Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

Kwa ufupi Mungu yupo,.
Tatizo tu maisha namna yalivo inasababisha kutoaminika.
Mfano wenye Imani kubwa ndio wanaougua, wanakufa nja, hawana Hela, ila haya mikurumbembe mingine inatusua tu hapo ndipo itaona kijana mwenye akil chache anaona hakuna uwepo wa Mungu.
 
Wewe nan kakwambia malengo ya shetani?

Habari ya kufunga akili kwa fact ya elimu umeipata wapi?

Kuna kauli moja huwa ni ya Kijinga sana kwa upande wangu, kauli isemayo eti maandiko kuyasoma kama gazeti" kumne yasomwaje? Assume mtu hajui na anataka amjue Mungu wenu kwa mara ya kwanza unataka akubali kwanza Mungu yupo ndio asome si ndio? Ikimaanisha kuwa akubali kila anachokikuta kwenye hadithi tata za Nyoka kuongea na yule samaki mmeza watu.

Hii kauli ni mbovu sana, Nafkiri Mungu wenu aliishiwa mbinu. Kama ni siri amezificha kumbe ni za kutafuta tena ohoooo.

Ni muda sasa wa kuzaliwa upya. Haimaanishi ulivyoishi tangu umezaliwa bhc unapaswa kuwa hivo hivo.
Na bahati mbaya mnapokosea ninyi watoto wa Mungu huwa mnadhani sie hatujawahi kuishi hayo maisha yenu, tunajua bible na quran vizur tu, ndani na nje.

Nkikuuliza tu kuhusu nje hapa najua hujui chochote, we unachokijua tu ni Nyoka aliongea, samaki alimeza watu, Jua lilisimama, bahari iliacha njia n. K.

Vua miwani hiyo.
 
tumemchoka Mungu wa mchongo asiyekuwa na haki wala faida,, Mungu ni kiziwi hasikii👽
Zamani alikuwa anasikia na kujibu kama ilivoandikwa, walivomaliza kuandika aliugua.

Ila bahati mbaya hakupona alifariki.

Sijui nani ailaze roho yake mahala pema pepon dah, 😥
Amen
 
teknolojia ambayo ni mpango wa shetani ndo imetufikisha hapa!!
Kwa akili kama hizi kwakweli tubadilike sana.

Huu uhafidhina wa dini ni wa hovyo sana.
Mpango wa shetani umekuwezesha kufuatilia uzi huu na umepost huo usaliti. Umemsaliti rafiki yetu shetani na kwakweli haikubaliki hii. Shetani kila mtu anampenda na anaurafiki naye.

Shetani ana vizuri kwa kweli.
Mungu alipowaumba hakuwa na nia ya ninyi watoto wake mfurahi.

Mimi kama mratibu wa matukio, naomba kuchukua nafasi hii kutangaza matokeo tusiwe wanafiki.
kiujumla battle la Mungu vs shetani, Shetani ni Mshindi kwa hakika. Hakuna mtoto wa Mungu anaweza kulisema hili. Lakini statistic zinaonesha. Ukibisha access tu mtaani kwako, access pia vifaa vya technology wangapi wanatumia. Kijana mtumishi anaogopa kuaproach mwanamke akiogopa kuzini lakini chumbani peke yake anacheck porn.

Niwaalike kila mmoja wenu kujitafakari.. Ni mabaya mangapi anayafanya na anahisi ni kinyume cha matakwa ya Mungu ukijumuisha pia kama unatumia technolojia zinazodaiwa ni mpango wa shetani.

Do the math.

Nb. Shetani na Mungu ni mawazo yetu sisi wanadamu.
Zawadi ya upako haitoki juu wala mahala popote, ila inatoka akilini mwako mwenyewe.
 
Maradhi kwako yapo katika makundi mangapi?
 
Halafu pia basic needs lazima watoto ndo wawe wahanga wakubwa kama ikikosekana mfano chakula mtoto hatakiwi kukosa mavazi na malazi vile vile enhee wewe ndugu yetu mtoto akikosa sex vipi kinatokea nn[emoji1787][emoji1787]
Hii ya kwako umetumia reference ipi?
Kitabu kichosema basic needs zinareflect watoto peke yake?

Embu mpitie kidogo mtaalamu mmoja anaitwa Maslow's Hierarchy of Needs.
 
L
Labda Mungu wako.
 
Naamini kuwepo kwa Natural super power, lakini siamini katika mambo ya kipuuzi kama kutoa sadaka wala kushiriki ibada !
 
JAPO KUNA MAMBO/JAMBO LINALONIUMIZA NA MUNGU HANIPI, SIWEZ NIKAMKANA NAVUTA SUBIRA TUU AIKU IKIFIKA ATANIPA KWA MDA ANAOONA NI SAHIHI
 
Mungu ametuagiza tusamehe 7 mara 70, ila yeye kashindwa kumsamehe shetani. Ufafanuzi wa hili sijui ukoje.

Mungu alisema kuua ni dhambi lakini kwenye vitabu vya dini mara kadhaa Mungu ameua wale waliomchukiza.

Mungu Hana ugomvi na shetani. Ni wapi umesoma kua wana wana tofauti hadi amsamehe? Then unawezaje kusamehe kama huyo shetani hajakiri na kuomba msamaha na kua chini ya Mungu?

Soma kitabu cha Ayubu jinsi ambavyo shetani na Mungu wanazungumza kuhusu Ayubu Mtumishi wa Mungu. Ikiwa wangekua na magomvi wangezungumza vile?

Kinachowafanya wapishane ni wewe. Kila mmoja anakutaka wewe na wote hawataki kukupoteza. Hapo tu ndio tofauti yao. Ila shetani hukumu yake ishatolewa zamani inasubiri tu ukamilifu na yeye alisharizika na ndio maana anatafuta wa kuwapotosha wengi wa kwenda nae.

Sasa Kama yeye mwenyewe alisharidhika na hukumu yake na hayuko tayari kuomba msamaha. Asamehewe vipi?
 
Wengi hawana shida na Mungu. Wana shida na miungu-watu.
 
One sided story
 
Labda unawazungumzia Rasta Farah sio atheists
 
Mhh Mkuu mbona Mimi sivuti bange ??
Mheshimiwa umedanganya pakubwa


Kauli ni moja huyo jamaa mungu hayupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…