Kwanini baadhi ya "wanajeshi" wetu wana vitambi?

Ningekuwa mimi ndo amiri jeshi Mkuu, hayo yote yenye vitambi ningeya-demote au kuyashusha vyeo. Kwa askari/mwanajeshi kuwa na kitambi ni kukosa nidhamu.
 
Bia za punguzo wanazokunywa kwenye bar za kambi zao
 
Hicho kitambi mnacho sema...kwenye mambo yetu yale...huwa kinarudi nyuma na kuwa kibiongo...huku show ikiendelea mujarabu...
 
Picha tafadhali
 
Kama kuna ka Ukweli hapa
 
Hata Amiri Jeshi Mkuu ashaliona hilo
 

Attachments

  • RAIS_SAMIA_AWAGEUKIA_ASKARI_WENYE_VITAMBI_-___NIMEVIONA_VITAMBI,_WARUDI_WATOE_VITAMBI_WAWE_WEP...mp4
    4.6 MB
nachukia sana kitambi
 
Nadhani askari yeyote mwenye kitambi ni matokeo ya uvivu. Uniform za majeshi yetu pia zibadilishwe. Hawa wenzetu wanapendezeshwa na nini? Mavazi? Urefu? wembamba?... au wanahenya muda wote? 😳 View attachment 2890251
Nimejaribu kuwaangalia kwa makini lakini sijamwona mwenye tumbo kubwa.

Au hawali vizuri?
 
Matokeo ya ulaji mbovu na kubweteka.
Tafsiri yako yaweza kuwa ni sawa, lakini wanabwetekaje wakati kwenye majeshi michezo pamoja na training ni lazima bila kujali cheo?

Tunakutana nao mabarabarani wakifanya collective sports nadhani kila siku za jumanne na ijumaa!

Kunenepeana kwenye majeshi hakutokani na kubweteka bali kunatokana na kuubwaga moyo(kuridhika).

Hakuna cheo unaweza enjoy kama cheo cha jeshi.

Unapokuwa na cheo chenye mamlaka na namna sheria za jeshi zilivyo, asiyeweza kunenepa ni yule mwenye mwili asili ya Obama.

Maana yake ni kwamba, ukiwa na cheo chenye mamlaka, chochote utakachokisema lazima mtu unayemzidi cheo aitikie kwa unyenyekevu mkubwa na usiotia shaka, tena haitikii kupokea maagizo huku akitembea, huitikia huku yuko attention kwa umakini wa kutekeleza unachomuagiza!

Mambo yote mema lazima kwanza wewe uyapate ndiyo yashuke kwa wengine na unachokiagiza ama unachokitaka lazima kitekelezwe, staff wa chini yako wanakutii kuliko ambavyo mkeo ama watoto wako wanavyokutii.

Hapo kwa nini mtu asinenepe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…