mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
they know me ma nigga ๐haha wa kibosh huko๐คฃ
Siwez mkuu yule shemeji namuuheshimu sanaAmtake wife wangu ? ๐คฃ Biblia imeandika usitamani mali ya myu mwingine ๐
Umempatia kwelikweli ๐๐๐๐Supavilainishi๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Clepatina umejaaliwa hakika mwenyezi apewe utukufu kwa uumbaji[emoji120][emoji120] we
Najua mnagombea kisima kimoja๐๐Umempatia kwelikweli ๐๐๐๐
Hahahaaa! Supavilainishi yani hii bila ubishi haipingwi tunaishi na hayo maandishi... ๐๐๐๐
Mbona huyo kuku amekufa kwa kideri mkuu?๐คฃ๐คฃ๐คฃmshamba_hachekwi naomba ufikishe taarifa kwa Glenn huu ndio ulaji wangu wa kuku๐๐๐View attachment 2629151View attachment 2629152
Nimetoswa kaka manzi ipo kwenye ndoa๐๐๐๐Najua mnagombea kisima kimoja๐๐
Kamatia hapohapoHahahaaa! Supavilainishi yani hii bila ubishi haipingwi tunaishi na hayo maandishi... ๐๐๐๐
Najua mnagombea kisima kimoja๐๐
Manzi imeolew lini? hahahNimetoswa kaka manzi ipo kwenye ndoa๐๐๐๐
Hakunaga mwanamke mwenye ndoa jiongeze usijilize hapa mkuu๐๐Nimetoswa kaka manzi ipo kwenye ndoa๐๐๐๐
Haha umeongea mpaka mate vijemsk Jessica vimerukia screen๐they know me ma nigga ๐
huyu domo zege anatembelea nyota za watu ๐คฃ๐คฃHakunaga mwanamke mwenye ndoa jiongeze usijilize hapa mkuu๐๐
Wewe ndiye supadomozege hadi unaonyesha marisiti๐คฃ๐คฃ๐คฃhuyu domo zege anatembelea nyota za watu ๐คฃ๐คฃ
them hoes are all over meHaha umeongea mpaka mate vijemsk Jessica vimerukia screen๐
Hivyo ndivyo huwa nakula kuku imagine jinsi navyokula mbuzi choma๐๐๐Mbona huyo kuku amekufa kwa kideri mkuu?๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hebu mpost shemu, huenda mtoto wa watu kanyong'onyea wewe unajilia magengeni tu๐๐Hivyo ndivyo huwa nakula kuku imagine jinsi navyokula mbuzi choma๐๐๐
So unakula kuku aliyekufa kwa ugonjwa?๐๐Hivyo ndivyo huwa nakula kuku imagine jinsi navyokula mbuzi choma๐๐๐