Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Delaying tactics wanatumia lakini zitafika mwisho.Kama nilivyosema hapo juu. Tatizo ni mkataba ndiyo wenye matatizo. Siyo kwamba watu hawataki Mwekezaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Delaying tactics wanatumia lakini zitafika mwisho.Kama nilivyosema hapo juu. Tatizo ni mkataba ndiyo wenye matatizo. Siyo kwamba watu hawataki Mwekezaji.
Hao aliowauzia Mwinyi ardhi wameenda nayo wapi?Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Wamewekeza London Port na Southampton, na huko wanafanya ubaguzi wao?. Huko USA wamewekeza katika bandari sita, na huko wanaleta siasa za ubaguzi?.Bandari zetu zikiuzwa kwa Waarabu, nina uhakika, mtanzania kusogea kwenye maeneo hayo ya bandari itakuwa ni kama kwenda Uarabuni.
Waarabu kiasili ni wabaguzi. Waulizeni waafrika wanaoenda huko Uarabuni, hasa wale wafanyakazi wa kada za chini.
Mnakumbuka lile tukio la mtanzania aliyekuwa anafanya kazi Uarabuni kwenye kiwanda cha nyama, alipopandishwa cheo na kuwa mkuu wa kitengo cha ukataji, wafanyakazi wa chini yake ambao ni waarabu, wakala njama ya kumwua? Jamaa siku hiyo alipoingia tu, walimshika, mzimamzima na kumtumbukiza kwenye mashine ya kukatia nyama, ndiyo ikawa mwisho wa maisha yake.
Lazima kwenye bandari zote, kila kitengo, wakuu na wasimamizi watakuwa waarabu. Waswahili au watwana, kama walivyozoea kuwaita waafrika huko Omani, watakuwa kwenye nafasi za chini kabisa hata kama watakuwa na uwezo mkubwa zaidi kuliko hao waarabu. Waarabu na wahindi, kati ya vitu ambavyo wanaona ni kama haiwezekana, ni kufanya kazi chini ya mtu mweusi.
Nimefanya kazi nje ya Tanzania, kwenye kampuni ya Waingereza, nikiwa project Manager, chini yangu expatriates 71, na nationals 360, sikuona mzungu yeyote kuwa na ukakasi wa kunikubali kuwa ndiye mkuu wake wa kazi (japo wengi walikuwa wanadhani mimi ni black American). Lakini kwa waarabu ni vigumu sana. Wanakubali kufanya kazi chininya mzungu lakini siyo mtu mweusi.
Kwa nini asijenge hayo kwao Zanzibar?Tutegemee haya bandarini:
Bandari zote bahari na maziwa yoote Usisahau hilo .....!! Hapana Hapana HapanaHeshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Kinachokusumbuwa wewe ni hiyo "waarabu" hakuna kingine.Bandari zetu zikiuzwa kwa Waarabu, nina uhakika, mtanzania kusogea kwenye maeneo hayo ya bandari itakuwa ni kama kwenda Uarabuni.
Waarabu kiasili ni wabaguzi. Waulizeni waafrika wanaoenda huko Uarabuni, hasa wale wafanyakazi wa kada za chini.
Mnakumbuka lile tukio la mtanzania aliyekuwa anafanya kazi Uarabuni kwenye kiwanda cha nyama, alipopandishwa cheo na kuwa mkuu wa kitengo cha ukataji, wafanyakazi wa chini yake ambao ni waarabu, wakala njama ya kumwua? Jamaa siku hiyo alipoingia tu, walimshika, mzimamzima na kumtumbukiza kwenye mashine ya kukatia nyama, ndiyo ikawa mwisho wa maisha yake.
Lazima kwenye bandari zote, kila kitengo, wakuu na wasimamizi watakuwa waarabu. Waswahili au watwana, kama walivyozoea kuwaita waafrika huko Omani, watakuwa kwenye nafasi za chini kabisa hata kama watakuwa na uwezo mkubwa zaidi kuliko hao waarabu. Waarabu na wahindi, kati ya vitu ambavyo wanaona ni kama haiwezekana, ni kufanya kazi chini ya mtu mweusi.
Nimefanya kazi nje ya Tanzania, kwenye kampuni ya Waingereza, nikiwa project Manager, chini yangu expatriates 71, na nationals 360, sikuona mzungu yeyote kuwa na ukakasi wa kunikubali kuwa ndiye mkuu wake wa kazi (japo wengi walikuwa wanadhani mimi ni black American). Lakini kwa waarabu ni vigumu sana. Wanakubali kufanya kazi chininya mzungu lakini siyo mtu mweusi.
Tuitumie fursa kufanya biashara.Mtuongoze tufanyenini kuilinda bandari ,mbona tuliongozwa kuhusu Idd Amin wa Uganda.
Jimama limeibuka baada ya kusikia bandari wameuziwa waarab..Tuitumie fursa kufanya biashara.
Hakunaga "bahati mbaya", bahati ni bahati tu; Tunasema "bahati nzuri"!1. Rais Zanzibar
2. Waziri Zanzibar
3. Katibu Mkuu Zanzibar
Hivi unafikiri hii ni bahati mbaya ?..
Aah, ndiyinkwanza umeluonanhilo? Tumranza na DNATA Zanzibar, tunakuja na DP World pirt zote za Tanzania.Jimama limeibuka baada ya kusikia bandari wameuziwa waarab..
Kama ubinafsishaji ni mzuri kwanini Bandari ya Zanzibar hawakuibinafsisha na wakati ni kwao? Wao hawapendi vizuri?Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Acha uongoKabla ya mkoloni Hadi awamu ya kwanza,wale jamaa hawajawahi toa hata Senti,ATI hawajawahi PATA faida
Bushililo!We mwenyewe sio mtanzania bukililo si mpakani mwa Tz na Burundi ngara huko
Pole!Akili hizi za kindezi ndizo zinazoturudisha nyuma. Yupi mtanzania halisi mwenye haki ya kujivunia passport ya kitanzania?.
Huyu ni Freeman Mbowe na maoni yake. Mnataka kuja na hoja zilizofilisika kwamba Tanganyika inaibiwa na Zanzibar.
Vipi kuhusu ufisadi wa miaka na miaka uliofanywa enzi za hayati Mkapa, akaja Kikwete na wenyewe tumeusahau?.
Mkataba haujasainiwa na muda wowote tunaweza kuukata. Vipi kuhusu madhara ya hizi chuki tunazozipalilia, nani atayaondoa wakati maji yakiwa yameshamwagika?.
Tunakimbilia akili za kipumbavu za kibaguzi lakini hatuna suluhisho ikiwa huu ubaguzi utakwenda mbali na kuuharibu Utanzania wetu.
Tutegemee haya bandarini:
Endelea kubisha,na mgodi nafikiri walishauza wakaondokaAcha uongo