MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Tuuze na Jeshi kwa Wagner PMCWacha waize tu. Sisi tunataka siraha za nini kwani kuna vita?
Nendeni mkalitazame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuuze na Jeshi kwa Wagner PMCWacha waize tu. Sisi tunataka siraha za nini kwani kuna vita?
Chini ya CCM hili linawezekanaTuuze na Jeshi kwa Wagner PMC
Nendeni mkalitazame
Kwahyo wewe kelele zoote zinazopigwa mitandaoni huzioni, ikiwa ni pamoja na uzi huu?!Ni watanganyika tupo kimyaa tu tuko busy na mambo ya usimba na uyanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo mijitu ilijiweka yenyewe, au iliwekwa?!Hao bandari hawana huwezo wa kuendesha, tumejaza majitu yenye mavitambi ila kichani akili ni kama kisoda
Raia huku mtaani sio mijini sio vijijini hawana muda na hizi habari sana sana awareness ipo zaidi huku JF na Tweeter.Kwahyo wewe kelele zoote zinazopigwa mitandaoni huzioni, ikiwa ni pamoja na uzi huu?!
Hao bandari hawana huwezo wa kuendesha, tumejaza majitu yenye mavitambi ila kichani akili ni kama kisoda
Hata Samia nimmbaguzi, anapendelea Zanzibar na wazanzibarisijawahi kuona watu wabaguzi kama wale aisee.
Usitegemee jambo kama hili kila mmoja ashiriki. Kuna watu hawajui hata bandari ni nini. Hawa unao waona wanapiga kelele wanatosha.Raia huku mtaani sio mijini sio vijijini hawana muda na hizi habari sana sana awareness ipo zaidi huku JF na Tweeter.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alianza mwenyewe kujiita eti mimi mzanzibariAcheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsidpshwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Wazanzibar wanajionaga nao kama ni Waarabu.Mama akikutana na Waarabu meno yote 32 nje!Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
[emoji38][emoji38][emoji38]Nyie si mlisema Ally Hassan Mwinyi kwao Tabora mnyamwezi wa Mboka?
Tumepigwa kwa Fei,tukataletwa kwa Yanga kwenda Ikulu mixer vituko vya Morrison, tukaja mabehewa ya gorofa, mkeka wa DED ukabiduliwa then katikati ya haya matukio ndio wakapenyeza ya Bandari, kudadeki hapo ndipo ujue kuna mashivo walichora mchoro, haya wale wa Burundi mjiandae.Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Mgodi wa mwadui umeuzwa na nani?Kwani hiyo bandari ya dar haikua na mwekezaji kabla?..aliletwa(iliuzwa) na nani!?..familia ya kifalme ya uingereza Haina ardhi inayomiliki miaka 100 huko nyanda za juu kusini!?..muuzaji alikua nani!?..mgodi wa mwadui umeuzwa kwa miaka mingapi,muuzaji nani!?
Kabla ya mkoloni Hadi awamu ya kwanza,wale jamaa hawajawahi toa hata Senti,ATI hawajawahi PATA faidaMgodi wa mwadui umeuzwa na nani?
Wameshaona hatujitambuiHeshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira