Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Tatizo kubwa kwa upande wa taasisi za dini za kwa mleta mada (Faiza Fox) kukosa kumiliki maeneo mengi au ardhi kubwa ni kutokana na ukosefu wa elimu dunia kiasi cha kuwafanya wasiwe na muono wa kuweza kuona mbali kifikra.
Waliosema "elimu ni ufunguo wa maisha" hawakukosea kabisa.
Hii nchi, wengi walioenda shule walienda kusomea ujinga.

Mfano mzuri ni wewe na wengine wengi walio kama wewe. Mna "ujinga wa Kiafrika", anasema Dhahabu Nyeusi. Umemsikiliza Dhahabu nyeusi?
 
Nchi nyingi za duniani zinamiliki ardhi Tanzania. Hata Tanzania tuna miliki ardhi nchi za nje.

Ni makubaliano ya Kimataifa.
Ni kweli Tz inamiliki ardhi ktk nchi za nje, LAKINI ni kwa sababu ya matumizi ya Shughuli za Kidiplomasia tu (Kujenga Majengo ya Ofisi za Ubalozi tu), wala siyo kwa ajili ya kufugia Mifugo (kuweka Ranchi ya wanyama ) kama ile Ranchi ya RAZABA kule Kiwangwa Bagamoyo.
 
Ni kweli Tz inamiliki ardhi ktk nchi za nje, LAKINI ni kwa sababu ya matumizi ya Shughuli za Kidiplomasia tu (Kujenga Majengo ya Ofisi za Ubalozi tu), wala siyo kwa ajili ya kufugia Mifugo (kuweka Ranchi ya wanyama ) kama ile Ranchi ya RAZABA kule Kiwangwa Bagamoyo.
Makanisa ya nje yanamiliki zaidi ya hekta hizo Tanzania. Huelewi hilo?
 
Hii nchi, wengi walioenda shule walienda kusomea ujinga.

Mfano mzuri ni wewe na wengine wengi walio kama wewe. Mna "ujinga wa Kiafrika", anasema Dhahabu Nyeusi. Umemsikiliza Dhahabu nyeusi?
Ukweli Mchungu umekuchoma moyoni.
You have to argue with reasons., not only the reasons but the "reasonable reasons"
 
MIMI Naongelea taasisi za kidini, siongelei watu binafsi. Fikiri.

Kama taasisi za kidini zipo ili kurahisisha maisha ya watu, kwanini wasiwape waumini wao wakajiendeleza? Soma chini hapo:

Kwa hivyo KADCO ndio mfano wa moja ya taasisi za kidini hapa Tanzania?!
Wivu na chuki vitakumaliza...hii hoja yako najua unawalenga Wakristo halafu unajisahaulisha Waislam chini ya BAKWATA viwanja vyao vingi wameuza kwa watu binafsi tofauti na wenzao.
Kumbuka ardhi hizo zinazokuuma zinamilikiwa kisheria, siunajua tena shule mingi zimewasaidia!.
 
K
Kwa hivyo KADCO ndio mfano wa moja ya taasisi za kidini hapa Tanzania?!
Wivu na chuki vitakumaliza...hii hoja yako najua unawalenga Wakristo halafu unajisahaulisha Waislam chini ya BAKWATA viwanja vyao vingi wameuza kwa watu binafsi tofauti na wenzao.
Kumbuka ardhi hizo zinazokuuma zinamilikiwa kisheria, siunajua tena shule mingi zimewasaidia!.
KADCO ndiyyo nani, siwafahamu.

Taasisi za kidini Tanzania nazifahamu ni Bakwata 100% Fanzanian. Rc Church 100% Vatican. Anglican Church 100% England. Lutheran Church 100% Germany.

. Hizo naona. Ndiyo taasisi kubwa za kidini Tanzania. Nyingine hazina kauli.
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Exactly
 
Tazameni wanaopinga wazo langu hili ndio haohao wanaopinga Dubai wasiendeshe gati (berths) za container za bandari ya Dar.

Tujiulize, kwanini
 
Tazameni wanaopinga wazo langu ndio haohao wanaopinga Dubai wasiendeshe gati (berths) za container za bandari ya Dar.

Tujiulize, kwanini?
😂😂😂😂

Freeman ana tenda ya kuuza "Mfugo" Dubai

Kwahiyo usiingize udini Dubai
 
Tazameni wanaopinga wazo langu ndio haohao wanaopinga Dubai wasiendeshe gati (berths) za container za bandari ya Dar.

Tujiulize, kwanini?
Watu wanapinga DPW au wanapinga mkataba hususani kuhusu masharti/vifungu vya mkataba??
Hivi wewe una kiwango gani cha elimu?
 
Watu wanapinga DPW au wanapinga mkataba hususani kuhusu masharti/vifungu vya mkataba??
Hivi wewe una kiwango gani cha elimu?
Elimu yangu ni ya Madrassa., ni mwanafunzi daima.


Kuhusu vifunguvya mkataba bofya chini hapo, tukaviadili👇🏾

 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Faiza unalipwa shi ngapi kwa hii fitna yako unayoieneza humu?
Huoni aibu ktk umri kama wako kuyafanya haya? Hizi chuki unataka ku achieve nini?
 
Kama ni ruksa taasisi za kidini kuhodhi ardhi popote, Waislam warudishiwe ardhi na majengo yao waliodhulumiwa, bofya chini ujionee 👇🏾

 
Back
Top Bottom