Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hakika, dini imegeuzwa biashara kubwa sanaDini imeshakua Biashara halali ukitaka kupiga Pesa za wajinga vichaa wapungufu wa akili jiite prophet au jiite nabii au jiite kuhani baada ya hapo fungua kanisa lako hawatojari una elimu gani wewe tema neno ukimaliza wakamue sadaka tena kaba hadi kwenye mitandao ya simu yote weka namba wajinga watachangia, miezi miwili mingi una kiwanja kigambo huku unapush harrier matako ya nyani new model