Adam,Adammmm,AdamEloi Eloi Rama sabakithan
Waha 53:1 'Msenge anaogopa nyoka anayezungumza bustanini'Zaburi 53:1 'MPUMBAVU amesema moyoni hakuna MUNGU'
Wewe nan kakwambia malengo ya shetani?Kwangu mimi naamini uwepo wa Mungu, piga ua garagaza bado nitakwambia "God is Surely Alive"
Kwa vile nilivyovishuhudia hadi kufika hapa na experience yangu ya maisha ya kiroho na kijamii kwa ujumla siwezi kukataa uwepo wake. Mungu anaishi.
Though kwa dunia ya sasa tunakutana na mafundisho mengi ya kitapeli lakini vyote haviwezi ondoa dhana ya uwepo wa Mungu....
Ukitaka ujue uwepo wa Mungu basi fungua na hii dhana ya uwepo wa Majini, mapepo, mizimu, uchawi na ushirikina... Ukianza kuvielewa hivi basi hakika utajua kuwa kuna invisible spiritual power inayo monitor dunia hii...!!
Lengo la adui (Shetani) ni kuzifunga fahamu za kibinadan zisisadiki uwepo wa Mungu just kwa simple fact wanayoiita elimu na haohao vijana wanao jiita wameelimika wanashindwa kuchunguza kuyachunguza zaidi maandiko... Wanaanza kuelea na zile simple facts wanazokutana nazo mitandaoni na mitaani!!!
Msingi mkuu wa kumjua Mungu ni maandiko na si kuyasoma tu kama gazeti lakini pia omba uvuvio wa Mungu uwe na wewe unapoanza kuzifahamu siri zilizofichwa kwenye maandiko
Nawasilisha
Agapeboy nimemaliza
Zamani alikuwa anasikia na kujibu kama ilivoandikwa, walivomaliza kuandika aliugua.tumemchoka Mungu wa mchongo asiyekuwa na haki wala faida,, Mungu ni kiziwi hasikii👽
Kwa akili kama hizi kwakweli tubadilike sana.teknolojia ambayo ni mpango wa shetani ndo imetufikisha hapa!!
Maradhi kwako yapo katika makundi mangapi?Kiuhalisia wengi sana wamepatwa na majanga mbali mbali ikiwemo kifo. Mfano mmoja alisimulia alipelekwa monchwari akiwa mzima nusu azikwe. Lakini pia katika mazingira yale huwezi kudumu maan utashambuliwa na wadudu tu mwisho wa siku utapata magonjwa ya ajabu. Lakini pia effect kubwa ya kukosa makazi na malazi ni humiliation kubwa sana kwa kila anaekuona njian well umetaja kariakoo mji unaotembelewa na umati wa watu je ni aibu kiasi gani. Ila ngono hufanywa sirini hakuna aibu na pia hakuna maradhi ya kusema utapata kisa hujafanya ngono na wanawake wengi zaidi zaidi wanaofanya na watu wengi ndo wako hatarini. Swali kwko je usipofanya ngono utakufa?
Hii ya kwako umetumia reference ipi?Halafu pia basic needs lazima watoto ndo wawe wahanga wakubwa kama ikikosekana mfano chakula mtoto hatakiwi kukosa mavazi na malazi vile vile enhee wewe ndugu yetu mtoto akikosa sex vipi kinatokea nn[emoji1787][emoji1787]
Labda Mungu wako.Kasi ya watu kuwa Atheist yaani watu wasioamini uwepo wa Mungu ni kubwa sana siku hizi. Tulizoea kusikia mambo haya kwa wenzetu Ulaya na America, lakini atheism imehamia Africa na inakuwa kwa kasi kubwa mno.
Ni nini sababu za watu wengi hasa vijana kuacha kuamini katika uwepo wa Mungu na nguvu zake? Je, wimbi hili la kukosa imani kwa Mungu ndio sababu ya kuporomoka kwa maadili Afrika? Tujadili.
Mungu ametuagiza tusamehe 7 mara 70, ila yeye kashindwa kumsamehe shetani. Ufafanuzi wa hili sijui ukoje.
Mungu alisema kuua ni dhambi lakini kwenye vitabu vya dini mara kadhaa Mungu ameua wale waliomchukiza.
One sided storyMungu Hana ugomvi na shetani. Ni wapi umesoma kua wana wana tofauti hadi amsamehe? Then unawezaje kusamehe kama huyo shetani hajakiri na kuomba msamaha na kua chini ya Mungu?
Soma kitabu cha Ayubu jinsi ambavyo shetani na Mungu wanazungumza kuhusu Ayubu Mtumishi wa Mungu. Ikiwa wangekua na magomvi wangezungumza vile?
Kinachowafanya wapishane ni wewe. Kila mmoja anakutaka wewe na wote hawataki kukupoteza. Hapo tu ndio tofauti yao. Ila shetani hukumu yake ishatolewa zamani inasubiri tu ukamilifu na yeye alisharizika na ndio maana anatafuta wa kuwapotosha wengi wa kwenda nae.
Sasa Kama yeye mwenyewe alisharidhika na hukumu yake na hayuko tayari kuomba msamaha. Asamehewe vipi?
Yalitabiriwa wapi mkuu??Ni jambo la hatari, ila yalitabiriwa.
Wacha ku-zaa basi mkuuKuendelea kumkataa Mungu, ni moja ya dalili kubwa saana ya udhihirisho wa Mungu na utimilifu wa unabii ktk zama hizi za mwisho.
Yalitabiriwa wapi mkuu??
Niujanja wao tu.
Walijua tutaamka tu, wakatukaba kwa mbele
Labda unawazungumzia Rasta Farah sio atheists[emoji1787][emoji1787]aisee hawa watu pasua kichwa. Halafu sasa wao ndo wanakuja kuleta umasikini kwenye jamii maan wengi wanashinda vijiwe vya bangi uzinzi na ulevi wa kupindukia. Huwa wanakuwaga na mageto yao ya kuvutia bangi unakuta wamejaza vitabu havieleweki eleweki wanabugia nusu nusu tu. Wengine utasikia maisha ni karata sijui zimefanyaje.
Mkuu mbona Mimi sivuti bange ??🤣🤣aisee hawa watu pasua kichwa. Halafu sasa wao ndo wanakuja kuleta umasikini kwenye jamii maan wengi wanashinda vijiwe vya bangi uzinzi na ulevi wa kupindukia. Huwa wanakuwaga na mageto yao ya kuvutia bangi unakuta wamejaza vitabu havieleweki eleweki wanabugia nusu nusu tu. Wengine utasikia maisha ni karata sijui zimefanyaje.