Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Kwanini Viongozi kutokea Zanzibar wanapenda kuuza ardhi ya Tanganyika?

Ipo SIKU Tanzania patanuka na huo muungano utavunjika. Ni ulimbukeni kujiaminisha kuwa CCM itatawala milele, kuna siku mtawala atakuwa mpinzan hapo ndo upuuzi mnaofanya Sasa hivi utavyowagarimu
 
Rais Samia alianza kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mbinu za hali ya juu ili kufanikisha mauzo ya sehemu nyeti za kiuchumi mara baada ya kuchukua hatamu za uongozi wa nchi. Na sasa umefika wakati wa kutekeleza nia yake ovu kwa Tanganyika.

Alimteua Mzanzibari kuwa mkurugenzi mkuu wa bandari. Akamteua Mzanzibari kuwa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano na uchukuzi. Akamteua Mzanzibari Prof. Mbarawa kuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano. Hapo tayari ana timu kamili isiyoweza kumwekea pingamizi katika kufanikisha mambo yake.

Baada ya ziara yake katika nchi za kiarabu matunda yake ndiyo haya ya kuingia makubaliano yasiyo na kikomo ya kuuza bandari zetu. Makubaliano ambayo yanavunja kabisa mambo ya msingi ya Muungano. Kwamba kuanza sasa bandari iliyokuwa jambo la muungano sasa limeondolewa na bandari za Zanzibar si za muungano tena. Kwamba kuanza sasa hatuna usemi tena katika ardhi yetu ambayo DP World watapewa kwa shughuli za bandari zikiwemo bandari kavu. Kwamba sasa hatuwezi kuingia mikataba mingine yo yote ya kimataifa kuhusu bandari zetu bila kibali cha serikali ya Dubai. Na mengine mengi!

Jamani hii nchi haijaanza kuuzwa tu au mpaka Rais wa nchi naye awe Mwarabu?

Tujitafakari!
 
Weekend yote hii Sina furaha.
Nimeumizwa sana na Bunge letu
Sina elimu ya Sheria lakini walichotufanyia Iko siku Mungu atawaadhibu tu.

Leo nilikutana na laymen wenzangu na stories ni tumeuzwa, tumeuzwa ,tumeuzwa

Kwa lilie bunge hata mtoto wa darasa la saba angepewa nafasi aulize swali wangeshindwa kumjibu
 
Weekend yote hii Sina furaha.
Nimeumizwa sana na Bunge letu
Sina elimu ya Sheria lakini walichotufanyia Iko siku Mungu atawaadhibu tu.

Leo nilikutana na laymen wenzangu na stories ni tumeuzwa, tumeuzwa ,tumeuzwa

Kwa lilie bunge hata mtoto wa darasa la saba angepewa nafasi aulize swali wangeshindwa kumjibu
Nimeona tweet moja Facebook ikimuomba Mungu amfufue Magu kisha afe tena na wabunge wake wote.
Watu wamekasirika
 
CCM ni tatizo lakini Samia ni tatizo zaidi. Yeye kuwa na wajomba zake wa kiarabu kunawafanya waarabu kumuingia kwa urahisi na kuanza kujadiliana namna rahisi ya kukwapua rasilimali za Tanganyika.
Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.

Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.

Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.


Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
 
Tatizo sio Samia tatizo sisi watanzania wizi balaa.

Unakumbuka Magufuli alipo ingia madarakani kaanza kwenda Bandarini unajua kwanini??.

Watanzania wizi kwanza maendeleo baadae mama Samia kaona awape wageni faida ataiona kuliko wazawa hakuna kinacho patikana.


Kuna supermarket imefungwa Tanzania kwa wizi lakini Kenya ipo. Na wenyewe wanasema Tanzania wizi wengi sana.
Kama ni hivyo kwa nini asingewakodisha waendeshe bandari kwa muda maalum wakati huo huo tunapata mapato badala ya kuwapa yote yote na ziada ya ardhi kwa muda usiojulikana?
 
Back
Top Bottom