teknolojia ambayo ni mpango wa shetani ndo imetufikisha hapa!!
Kwa akili kama hizi kwakweli tubadilike sana.
Huu uhafidhina wa dini ni wa hovyo sana.
Mpango wa shetani umekuwezesha kufuatilia uzi huu na umepost huo usaliti. Umemsaliti rafiki yetu shetani na kwakweli haikubaliki hii. Shetani kila mtu anampenda na anaurafiki naye.
Shetani ana vizuri kwa kweli.
Mungu alipowaumba hakuwa na nia ya ninyi watoto wake mfurahi.
Mimi kama mratibu wa matukio, naomba kuchukua nafasi hii kutangaza matokeo tusiwe wanafiki.
kiujumla battle la Mungu vs shetani,
Shetani ni Mshindi kwa hakika. Hakuna mtoto wa Mungu anaweza kulisema hili. Lakini statistic zinaonesha. Ukibisha access tu mtaani kwako, access pia vifaa vya technology wangapi wanatumia. Kijana mtumishi anaogopa kuaproach mwanamke akiogopa kuzini lakini chumbani peke yake anacheck porn.
Niwaalike kila mmoja wenu kujitafakari.. Ni mabaya mangapi anayafanya na anahisi ni kinyume cha matakwa ya Mungu ukijumuisha pia kama unatumia technolojia zinazodaiwa ni mpango wa shetani.
Do the math.
Nb. Shetani na Mungu ni mawazo yetu sisi wanadamu.
Zawadi ya upako haitoki juu wala mahala popote, ila inatoka akilini mwako mwenyewe.