Hii nchi, wengi walioenda shule walienda kusomea ujinga.Tatizo kubwa kwa upande wa taasisi za dini za kwa mleta mada (Faiza Fox) kukosa kumiliki maeneo mengi au ardhi kubwa ni kutokana na ukosefu wa elimu dunia kiasi cha kuwafanya wasiwe na muono wa kuweza kuona mbali kifikra.
Waliosema "elimu ni ufunguo wa maisha" hawakukosea kabisa.
Ni kweli Tz inamiliki ardhi ktk nchi za nje, LAKINI ni kwa sababu ya matumizi ya Shughuli za Kidiplomasia tu (Kujenga Majengo ya Ofisi za Ubalozi tu), wala siyo kwa ajili ya kufugia Mifugo (kuweka Ranchi ya wanyama ) kama ile Ranchi ya RAZABA kule Kiwangwa Bagamoyo.Nchi nyingi za duniani zinamiliki ardhi Tanzania. Hata Tanzania tuna miliki ardhi nchi za nje.
Ni makubaliano ya Kimataifa.
Makanisa ya nje yanamiliki zaidi ya hekta hizo Tanzania. Huelewi hilo?Ni kweli Tz inamiliki ardhi ktk nchi za nje, LAKINI ni kwa sababu ya matumizi ya Shughuli za Kidiplomasia tu (Kujenga Majengo ya Ofisi za Ubalozi tu), wala siyo kwa ajili ya kufugia Mifugo (kuweka Ranchi ya wanyama ) kama ile Ranchi ya RAZABA kule Kiwangwa Bagamoyo.
Ukweli Mchungu umekuchoma moyoni.Hii nchi, wengi walioenda shule walienda kusomea ujinga.
Mfano mzuri ni wewe na wengine wengi walio kama wewe. Mna "ujinga wa Kiafrika", anasema Dhahabu Nyeusi. Umemsikiliza Dhahabu nyeusi?
Makanisa siyo Serikali hapa Tz na hata ktk nchi zingine nyingi duniani.Makanisa ya nje yanamiliki zaidi ya hekta hizo Tanzania. Huelewi hilo?
Kwa hivyo KADCO ndio mfano wa moja ya taasisi za kidini hapa Tanzania?!MIMI Naongelea taasisi za kidini, siongelei watu binafsi. Fikiri.
Kama taasisi za kidini zipo ili kurahisisha maisha ya watu, kwanini wasiwape waumini wao wakajiendeleza? Soma chini hapo:
RC Kilimanjaro awatuliza wananchi mgogoro wa ardhi
Serikali imewataka wananchi wa vijiji vitano vya kata ya Kia, wilayani Hai ambavyo vina mgogoro na Kampuni ya Usimamizi na Uendelezaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO)...www.mwananchi.co.tz
Papa wa Roma alienda kukagua Msikiti juzikati hapoSina uhakika kama wana makanisa yao huko.
KADCO ndiyyo nani, siwafahamu.Kwa hivyo KADCO ndio mfano wa moja ya taasisi za kidini hapa Tanzania?!
Wivu na chuki vitakumaliza...hii hoja yako najua unawalenga Wakristo halafu unajisahaulisha Waislam chini ya BAKWATA viwanja vyao vingi wameuza kwa watu binafsi tofauti na wenzao.
Kumbuka ardhi hizo zinazokuuma zinamilikiwa kisheria, siunajua tena shule mingi zimewasaidia!.
ExactlySiyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
😂😂😂😂Tazameni wanaopinga wazo langu ndio haohao wanaopinga Dubai wasiendeshe gati (berths) za container za bandari ya Dar.
Tujiulize, kwanini?
Watu wanapinga DPW au wanapinga mkataba hususani kuhusu masharti/vifungu vya mkataba??Tazameni wanaopinga wazo langu ndio haohao wanaopinga Dubai wasiendeshe gati (berths) za container za bandari ya Dar.
Tujiulize, kwanini?
Sheria hiyo inahusu viwanja vya makazi vilivyopo mijini ili kuzuia mapori ya kujificha vibaka!Sheria za Tanzania za kuhodhi ardhi ni iwe imeendelezwa ndani ya miaka mitatu, kama sikosei.
Elimu yangu ni ya Madrassa., ni mwanafunzi daima.Watu wanapinga DPW au wanapinga mkataba hususani kuhusu masharti/vifungu vya mkataba??
Hivi wewe una kiwango gani cha elimu?
Faiza unalipwa shi ngapi kwa hii fitna yako unayoieneza humu?Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.