Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Hao ndugu wanatafuta nini kwenye familia za watu?
Unauliza tatizo nini, tatizo ni hao ndugu! Ukihamia kwenye familia ya watu lazima ujue wewe ndo tatizo, maana unaenda kuvuruga utaratibu wao waliojiwekea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo baraka ni za namna gani? Hapo hamna ukweli wowote. Kila mtu akae kwake ukienda kwa watu sio uhamie unakwaza. Sio selfishness nimesema ukweli si bora yangu kuliko mnaobagua wageni.
Mi mmoja tunae ofisini humu🥴😠Hapa umenena ukwel kabisa,ninao ndugu waliobadili dini na kuwa walokole wana roho mbaya sana,yaan wanacheka na wanaosali nao tu
WhateverHuu ndio ubinafsi unaozungumziwa hapa
Mbaya sana, kuna familia fulani yeye mkewe akiwepo nyumbani mpaka mende wanafyata mkia, anafoka kwa ukali wakati akitoa maelekezo ya kazi, mama mkwe halikadhalika ikabidi awe anajishughulisha kwa hofu ya kuonekana mzigo tu, na uzee wake bibi wa watu akadondoka akavunjika kapelekwa hosp kesho yake kafariki dunia, tunajua hili na vifungu vya biblia mke amekariri vya kutosha.Kuna mwingine hadi mwanamke kwa zengwe lake tu mama mkwe mgonjwa asikae kwake, alipelekea mama kafa kwa presha. Jamaa hadi kesho anajua alitesababisha kifo cha mama yake ni mke wake.
Ukiona mwanamke haelewi bora uwaweke mbali tu ndugu.
Vyanamke vingine unakuta dini ulokole hashikiki wala hakaambiliki lakini kana roho mbaya kama koboko.
Mi ndio maana huwa nakupenda wewe dada. Hunaga kupindisha pindisha mambo.Wanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
🤣🤣🤣 Maisha yapo ivo mkuuMi ndio maana huwa nakupenda wewe dada. Hunaga kupindisha pindisha mambo.
Mungu anawaona maana si kwa ubinafsi huu!!Mwenye maono ya lini na nani wa kuoa ni mwanaume ila ndoa ni ya mwanamke
Mwenye kujenga mjengo wa kuishi ni mwanaume ila nyumba ni ya mwanamke
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mama yangu nakataa [emoji107]Wanawake wengi ni viumbe wenye roho mbaya sana, pia ni wabinafsi. Mchunguze hata mama yako
Na bahati mbaya haimwachi.....miaka minne kapoteza watoto wawili na huyu bwana....akizaa tu wanarudi walikotoka [emoji26]
Mim mwenyewe sijaelewa ila nimeunga tu nisionekane nina kichwa kigumu[emoji23]sijaelewa mada[emoji28]
Utakataa ila ndio ukweli halisi mkuu.Mama yangu nakataa [emoji107]
Haijalishi ila ujumbe ndiyo huo mkuuUmbea
Mbona mazaa hana shida yupo peace tu.Utakataa ila ndio ukweli halisi mkuu.
Akiongea hivyo mwanaume haitwi mbinafsi wala mchoyoUbinafsi na uchoyo! Mwanamke…
Yuko peace kwako/kwenu, jaribu kutoka nje ya box alafu mzoom.Mbona mazaa hana shida yupo peace tu.