Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Mwamedi kakuingia sana mpaka umekuwa muhakiki wa imani za wengine, mwamedi alieoa kibinti cha miaka tisa ,?anaesema chinja watu ila wakubali imani yake , asee itamchukua mjinga kumwamini
 
Wew ambaye hujui ndio unaona propaganda kwani mwaka 1948 Israel [emoji1134] alikuwa na eneo gani na leo anaemeo gani kuanzia golan heights mpaka gaza strips na syria na lebanon mbabe kachukua , wew unaona propaganda , mwarabu kafurushwa kweli yaaa.ni
 
dua ya shetani haipatagi mtu wa Mungu. mnaangalia israel tu, mbona rocket rundo zinarushwa israel hamlaani hamas? hivi ukiwa umekaa nyumbani kwako halafu mtu anarusha rocket kutaka kulipua wewe na familia yako utakaa kimya? ukimzibua huyo mtu hata akikuombea mabaya yatakupata?
 
Hao wazayuni lazima walipe hayo maovu, kivipi itajulikana tu wakati huo, swala la dua hatujuwi, maana dada mange halikumathiri sasa haliaminiki kivile.
hamas pia lazima walipe kwa maovu na ugaidi wanaoufanya, na ni israel ndio watakaowalipa kwa kuwashikisha adabu.
 
Mvamizi akitoa ratiba kwa kujigamba halafu ikaonekana hakufanya huwa ameshindwa.Na kushindwa mara nyingi ni dalili ya laana.Laana maana yake ni nguvu iliyo kuu isiyojali mipango ya kibinadamu na hutoka kwa Mwenyezi Mungu pekee.
 
Na jee utafanya nini anapokuja mtu akakutoa kabisa nyumbani kwako ili akae yeye.
 
Mwisho wa Israel ukikaribia
Basi ujue na mwisho wa dunia umekaribia.
Acha waendelee kutamba tuendelee kuishi
 
Mwamedi kakuingia sana mpaka umekuwa muhakiki wa imani za wengine, mwamedi alieoa kibinti cha miaka tisa ,?anaesema chinja watu ila wakubali imani yake , asee itamchukua mjinga kumwamini

if you read between the line... utajua mi ni muumino wa kitu gani... kwa kukusaidia mi ni mkristo ila siko biased..
 
Mwisho wa Israel ukikaribia
Basi ujue na mwisho wa dunia umekaribia.
Acha waendelee kutamba tuendelee kuishi
Watu hawajui kuwa israel [emoji1134] ni saa ya dunia watu wanajitoa ufahamu tu , ile nchi ya mashariki ya kati ilikuwa yao kabla ya kwemda utumwani babeli , wamarekani wakawarudishia mwaka 1948 , na ndio maaana mmarekani kabarikiwa kuwa taifa lenye nguvu mpaka. Leo
 
Siku ukiona marekani kashindwa kumlinda israel [emoji1134] na israel [emoji1134] kashindwa vita , basi jua mwisho wa dunia umefika , maaana Mungu atashuka mwenyewe kuwatete , asomaye na afahamu
 
YAPO MAMBO INATUBIDI TUYABADILISHE ILI TUENDANE NA MATAKWA YA BIBLIA KWA KUFUATA NJIA ALIYOIPITA MUSA.
 
Ndo maana Mimi nakaa kimya tu.kwenye haya Mambo ya Israel na parestina.
NINESHAYASOMA HAYA.
kwenye vitabu vya dini vya kiislam.
 
Siku ukiona marekani kashindwa kumlinda israel [emoji1134] na israel [emoji1134] kashindwa vita , basi jua mwisho wa dunia umefika , maaana Mungu atashuka mwenyewe kuwatete , asomaye na afahamu
NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA YAHUAH ATAPIGANA YEYE KWA VIJINGA VYA MOTO,ONA JINSI ALIVYOIANGAMIZA SODOMA KWA VIJINGA VYA MOTO MPAKA LEO HII ENEO LILE UDONGO WAKE UMEUNGUA NA KUGEUKA KUWA KATIKA HALI YA JIVU JIVU.THE POWER OF ABBA YAHUAH.
 
NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA YAHUAH ATAPIGANA YEYE KWA VIJINGA VYA MOTO,ONA JINSI ALIVYOIANGAMIZA SODOMA KWA VIJINGA VYA MOTO MPAKA LEO HII ENEO LILE UDONGO WAKE UMEUNGUA NA KUGEUKA KUWA KATIKA HALI YA JIVU JIVU.THE POWER OF ABBA YAHUAH.


chief naona judaism iko kwenye dam[emoji3] ....
 
Na jee utafanya nini anapokuja mtu akakutoa kabisa nyumbani kwako ili akae yeye.
kwamfano, waarabu waliovamia ardhi ya israel ambayo miaka maelfu walipewa na Mungu, utasema nani anamwondoa mwingine nyumbani kwake? mvamizi ni nani hapo?
 
Tangu nikiwa Mdogo, hua nasikia ni Palestine tu wanapigwa

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Wanapigwa miaka na miaka watu hawajui tu ila ugomvi wanaanzisha wenyewe, Muisrael hamuamini kabisa Mpalestina washajilipua mara kibao na kuwaua.
Sasa wanajihami, wakiona tu Mpalestina jirani yao haeleweki watamalizana nae, na sometime wanawafata huko huko Palestina.
Ila kuna Wapalestina wa Amani wanaishi vizuri tu Israel ndani
 
Na kuna watu wameweka bendera za Israeli makanisani, majumbani na kwenye magari yao pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…