Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Sasa kama mtu anaendesha kwa miaka 99 kuna tofauti gani na kuuza?
Huyo ni muendeshaji sio mkusanya Kodi, Tra wako pale pale kukusanya kodi, kazi ya hao jamaa

1. Kuongeza miundombinu ya Bandari iwe ya kisasa
2. Kuhakikisha Kontena zinapakuliwa kwa haraka zaidi (sehemu nyingi ni chini ya masaa 48) kwetu meli zinakaa zaidi ya wiki.
3. Kontena zinapakiwa kwa haraka zaidi
4. Uendeshaji mwengine kama mpangilio wa Ma container, usafirishaji kwenda kwa wahusika etc.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Tatizo ni sisi wabara kuruhusu kutawaliwa na watu wa nchi nyingine, tukatae huu upuuzi mali zetu zinaisha
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Kuna haja ya kuweka mipaka ya madaraka kwa Raisi.

Naunga mkono zoezi la katiba mpya.
 
Rais Samia Suluhu Hassan
Waziri Mnyaa Mbarawa Makame
Katibu Mkuu Balozi Aisha Amour
Wote waZanzibar
Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?, umesahau miaka ile ya JPM halmashauri zote zilijaa wasukuma, nani alilalamika kama unavyolalamika bila hata ya kuona aibu?.
 
ni rahisi sana kuuza mali ambayo si yako kuliko kuuza mali ya kwako, wanakuwa wepesi kufanya hivyo wakidhani wao hawaathiriki na chochote...hata wakiuza tanganyika yote wao wanayo sehemu ya kwenda...
 
Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
unajua maana ya kubinafsisha ? kama issue ni uendeshaji tu kwanini tusi outsource Management pekee kama ilivyofanyika miaka ya mwanzo ya 2000 kwa Net group kwny uendeshaji wa Tanesco?
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
NDUGAI: Kuna siku nchi itapigwa mnada....haya Sasa yameanza.
 
Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Hujui unachoongea maana kichwa chako hakijui na hakiwezi kuelewa yaliyoandikwa kwennye mkataba
 
Huyo ni muendeshaji sio mkusanya Kodi, Tra wako pale pale kukusanya kodi, kazi ya hao jamaa

1. Kuongeza miundombinu ya Bandari iwe ya kisasa
2. Kuhakikisha Kontena zinapakuliwa kwa haraka zaidi (sehemu nyingi ni chini ya masaa 48) kwetu meli zinakaa zaidi ya wiki.
3. Kontena zinapakiwa kwa haraka zaidi
4. Uendeshaji mwengine kama mpangilio wa Ma container, usafirishaji kwenda kwa wahusika etc.
Kwamba TPA wameshindwa kazi? Kwanini wasijiuzulu? Wao wanaweza nini halafu TPA kinawashinda nini?
 
Kwamba TPA wameshindwa kazi? Kwanini wasijiuzulu? Wao wanaweza nini halafu TPA kinawashinda nini?
Kwani Hilo Eneo ni Tpa alikuepo si Toka mwaka 2000 yupo Ticts? Na mkataba ume Expire karibuni? Tatizo la wabongo Hamna mnazijua ila kubwabwaja ujinga ni Jadi yetu.

Watu hawataki kujadili Cost/benefit ila ni ubaguzi, matusi na vitu ambavyo hawajui A wala Z
 
Kwani Hilo Eneo ni Tpa alikuepo si Toka mwaka 2000 yupo Ticts? Na mkataba ume Expire karibuni? Tatizo la wabongo Hamna mnazijua ila kubwabwaja ujinga ni Jadi yetu.

Watu hawataki kujadili Cost/benefit ila ni ubaguzi, matusi na vitu ambavyo hawajui A wala Z
Kwa miaka 100 au sio? Au milele si ndio?
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Mzee mzima unatupotosha...Tanganyika haipo....ilishakufa na kuzikwa na baba wa taifa....kuna Tanzania bara tu....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Hawa Wazanzibari hatukutakiwa kabisa kuungana nao. Maana ni useless people in the useless country.
Mzanzibari ni nani ?!!!

Mzanzibari ni MHADIMU Kutoka makabila ya nyika na pwani ya iliyokuwa Tanganyika....


Kiasili visiwa ni vya wahamiaji....Muungano wetu ni wa kipekee kabisa.....mgosi kinyume na kuungana na wazanzibari ulitaka tuungane na Shelisheli ama Madagascar?!!?[emoji1787][emoji1787]
 
Kwani hiyo bandari ya Dar haikuwa na mwekezaji kabla? Aliletwa(iliuzwa) na nani!? Familia ya kifalme ya uingereza haina ardhi inayomiliki miaka 100 huko nyanda za juu kusini!? Muuzaji alikuwa nani!? Mgodi wa Mwadui umeuzwa kwa miaka mingapi, muuzaji nani!?
[emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakikujibu nitag [emoji1787]
 
Back
Top Bottom