Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Na watanganyika tupo kimyaa tu tuko busy na mambo ya usimba na uyanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezaliwa jana ?!!!

Raia dhaifu kabisa ambao hata thamani ya KATIBA yao hawataki kuijua....hawataki kuithamini.....yaani katiba ndiyo dira ya usawa wa raia wa Tanzania halafu Rais anapokuwa mzanzibari mnajitokeza kuitaka Tanganyika iliyokufa nan kuzikwa na baba wa taifa?!!? Isn't it insanity?!!!

#SiempreJMT[emoji120]
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
UMEANDIAKA UPUUZI KAMA JINSI ULIVYO!
 
Kwa TICTS walivyokuepo nchi haikua ikiagiza chakula na Silaha? Mbona nyie jamaa washamba hivi?

1. Unabinafshishwa uendeshaji wa bandari
2. Sio Bandari yote/Zote bali sehemu tu ya Bandari kwa wataohitaji.

Kipindi cha Ticts mzigo uliweza kuingia na Tpa ama Ticts.
Unaongea maoni yako au unatafsiri mkataba uliopo?
 
Hawa Wazanzibari hatukutakiwa kabisa kuungana nao. Maana ni useless people in the useless country.
Asante sana Mkuu TATE, ni bora kuvunja huo Muungano kuliko wanachotufanyia hawa Wazanzibari.

Nadhani hawana nia njema na Tanganyika.
Na wana ajenda yao ya siri.
Tazama walivyodai kile kipande cha ardhi cha Bagamoyo kwa Kauli ya Ubabe na dharau tele. Bila kufikiria ni ka nchi kadogo.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
hawezi kuuza peke yake, anashirikiana na watanganyika wenzetu na wengi wao ni wabunge wa mchongo ambao kwenye dili hili wanajulikana kama "Michawa".

Pole sana Tanganyika, Katiba yetu ndiyo inakuponza kuwapa mamlaka watu ya kufanya watakavyo.
 
Awamu hii wazanzibar na waisalam wana raha,nimeona hata kwenye mikeka ya wakurugenzi na Ma -Das eti siku hz Muslim ni wengi kuliko Christian.
Wonders shall never end.
 
Inaonekana hii issue ya kuuza nchi imewakera wengi. Hivi Mbarawa na Mwigulu na Makamba na Nape na mchengerwa wanapitia jamii forums?
 
Awamu hii wazanzibar na waisalam wana raha,nimeona hata kwenye mikeka ya wakurugenzi na Ma -Das eti siku hz Muslim ni wengi kuliko Christian.
Wonders shall never end.
Ule mkeka ulikua special kwa watoto wa wezi.
Hebu upitie Tena.
 
Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Ng'ombe anaekamuliwa na mtu mmoja Ni tofauti na anaekamuliwa na watu wawili, kwanu hawezekani kuwa na Sheria Kali kwenye Mali za uma, sheria zitakazo angamiza wapigaji.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira

Hili Jambo linaleta hisia Sana , hasa kwa kuwa imetokea Rais anatokeaa Zanzibar na Anampa Waziri ambaye bahati Mbaya Naye katokea zanzibar kuendesha na kusaini majadiliano hayo……

IELEWEKE kuwa hata wizara anayoongoza MAKAME MBARAWA ya Ujenzi sio ya Muungano basi tu watu wamestahi mamlaka ya Rais kumteuwa …….maana siku hizi hadi wakuu wa Wilaya wanatokea Zanzibar Nafasi Ambazo pia sio za muungano

TUNAOMBA jambo hili viongozi wetu waone Busara katika kulimaliza
 
Zanzibar sio sehemu ya Tanzania?, umesahau miaka ile ya JPM halmashauri zote zilijaa wasukuma, nani alilalamika kama unavyolalamika bila hata ya kuona aibu?.
Kuna mtanganyika anaweza kuwa Balozi wa nyumba kumi nchi ya Zanzibar
 
Inaonekana hii issue ya kuuza nchi imewakera wengi. Hivi Mbarawa na Mwigulu na Makamba na Nape na mchengerwa wanapitia jamii forums?
kwa hili JIWE aliona mbali pamoja na mapungufu yake ya kuminya demokrasia.
 
Back
Top Bottom