Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Hao aliowauzia Mwinyi ardhi wameenda nayo wapi?

Na sasa tunae mama ardhi ipi aliyoiuza?

Wacheni uongo na chuki za ubaguzi.
 
Bandari zetu zikiuzwa kwa Waarabu, nina uhakika, mtanzania kusogea kwenye maeneo hayo ya bandari itakuwa ni kama kwenda Uarabuni.

Waarabu kiasili ni wabaguzi. Waulizeni waafrika wanaoenda huko Uarabuni, hasa wale wafanyakazi wa kada za chini.

Mnakumbuka lile tukio la mtanzania aliyekuwa anafanya kazi Uarabuni kwenye kiwanda cha nyama, alipopandishwa cheo na kuwa mkuu wa kitengo cha ukataji, wafanyakazi wa chini yake ambao ni waarabu, wakala njama ya kumwua? Jamaa siku hiyo alipoingia tu, walimshika, mzimamzima na kumtumbukiza kwenye mashine ya kukatia nyama, ndiyo ikawa mwisho wa maisha yake.

Lazima kwenye bandari zote, kila kitengo, wakuu na wasimamizi watakuwa waarabu. Waswahili au watwana, kama walivyozoea kuwaita waafrika huko Omani, watakuwa kwenye nafasi za chini kabisa hata kama watakuwa na uwezo mkubwa zaidi kuliko hao waarabu. Waarabu na wahindi, kati ya vitu ambavyo wanaona ni kama haiwezekana, ni kufanya kazi chini ya mtu mweusi.

Nimefanya kazi nje ya Tanzania, kwenye kampuni ya Waingereza, nikiwa project Manager, chini yangu expatriates 71, na nationals 360, sikuona mzungu yeyote kuwa na ukakasi wa kunikubali kuwa ndiye mkuu wake wa kazi (japo wengi walikuwa wanadhani mimi ni black American). Lakini kwa waarabu ni vigumu sana. Wanakubali kufanya kazi chininya mzungu lakini siyo mtu mweusi.
Wamewekeza London Port na Southampton, na huko wanafanya ubaguzi wao?. Huko USA wamewekeza katika bandari sita, na huko wanaleta siasa za ubaguzi?.

Tuwe watu halisia katika dunia halisia, upungufu hata sisi wenyewe tunao mwingi tu kama ukiwasikiliza watu wa mabara mengine wakiwa wanatuongelea.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.

Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.

Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.

Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.

Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.

Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.

Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Bandari zote bahari na maziwa yoote Usisahau hilo .....!! Hapana Hapana Hapana
 
Bandari zetu zikiuzwa kwa Waarabu, nina uhakika, mtanzania kusogea kwenye maeneo hayo ya bandari itakuwa ni kama kwenda Uarabuni.

Waarabu kiasili ni wabaguzi. Waulizeni waafrika wanaoenda huko Uarabuni, hasa wale wafanyakazi wa kada za chini.

Mnakumbuka lile tukio la mtanzania aliyekuwa anafanya kazi Uarabuni kwenye kiwanda cha nyama, alipopandishwa cheo na kuwa mkuu wa kitengo cha ukataji, wafanyakazi wa chini yake ambao ni waarabu, wakala njama ya kumwua? Jamaa siku hiyo alipoingia tu, walimshika, mzimamzima na kumtumbukiza kwenye mashine ya kukatia nyama, ndiyo ikawa mwisho wa maisha yake.

Lazima kwenye bandari zote, kila kitengo, wakuu na wasimamizi watakuwa waarabu. Waswahili au watwana, kama walivyozoea kuwaita waafrika huko Omani, watakuwa kwenye nafasi za chini kabisa hata kama watakuwa na uwezo mkubwa zaidi kuliko hao waarabu. Waarabu na wahindi, kati ya vitu ambavyo wanaona ni kama haiwezekana, ni kufanya kazi chini ya mtu mweusi.

Nimefanya kazi nje ya Tanzania, kwenye kampuni ya Waingereza, nikiwa project Manager, chini yangu expatriates 71, na nationals 360, sikuona mzungu yeyote kuwa na ukakasi wa kunikubali kuwa ndiye mkuu wake wa kazi (japo wengi walikuwa wanadhani mimi ni black American). Lakini kwa waarabu ni vigumu sana. Wanakubali kufanya kazi chininya mzungu lakini siyo mtu mweusi.
Kinachokusumbuwa wewe ni hiyo "waarabu" hakuna kingine.

Lini ukibaguliwa na Mwarabu?
. Tegemea haya :

 
Mtuongoze tufanyenini kuilinda bandari ,mbona tuliongozwa kuhusu Idd Amin wa Uganda.
 
Jimama limeibuka baada ya kusikia bandari wameuziwa waarab..
Aah, ndiyinkwanza umeluonanhilo? Tumranza na DNATA Zanzibar, tunakuja na DP World pirt zote za Tanzania.

Airportbya Kilimsnjsro tsyri inadubiriwa kazi tu ianze, tunaitazama Airport ya Dar. Jwa karibu sana.
. Vilevike TAZARA na Reli ya kati ipo kwrnye pipeline.

Air Tanzania nayo tunaichungulia kwa kina.


Utaumia sana.
 
Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Kama ubinafsishaji ni mzuri kwanini Bandari ya Zanzibar hawakuibinafsisha na wakati ni kwao? Wao hawapendi vizuri?
 
MImi kwenye ukomo wa mkataba tu nimeachwa mdomo wazi.

Mkataba unasema ukomo ni mpaka mradi/project yao ikamilike, yaani ni kama milele.

Hivi watanzania uwoga utatuisha lini
 
Huyu ni Freeman Mbowe na maoni yake. Mnataka kuja na hoja zilizofilisika kwamba Tanganyika inaibiwa na Zanzibar.

Vipi kuhusu ufisadi wa miaka na miaka uliofanywa enzi za hayati Mkapa, akaja Kikwete na wenyewe tumeusahau?.

Mkataba haujasainiwa na muda wowote tunaweza kuukata. Vipi kuhusu madhara ya hizi chuki tunazozipalilia, nani atayaondoa wakati maji yakiwa yameshamwagika?.

Tunakimbilia akili za kipumbavu za kibaguzi lakini hatuna suluhisho ikiwa huu ubaguzi utakwenda mbali na kuuharibu Utanzania wetu.

Kama watu wanafanyiwa ubaguzi wa kiitikadi muda wote na mnaona sawa, hapa unashangaa nini?
 
Back
Top Bottom