhi).....
 
Hapana....Mwenyewe natafuta bby boy aise.

Ongea na dokta pia google google utapata mbinu dear....
Jamani Kama nikugawie vile, Kila la heri utampata tu,,

Naona nimeathirika kisaikolojia kiasi Kwamba mtu wangu wa karibu akipata baby boy nakosa vibe hata la kwenda kumuona ila akiwa wa kike nitapeleka mazawadi Kama yote😂😂
 
Jamani Kama nikugawie vile, Kila la heri utampata tu,,

Naona nimeathirika kisaikolojia kiasi Kwamba mtu wangu wa karibu akipata baby boy nakosa vibe hata la kwenda kumuona ila akiwa wa kike nitapeleka mazawadi Kama yote[emoji23][emoji23]
Jamani, nakuelewa..Pole sana .

Mimi wakati mjamzito, nilitamani bby boy but ultrasound ikasoma bby girl and nikawa tu kawaida but as time went on I loved her so much mpaka leo nampenda kweli mrembo wangu. But for now I wish to have a bby boy hakuna mfano.

So inabidi nizingatie siku zangu vyema, na siku ya kutunga mimba ya bby boy niwe tayari na mwenzangu awe ready kweli kweli cuz one of the things to consider is deep penetration.

Angalia hapo some of the dos to consider when having sex ili upate bby girl.
20220219_092317.jpg
 
Jamani, nakuelewa..Pole sana .

Mimi wakati mjamzito, nilitamani bby boy but ultrasound ikasoma bby girl and nikawa tu kawaida but as time went on I loved her so much mpaka leo nampenda kweli mrembo wangu. But for now I wish to have a bby boy hakuna mfano.

So inabidi nizingatie siku zangu vyema, na siku ya kutunga mimba ya bby boy niwe tayari na mwenzangu awe ready kweli kweli cuz one of the things to consider is deep penetration.

Angalia hapo some of the dos to consider when having sex ili upate bby girl.View attachment 2123667
Mimi nilikua nasex everyday after my period nakumbuka..So try it
Noelia
 
Back
Top Bottom