inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Umeandika kwa lugha ya mfanya biashara mkuu ya utumwa,mkoloni,muuaji wa kimbari,na bila Shaka utakua umevaa suti kwenye nchi yenye 28-30c,na unamuona mwingine ana self hateHow is it possible to hate ur self so much? Self hate ni mbaya sana learn to love yourselfπ
Swali moja muhimu sana.
Kule kwa wazungu kuna mchanganyiko(half casts). Maana yake kuna wazungu wanaoa weusi na weusi wanaoa wazungu!
Nipe nchi moja tu ya kiarabu yenye system kama hiyo!
Mwana mfalme bandar,alikua balozi wa Saudi Arabia marekani,ntafute umuone,halafu jiulize kwa nini ni mweusi kuliko maalum seifSwali moja muhimu sana.
Kule kwa wazungu kuna mchanganyiko(half casts). Maana yake kuna wazungu wanaoa weusi na weusi wanaoa wazungu!
Nipe nchi moja tu ya kiarabu yenye system kama hiyo!
Mungu gani!?Ile huwa inanichefua sana japo nami nilizaliwa kwenye uislam.
Kwa sasa siamini katika dini yoyote. Nimebaki kuamini uwepo wa Mungu pekee inanitosha.
Nyerere alisoma na alikua mdini..Kama walivyo wakatoliki wenzie,acha kuifanya hiyo elimu ya test tube na nadharia za darwin kuwa ya maana kiasi Cha kumbadilisha mtu,wasomi wengi wajingaYes, case in point waangalie wazanzibari au jamii zingine hapa Tanzania zinazoendekeza udini (dini za kuletewa).....utakuta wengi wao ni watu wasiojitambua ama watu wasio na elimu. Hawataki kusoma kujuwa ukweli wao bali wamekariri mistari tu ya vitabu vinavyosadikika kuwa ni vya Mungu na kuamini kila kitu. Mtu anashindwa kabisa kufikiri anaposoma kitabuni kwamba Mungu kaamuru watu kuua wenzao na wakati Mungu huyo huyo kakataza kuua. Waafrika tumepotoka sana na ujinga huu wa dini, tunashadadia tu bila kujitambua.
πΉπΏ Asia yote kisili wana tamaduni zinazoshabihiana na hazina mahusiano na dini ijapokuwa sisi wabongo nyoso na wasfrika nyoso tunadhani kujifananisha na hao ndio kuwa karibu na Mungu , hapo unskuja wanaume na wanawake wanatumia mikorogo ili wasifiwe wana rangi so called " ya mtumeπ" , wanaume wanaweka hina kwenye ndevu zionekane za kiarabu, wanawake hata nywele ndefu hana atazungusha mavitambaa kichwani ili akifunika ionekane kama kafunga nywele za singaMwafrika aoe binti wa kiarabu? dah hapo ni shughuli pevu aisee... kiukweli waarabu ni wabaguzi sana kwenye swala la kuoana.
E bhana kinyundo penye mshono [emoji375] [emoji13]Wanataka tu msaada wa tende wakati wa mfungo kutoka Uarabuni! Hawana lolote hao. Uvivu na utegemezi, ndiyo jadi yao.
Umeandika kwa lugha ya mfanya biashara mkuu ya utumwa,mkoloni,muuaji wa kimbari,na bila Shaka utakua umevaa suti kwenye nchi yenye 28-30c,na unamuona mwingine ana self hate
Wewe mzungu anakuthamini!!?Ni moja kati ya lugha rasmi inayotambuliwa Tz na duniani na inatumika kufundishia n.k lazima niitumie ila point yangu ipo pale pale hahah acheni kujichukia eti me mwarab mtu mweusiii pyeee jifunzeni kujikubali afu mnavyoona waarab kama waungu wenu shobo nyingi wenyewe wanavyowadharau sasa hahahaha!
Wewe mzungu anakuthamini!!?
Dalili za kushoboka na kujifanya Kama mtu Fulani ni zipi!?We unataka ligi umeona nawashobokea kama nyie mnavyoshoboka na Waarabu na kujifanya waarabu [emoji23]
Vijana wa karakana ni wa moto faya , baada ya majengo kupoa ukorofi ukahamia hapo .Hahahaha karakana ndo home so naelewa yote hayo ila me silagi TU mirungi imenishinda bei
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unajichekesha nini!!?..hebu tupe nyendo/tabia za mshobokaji kwa mshobokewaWe unataka ligi umeona nawashobokea kama nyie mnavyoshoboka na Waarabu na kujifanya waarabu [emoji23]
Kuna wenzako wanasema zenji kilikua kisiwa tupu..wakaja waarabu ndio wakakianzisha na kuleta watumwa toka bara walime karafuu.Acheni ujinga,muoman kaenda zenji 1800s,zenji Pana watu kabla ya hapo,hawakupelekwa Kama watumwa
Dalili za kushoboka na kujifanya Kama mtu Fulani ni zipi!?
Unajichekesha nini!!?..hebu tupe nyendo/tabia za mshobokaji kwa mshobokewa
Acheni wivu huooooNi kutokujitambua kulikotokana na propaganda za dini walizoletewa.
Waislamu wanajiona wako karibu na waarabu na wakristo wanajiona wapo karibu na wazungu na wayahudi wa israel ya 1948.
Waafrika bado wamelala tu na bado wanaendelea kutafunwa na dini bila kujua hakuna mwenye nafuu.
Hapana mkuu siyo kweli waarabu ni Semites (Iyo iko wazi kwenye DNA na historia) na sisi manigger ni Nubians. Ethiopians and Somalis ni chimbuko la mchanganyiko wa waarabu hasa wa Yemen na Nubians (blacks) several thousand years ago.unaelewa chimbuko halisi la waarabu ni weusi tititiii soma historia kwanza jombaa
Huo wote ni upotofu wa akiliUnasema wazanzibari wanavaa mavazi ya waarabu na jambia kiunoni kuiga waarabu,
Vipi kuhusu wanao vaa suti na tai wao wanamuiga nani?
Vipi wanaochanganya Kiswahili na English wakiongea wao wana muiga nani? Mpaka kuna maeneo eti yanaitwa Uzunguni!
Umewasahau pia wale wamarekani na mayahudi weusi wa Manyovu? Yupo tayari kumtukana ndugu yake ili amtetee yahudi!