Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Hizi dini ni shida zinapumbaza watu wanashindwa kufikiria, kwani nani hakujua libia,syria zitakuja kuanguka kutokana na mifumo yao ya nchi na tabia za viongozi wao? Nchi za kiarabu, Africa, South America nyingi zina mifumo inayofanana na kutengeneza viongozi wenye tabia zinazofanana. Ni rahisi kuona matokeo yake miaka kazaa inayokuja
 
Pananipa mtihani kweli hapa, maana sithubutu kumkana ispokuwa huku kwetu anajulikana kama YAHUSHA...!

Wayahud ndo wamefanya maisha yetu kuwa Magumu.. maana kumtosa Jesus kwa Ego's zao ndo wametupa mitihani sie outsiders kuwa kwenye dilemma

haiwezekan wamuamini Yohana mbatizaji awabatize ila wasimuamini maneno yake ya Kumtabiria Yesu
 
Wew ambaye hujui ndio unaona propaganda kwani mwaka 1948 Israel [emoji1134] alikuwa na eneo gani na leo anaemeo gani kuanzia golan heights mpaka gaza strips na syria na lebanon mbabe kachukua , wew unaona propaganda , mwarabu kafurushwa kweli yaaa.ni
ushabiki bila kutumia logic ni ugonjwa mbaya sana zaidi ya ugonjwa wa akili btn upo sahihi kwa muono wako ulivyoaminishwa
 

Unajuwa ugomvi wao?
 

Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni uislamu.
 
Mwamedi kakuingia sana mpaka umekuwa muhakiki wa imani za wengine, mwamedi alieoa kibinti cha miaka tisa ,?anaesema chinja watu ila wakubali imani yake , asee itamchukua mjinga kumwamini

Aya ipi inasema Nabii Muhammad alisema chinja watu ili wakubali kuingia kwenye uislamu????


Lete hiyo aya hapa ewe Galatia!
 
Umetisha mkuu
 
Wew ambaye hujui ndio unaona propaganda kwani mwaka 1948 Israel [emoji1134] alikuwa na eneo gani na leo anaemeo gani kuanzia golan heights mpaka gaza strips na syria na lebanon mbabe kachukua , wew unaona propaganda , mwarabu kafurushwa kweli yaaa.ni

Wewe hujui history ya middle east, yani hujui lolote mzee, mahaba ya mayahudi/m.a.k.a.f.i.r.i wenzio yamekujaa tele " na utaingianao motoni hao makafiri wa kiyahudi.
 
Kwanza uelewe hiviii

1. Hakuna wa kuilaani Israel maana imebarikiwa.
2. Israel kuanguka kwa adui sio mara ya kwanza, ni miaka na miaka.
3. Hakuna anayeipiga Israel endapo Israel ipo sawa kwenye mahusiano yake na Mungu.
4. Israel anaweza akawa weak sn ila hauwezi ukamdondosha kwa namna yoyote maana nguvu zao sio ktk majeshi, watu wala silaha ila ni ktk Mungu.
 
hamas pia lazima walipe kwa maovu na ugaidi wanaoufanya, na ni israel ndio watakaowalipa kwa kuwashikisha adabu.

Kwahiyo HAMAS ni magaidi ila majeshi ya israel sio magaidi sio? K.a.f..i..r..i lazima amtetee k..a..f.i.r..i mwenzie, lakini wako baadhi ya wakristo humu na nje wakilaani maovu yanayofanywa na waisrael.


Hata kama ni wewe umeingiliwa kwenye land/bara lako kwa maana ya uvamizi/kupora ardhi tena kwa mabavu ndani ya ardhi yako, n still wanaendelea kumega utajisikiaje, au utachukua hatua gani ili kuwadhibiti wasiendelee kuvamia!!! Na Hapo hapo Europe, amerika na baadhi ya nchi za kiafrika UN n.k wakiwa upande wa makafiri wenzao mayahudi.
 
So when you see the abomination of desolation spoken of by the prophet Daniel, standing in the holy place (let the reader understand),
 
YAANI hivyo mnavyotuitaga kafiri ndio inatufanya tuone hamas magaidi kabisa. wacha washughulikiwe tu .
 
Aya ipi inasema Nabii Muhammad alisema chinja watu ili wakubali kuingia kwenye uislamu????


Lete hiyo aya hapa ewe Galatia!
Huyo huyo Muddy kasema wayahudi waliitawanyika watarudi Israel nakuanzisha taifa.

Naomba kukuuliza swali. Je mshua wake Mudy mzee Abdallah alikuwa Muislamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…