mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Leo una sumu balaaNAKAZIA
Kingine ni ruba hawa watu, wameshindwa kukaa na wazazi wenzao wanajifanya wajuaji eti wawatulize wapenzi wetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo una sumu balaaNAKAZIA
Kingine ni ruba hawa watu, wameshindwa kukaa na wazazi wenzao wanajifanya wajuaji eti wawatulize wapenzi wetu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji56][emoji56]Kuna moja ni mwalimu wa shule ya msingi kila nikienda kijijini ni uhakika! single mothers ngono ni hulka yao
Kama mlevi wa k-vant.nikuvuta tu
Vizuri mkuu 😍
[emoji3][emoji3], kukaa nao ndani kama mke ujipange. Vinginevyo utakuwa chizi.na hii hichochea kila mtoto kua na baba yake
Mke/mpenzi/mme wako wa leo alikuwa mme/mpenzi/mke wa jamaa enzi hizo.To yeye tunaomba utupe opinion yako hapa kama single maza
Tafakuri !!!!Single mother wananyanyapaliwa utafikiri huo usingle mother wametoa sayari ya Mars[emoji20]
Inauma sana walahi, tuwaomber mema kila wakati.Sema tu Sina Hela za kutatua shida za Hawa viumbe. Ila umasikini wa familia unafanya watoto wa kike kufedheheshwa sana. Wanageuzwa onjwa onjwa Kila wakihitaji pesa.
Pia inafanya ukimwi kuenea kirahisi ukiachia mbali uhuni na umalaya. Ni balaa hili japo mnalishabikia. Fikiria mama yako au dada yako au shangazi yako wangekuwa single mothersHasa kwa wale waliotokea familia za kimaskini na baba wa mtoto kala kona, naongea kwa ushahidi kabisa kuna uhakika wa asilimia 90 kulala na single mother siku hio hio.
Mara nyingi huwezi kujua ni single mothers sababu bado ni umri mdogo bado ni pisi kali tu, ila ndio hivo tena ukiingia line suala la kupewa mzigo ni kawaida sana,
Mzigo alionao single mother ni mzito sana, tafadhali inapotokea unaweza kugundua shida yake, msaidie bila kutaka chochote
Jamii itabadilika muda sio mrefu. Kwa wenzetu imekuwa sio issue tena.Wekeni tu sheria single mothers wauwawe kunyanyapaa kila siku imetosha sasa
Tumpe kombe la udongo au?Mleta mada hajakosea kabisa [emoji7]
Ni ukweli mtupu, na huwa nawaza Hawa watoto wanavyokuwa bila malezi mwisho utakuwaje!umelala na wangapi mpaka umeona kuna uhakika huu??
Muda wote wanaongea peke yao bila kusemeshwa. Ni wakali pia wamevurugwa.
Leo una sumu balaa
Safari ni ndefuJamii itabadilika muda sio mrefu. Kwa wenzetu imekuwa sio issue tena.
Yeah 👍Tumpe kombe la udongo au?
Hakuna uhalisia wowote, ni percetions za watu tu.Aisee kwa hiyo mbususu za single maza kuchakatwa ni rahisi sana au sio.
Vipi umerudi kwa jamaaa kupeana utamu au na leo tena umekimbia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yesSingle mama uzaa single mama