Endelea mkuuNikiendelea kuongelea ili jambo, nitajikuta naweka wazi kitu ambacho mpaka leo sijaamuaga kukiongelea.
Labda nikufafanulie jambo moja, lawama wanazotoa single mothers, nyingi zinabase kwa wanaume waliozaa nao (their present and past life). Lakini zinazotolewa na wanaume, ni pale wanapokuwa kwenye mahusiano na single mothers (their present n future life).
So ni mwenye present & past VS mwenye present &future. Sijui kama umenielewa.
Hii mada ni too deep kuliko unavyoiona.
Ngoja niishie hapa ππ.
Vipi wanaume ambao wanaooa wakiwa tayari na watoto 6?Ambae ni mjane hapo sawa...
Wengine ni pasua vichwa unadhani ni sabb Gani hawaku excel kwenye mausiano ya kwanza.....
Lisemwalo lipo..kua uyaone....Hii mechi haiitaji hasira...
Wewe mweleze ukweli kuwa kuna wadada umewzalisha likiwemo shangazi yule wa safari ya analyseπNikiendelea kuongelea ili jambo, nitajikuta naweka wazi kitu ambacho mpaka leo sijaamuaga kukiongelea.
Labda nikufafanulie jambo moja, lawama wanazotoa single mothers, nyingi zinabase kwa wanaume waliozaa nao (their present and past life). Lakini zinazotolewa na wanaume, ni pale wanapokuwa kwenye mahusiano na single mothers (their present n future life).
So ni mwenye present & past VS mwenye present &future. Sijui kama umenielewa.
Hii mada ni too deep kuliko unavyoiona.
Ngoja niishie hapa ππ.
Gily βΊοΈβΊοΈπππWewe mweleze ukweli kuwa kuna wadada umewzalisha likiwemo shangazi yule wa safari ya analyseπ
kifupi mwambie kwamba yule shangazi alitaka mwenyewe. Mbali na kuwepo njia za uzazi wa mpango zote na kujitahidi kote kumwaga njeπ shangazi alitaka mwenyewe kuzaa abebe mzigo wakeπ
Mume/ex wake akiwa amekufa na ukisirani wake na ujuaji wake unaisha?Single mother ni Scam,
Kimbia...butua kimbia...ni visirani sana..UJUAJI MWINGI..ndio maana wanaume wanawaweka kwenye 18 butua ndukiii.....
Oa single mama pekee ikiwa mume au ex_wake ni marehemu
Ukoo wetu tupo wachache sana na sisi wanaume tusipo pambana ukoo unaweza kupotea huko mbeleni....Hii dunia ya leo ukweli ni kwamba ukilalamika kushika mimba zisizo na baba unless kesi tofauti. Kwani wanawake wengi wanataka kuwazalia wanaume wakiamini watawaoa. Pamoja na njia zote hizi za uzazi wa mpango u ashikaje mimba kizembe kama sio asilimia kubwa wanataka wenyewe kuzaa na majamaa vilaza?.
Kongole sana kwa wachaga huwa hawaachi damu nyuma na wala hawakatai watoto kabisa. Binafsi napenda watoto mbaya na nahitaji kuwa nal hata 20ππ sijui naanzia wapi.
Duru katika Research zinasema wazi wazi...Mume/ex wake akiwa amekufa na ukisirani wake na ujuaji wake unaisha?
Umenena vema Gily .Hii dunia ya leo ukweli ni kwamba ukilalamika kushika mimba zisizo na baba unless kesi tofauti. Kwani wanawake wengi wanataka kuwazalia wanaume wakiamini watawaoa. Pamoja na njia zote hizi za uzazi wa mpango u ashikaje mimba kizembe kama sio asilimia kubwa wanataka wenyewe kuzaa na majamaa vilaza?.
Kongole sana kwa wachaga huwa hawaachi damu nyuma na wala hawakatai watoto kabisa. Binafsi napenda watoto mbaya na nahitaji kuwa nal hata 20ππ sijui naanzia wapi.
Hadithi ndefu ila inaonekana msimamo wa dada uheshimiwe maana alirubuniwa kihuni na kuleweshwa. Nyie mnaotutegea mimba tutawaacha na watoto wenuShaloom.
Dada mmoja aliamini kuwa mtu pekee anayestahili kuitoa bikra yake ni mwanaume atakayemuoa.
Huu msimamo wa bibie ulifanya apoteze "wachumba" wengi kwani walipoambiwa hawataonja asali mpaka waingie ndoani walisepa.
H
Naomba uwe mentor wanguππpresent & past VS present &future
Basi kama unaamini kuwa hamna mtu anayeshushwa thamani kwahivyo vitu, hii mada hukutakiwa kuileta huku. Nakama unajua kuwa kuna single mums pia wanaolewa pia hii mada hukutakiwa kuileta, maana unalalamika huku ukijua malalamiko hayo hayana msingi. Hayo ndiyo maisha yalivyo, hakuna jinsia inayokula mema ya nchi wote tunateseka kwakuwa tubinadamu. Never blame your problem on anyone, they are yours and only for you, maneno ya watu hayauwii.Iam not a single mother(yet).
Ila hata ikitokea nimekua hakuna mtu atasema neno la kunishusha thamani sbb ya usingo maza nikaliamini.
Wapo watu wameoa singo maza na wanaishi kwa amani kuliko waliooa waliotupa watoto chooni
Ni ngumu sana kwa yanayoonekana huku mtaani. Hasa hasa kama baba wa Mtoto yupo haiNimekuelewa.
Im not talking about past issues mkuu.
Im talking about what is going on in our society.
Naongelea present tena present continuous issue.
Mimi naongelea single maza wote kuonekana hawafai.
Naomba unijibu mkuu.
Wewe unaamini kabisa na moyo na akili zako kuwa hakuna single maza hata mmoja anayeweza kuwa mke mwema?