Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Hoja yangu siyo mwanamke kukubali au kukataa pale anapotongozwa, hoja yangu ni wanaume kulalamika kwamba siku hizi wanawake hawajitunzi ilihali hata wao hawako tayari kujitunza na ndio wanaowachezea hao wanawake, reality is reality and perception is perception hili ni suala la objectivity na siyo subjectivity
Mwanaume halalamiki mjitunze bali tunawaonya mjitunze maana athari ni kubwa kwenu sio kwetu. Tulalamike kwani sisi tutapungukiwa na nini, mnaonywa ila hamsikii. Wanawake ndio wanalalamika kutokuolewa kwakuwa ni single mothers. Mtu atalalamikaje kitu anachopata faida nacho. Ila mwaonywa, kwasababu the truth is, ujitunze usijitunze mwanaume hatapungukiwa na kitu maana wapo watakaojitunza. Mnaonywa mjitunze ili kupunguza haya malalamiko yenu sijui ya jamii kuwatenga na kuwalabel vibaya, mwanaume alalamike wewe kutokujitunza kwani anayeshirikiana kukuharibu sihaohao wanaume wasio na hekima. 😂😂😂 swala ni very subjective maana huishi kwakufuata mkumbo wa jamii bali unaishi kwa malezi na maadili uliyofundishwa kutoka kwa wazazi yakiongozwa naakili zako. Ishi kwakufuata mkumbo wa jamii uzidi kuona single mums watakavyozidi. It's your life, your choices, no one will ever die with you or for you.
 
Iam not a single mother(yet).
Ila hata ikitokea nimekua hakuna mtu atasema neno la kunishusha thamani sbb ya usingo maza nikaliamini.
Wapo watu wameoa singo maza na wanaishi kwa amani kuliko waliooa waliotupa watoto chooni
Sasa mbona kauli yako ni tata? Umesema, "i am not a single mother (yet)" it means kisaikolojia sehemu ya akili yako imeshakubali kuwa one day utakuwa single mother.

Na hii ndio akili ya mabinti wengi miaka hii mnaona kawaida na hiki ndicho tulikuwa tunakipiga vita sana kwamba hii tabia ya kuzaa na wanaume na kisha kulea watoto kiholela ikizoeleka mabinti wengi watajirushia kwenye hili shimo bila kupiga hesabu then itaambukiza kizazi kijacho kitakuwa cha masingle mother.
 
Hakuna kinga ya kutokua single maza mkuu kwa hiyo siwez kukwambia sawa sitakua single maza labda niache kupenda wanaume na niwe mtawa kanisani.
Kuwa single maza sio ujinga na kuzalia ndoani sio ujanja ni fate tu.
Kwahiyo kwa kauli hii unataka kuaminisha umati huu kuwa huko ulimwenguni hakuna wanaume wa kuoa ila kuna wanaume wanaowapa ujauzito mabinti na kukimbia?!


Tukueleweje?!
 
Vipi wanaume ambao wanaooa wakiwa tayari na watoto 6?
Wao sio pasua kichwa?
Najua hakuna mwanaume malaya kwenye jamii[emoji848]
Honestly nyie wenzetu mmependelewa sana na hatuwezi kushindana na nyie ila tunchoomba ni mtuhurumie tu.
Tafakarini mara mbili mbili kabla ya kutuhukumu[emoji120]
Ukikuta mwanaume ana watoto zaidi ya m'moja na ni mama tofauti then usije ukaingia hapo. Utakuja jilaumu baadae. Watoto sita huyo labda awe mzee wa miaka 50 au 60 . Ila kijana wa miaka 20+ au miaka 30 + watoto sita alizaa na mwanamke wa aina gani huyo ndani ya muda mfupi?
 
Ye34nbe is a strategist... Nigga is obn every comment with a dislike, homie is cold blooded, and probably under influence you know.. Texas tea and the likes...chill homie, the seizures gon black you out....
 
Ukikuta mwanaume ana watoto zaidi ya m'moja na ni mama tofauti then usije ukaingia hapo. Utakuja jilaumu baadae. Watoto sita huyo labda awe mzee wa miaka 50 au 60 . Ila kijana wa miaka 20+ au miaka 30 + watoto sita alizaa na mwanamke wa aina gani huyo ndani ya muda mfupi?
One of my guys ana watoto 8 na hajaoa na ana 35 years old to add5 insult to injury this mf is BROKE na KAPOTEZA HOPE ya maisha, huyu huwa ndo reference yangu... Yan yeye ndio huwa nikitaka kukosea sanaa nam refer yeye narekebisha makosa...
 
To all single mamaz

Either ni kwa makosa au matendo yetu au ya wenza wetu leo tuna title mpya as single mama tunaangaliwa kwa tafsiri na mtazamo tofauti na jamii

Ila habari njema ni kuwa licha ya masimango,matusi na lawama tunazopokea kwa jamii ni kuwa tayari tushakua mama na tuna watoto wanaotutazama na kututegemea, watoto ambao sisi ni kila kitu katika maisha yao (hii inaonyesha kuwa sisi ni wathamani kwa kizazi chetu)

Kubwa zaidi ni being single mama tayari ni maisha yetu na njia yetu mpya hatuwezi badili hilo sababu kilichopandwa ndicho kilichovunwa muhimu kwa sasa ni tupande kilicho bora kupitia matendo na kila hatua tunayopiga kwa hakika hatutaweza kubadili yaliyotokea ila kwa uwezo wa Allah in shaa Allah tutavuna kilicho bora for the sake of our kids and our future

NB: ukiachilia maumivu ya majukumu kuwa mengi na kutamani japo mtu wa kukushika mkono unfortunately no one is there, maumivu ya kihisia,majuto na lawama karibu pm uweze kupata nafasi ya kukutana na single mama wenzetu sometimes tunahitaji kusikilizwa,kupewa pole,kupewa muongozo na kusikiliza story za wenzako hii itafanya usijione kuwa upo mwenyewe na kuondoa unyonge so let's meet tuweze kushare hisia zetu na kuonyeshana njia
 
i

Manzi imeolew lini? hahah
Sio kweli Usimsikilize huyo baba tamu wa rainbow🤣.
Halafu huyo anayesema mim.ni ex gf wake anachangamsha genge tu.🤣.😍
Mi sina ex anayejua kiswahili🤣
 
Ye34nbe is a strategist... Nigga is obn every comment with a dislike, homie is cold blooded, and probably under influence you know.. Texas tea and the likes...chill homie, the seizures gon black you out....
at dawn he was warned by the mods 🤣 I don't think he will do the same today If he is reported by any chance he will be banned. I doubt he will risk that 😀
 
To all single mamaz

Either ni kwa makosa au matendo yetu au ya wenza wetu leo tuna title mpya as single mama tunaangaliwa kwa tafsiri na mtazamo tofauti na jamii

Ila habari njema ni kuwa licha ya masimango,matusi na lawama tunazopokea kwa jamii ni kuwa tayari tushakua mama na tuna watoto wanaotutazama na kututegemea, watoto ambao sisi ni kila kitu katika maisha yao (hii inaonyesha kuwa sisi ni wathamani kwa kizazi chetu)

Kubwa zaidi ni being single mama tayari ni maisha yetu na njia yetu mpya hatuwezi badili hilo sababu kilichopandwa ndicho kilichovunwa muhimu kwa sasa ni tupande kilicho bora kupitia matendo na kila hatua tunayopiga kwa hakika hatutaweza kubadili yaliyotokea ila kwa uwezo wa Allah in shaa Allah tutavuna kilicho bora for the sake of our kids and our future

NB: ukiachilia maumivu ya majukumu kuwa mengi na kutamani japo mtu wa kukushika mkono unfortunately no one is there, maumivu ya kihisia,majuto na lawama karibu pm uweze kupata nafasi ya kukutana na single mama wenzetu sometimes tunahitaji kusikilizwa,kupewa pole,kupewa muongozo na kusikiliza story za wenzako hii itafanya usijione kuwa upo mwenyewe na kuondoa unyonge so let's meet tuweze kushare hisia zetu na kuonyeshana njia
Singo maza ni malaya ns wadangaji
 
To all single mamaz

Either ni kwa makosa au matendo yetu au ya wenza wetu leo tuna title mpya as single mama tunaangaliwa kwa tafsiri na mtazamo tofauti na jamii

Ila habari njema ni kuwa licha ya masimango,matusi na lawama tunazopokea kwa jamii ni kuwa tayari tushakua mama na tuna watoto wanaotutazama na kututegemea, watoto ambao sisi ni kila kitu katika maisha yao (hii inaonyesha kuwa sisi ni wathamani kwa kizazi chetu)

Kubwa zaidi ni being single mama tayari ni maisha yetu na njia yetu mpya hatuwezi badili hilo sababu kilichopandwa ndicho kilichovunwa muhimu kwa sasa ni tupande kilicho bora kupitia matendo na kila hatua tunayopiga kwa hakika hatutaweza kubadili yaliyotokea ila kwa uwezo wa Allah in shaa Allah tutavuna kilicho bora for the sake of our kids and our future

NB: ukiachilia maumivu ya majukumu kuwa mengi na kutamani japo mtu wa kukushika mkono unfortunately no one is there, maumivu ya kihisia,majuto na lawama karibu pm uweze kupata nafasi ya kukutana na single mama wenzetu sometimes tunahitaji kusikilizwa,kupewa pole,kupewa muongozo na kusikiliza story za wenzako hii itafanya usijione kuwa upo mwenyewe na kuondoa unyonge so let's meet tuweze kushare hisia zetu na kuonyeshana njia
Mungu akubariki sana wewe dada muweze kufanikiza hatmq yetu. Matumai mtashirikiana vyema ila tu don't assume kila single mother anajielewa wengine hawajuelewi kabisa hivyo usikate tamaa hujui tu kuna mmoja utamgusa sana maisha yake. .
 
Back
Top Bottom