Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Umezaliwa jana ?!!!Na watanganyika tupo kimyaa tu tuko busy na mambo ya usimba na uyanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Raia dhaifu kabisa ambao hata thamani ya KATIBA yao hawataki kuijua....hawataki kuithamini.....yaani katiba ndiyo dira ya usawa wa raia wa Tanzania halafu Rais anapokuwa mzanzibari mnajitokeza kuitaka Tanganyika iliyokufa nan kuzikwa na baba wa taifa?!!? Isn't it insanity?!!!
#SiempreJMT[emoji120]