baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Hamna anaejua kila mtu anaropoka lakeTufanye nimedanganya, tuambie, ni miaka mingapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna anaejua kila mtu anaropoka lakeTufanye nimedanganya, tuambie, ni miaka mingapi?
Nimefanya kazi Icd na ninetumia Ticts si Maoni yangu nafahamu mizigo ilikua inatolewa vipi, nimetoa na Ticts na nimetoa na Tpa zilikua ni Entity mbili tofauti. Bandari walikua kizamani zamani hata kwenye System unajaza tu Manual na Ticts walikua kisasa kila kitu Automated.Unaongea maoni yako au unatafsiri mkataba uliopo?
Kumbe mzee ruksa ndio aliuza ardhi kwa wazee wa dubaiHeshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Mungano uvunjwe ,huyu bibi ni janga kwetu.Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Ndilo jibu lenyewe hilo. Huu upuuzi wa kuidai Tanganyika kama Magufuli angekuwa hai mpaka leo usingekuwepo.Jibu swali acha kuyumba yumba
Dah ndo wanatuuza hiviRais Samia Suluhu Hassan
Waziri Mnyaa Mbarawa Makame
Katibu Mkuu Balozi Aisha Amour
Wote waZanzibar
We mwenyewe sio mtanzania bukililo si mpakani mwa Tz na Burundi ngara hukoNdilo jibu lenyewe hilo. Huu upuuzi wa kuidai Tanganyika kama Magufuli angekuwa hai mpaka leo usingekuwepo.
Chuki zetu zinatokana na kutotaka kufikiria masuala nyeti kwa undani, tunakimbilia kete ya utanganyika na uzanzibari tukitafuta kukubalika miongon mwetu.
Ni umaarufu mwepesi sana, ambao una gharama ya dhambi ya ubaguzi itakayoendelea kututafuna sisi wenyewe tunaoitenda bila ya kujua.
Hapa ilipofika kulitegemea bunge ni sawa wendawazimu. Sisi Watanganyika wenyewe tuamke tuache ushabiki wa vyama tuweke mbele utanganyika wetu.Kwa wabunge gani? Hawa wabunge wa mchongo?
Hivi ina kuwaje wizara ambayo siyo ya Muungano inaongozwa na Mpemba??
Halafu Bara mna sema ni sahihi kubinafsisha?! Kweli??
Akili hizi za kindezi ndizo zinazoturudisha nyuma. Yupi mtanzania halisi mwenye haki ya kujivunia passport ya kitanzania?.We mwenyewe sio mtanzania bukililo si mpakani mwa Tz na Burundi ngara huko
Ali Hassan mwinyi si mzanzibar kwao mkurangaHeshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Nyinyi machogo ndio watu ovyo mnaitawala zanzibar kimabavuWazenji ni watu wa hovyoo
nasemaje nasemaje narudia tena nasemaje hauna faida tunachorana tuu kuna upande unanyonywa zaidi.Sasa huu Muungano una faida gani kwa Watanganyika? Kuuza mali zao ndo faida? Hapana.
pambania nchi yako wewe usipostuka uatabakia na kende zako sijui kizazi kiacho cha wajukuu zetu tutakuja waambia nini ama kuwaangalia usoni.Watanganyika cc Wajinga na wabinafsi [emoji19]na wengi ni wapumbavu mpk mnakera kila mtu anafungua uzi wa chuki na kibaguzi
Hata huu mjadala wa bandari yetu kuuzwa kwa waarabu siamini kama Magufuli angekuwepo tungekuwa tunaujadili.Ndilo jibu lenyewe hilo. Huu upuuzi wa kuidai Tanganyika kama Magufuli angekuwa hai mpaka leo usingekuwepo.
We mrundi ndomana unashabikia Tanganyika kuuzwaAkili hizi za kindezi ndizo zinazoturudisha nyuma. Yupi mtanzania halisi mwenye haki ya kujivunia passport ya kitanzania?.
Kwa vile kuna ardhi iliuzwa huko nyuma basi ni sawa tu na wao wauze ....!!? Sijui unataka kujustfy nini hapa!!Kwani hiyo bandari ya Dar haikuwa na mwekezaji kabla? Aliletwa(iliuzwa) na nani!? Familia ya kifalme ya uingereza haina ardhi inayomiliki miaka 100 huko nyanda za juu kusini!? Muuzaji alikuwa nani!? Mgodi wa Mwadui umeuzwa kwa miaka mingapi, muuzaji nani!?