Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Umezaliwa jana ?!!!Na watanganyika tupo kimyaa tu tuko busy na mambo ya usimba na uyanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Source ya ulichokiongea?Kwa miaka 100 au sio? Au milele si ndio?
UMEANDIAKA UPUUZI KAMA JINSI ULIVYO!Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Unaongea maoni yako au unatafsiri mkataba uliopo?Kwa TICTS walivyokuepo nchi haikua ikiagiza chakula na Silaha? Mbona nyie jamaa washamba hivi?
1. Unabinafshishwa uendeshaji wa bandari
2. Sio Bandari yote/Zote bali sehemu tu ya Bandari kwa wataohitaji.
Kipindi cha Ticts mzigo uliweza kuingia na Tpa ama Ticts.
Asante sana Mkuu TATE, ni bora kuvunja huo Muungano kuliko wanachotufanyia hawa Wazanzibari.Hawa Wazanzibari hatukutakiwa kabisa kuungana nao. Maana ni useless people in the useless country.
Magaidi watatuacheje hapo ?Wacha waize tu. Sisi tunataka siraha za nini kwani kuna vita?
hawezi kuuza peke yake, anashirikiana na watanganyika wenzetu na wengi wao ni wabunge wa mchongo ambao kwenye dili hili wanajulikana kama "Michawa".Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Ule mkeka ulikua special kwa watoto wa wezi.Awamu hii wazanzibar na waisalam wana raha,nimeona hata kwenye mikeka ya wakurugenzi na Ma -Das eti siku hz Muslim ni wengi kuliko Christian.
Wonders shall never end.
Ng'ombe anaekamuliwa na mtu mmoja Ni tofauti na anaekamuliwa na watu wawili, kwanu hawezekani kuwa na Sheria Kali kwenye Mali za uma, sheria zitakazo angamiza wapigaji.Acheni sumu ya ubaguzi, mnapanda kitu kibaya sana. Kilicho binafsishwa ni uendeshaji na siyo ardhi wala bandari yenyewe.
Heshima kwenu wanajamvi,
Kumekuwa na sintofahamu kila mara kiongozi mkuu wa nchi (Rais wa JMT) akitokea nchi ya Zanzibar jambo la kwanza ni kuuza ardhi ya Tanganyika.
Rais wa awamu ya pili Mzee Ally Hassan Mwinyi aliuza ardhi ya wamaasai huko Loliondo kwa waaarabu wa Dubai UAE.
Rais Samia Suluhu Hassan na yeye anauza Bandari zetu zote za Tanganyika kwa waarabu wa DUBAI huku Bandari za Zanzibar zikisalimika katika uporaji huu uliotukuka.
Ifahamike BANDARI ni suala la MUUNGANO lakini utashangaa suala la kuuza BANDARI zetu zote kuanzia MTWARA, TANGA, BAGAMOYO na Dar limezigusa bandari za TANGANYIKA peke yake huku BANDARI za Zanzibar zikisalika. Ijulikane mapema zoezi hili la uporaji litagusa pia BANDARI zilizoko katika maziwa yetu yote yaani Ziwa Victoria, Nyasa,Tanganyika.
Wahusika wote katika uporaji wa wahusika wakuu ni WAZANZIBAR kwa maana ya RAIS na Waziri.
Kwa hakika suala la katiba mpya sasa haliepukiki.
Ngongo kwa sasa safari Dubai - Deira
Tufanye nimedanganya, tuambie, ni miaka mingapi?Source ya ulichokiongea?
DuhHawa Wazanzibari hatukutakiwa kabisa kuungana nao. Maana ni useless people in the useless country.
kwa hili JIWE aliona mbali pamoja na mapungufu yake ya kuminya demokrasia.Inaonekana hii issue ya kuuza nchi imewakera wengi. Hivi Mbarawa na Mwigulu na Makamba na Nape na mchengerwa wanapitia jamii forums?
We tulia kwa mumeoMali zenu na nani?, acha upuuzi mkuu.
Jenga hoja za maana punguza chuki za kitoto.We tulia kwa mumeo