Hata Magu alinusurika kumuua Tundu Lissu matokeo yake yeye ndiye akatangulia.Siku mwisho wako hapa duniani ukifika hakuna chochote kinacho weza kuzuia usiondoke , masuala ya ulinzi sijui intelegensia ,cheo umaarufu, pesa hivyo vyote ni taka taka mbele ya kifo.
Hilo ndiyo Israel taifa teule la Mungu. Na badoππππBado hamjakoma tu warudie kuwashambulia?
Helicopter sio matako kwamba kila mtu anayo, ni ngumu kuliko ndege. Drones ndio rahisi zaidi.Kwann wasitengeneze za kwao?
Kwanini wasinunue kwa kaka yao urusi au china? Wameweza kumudu gharama za drones inakuaje washindwe kwenye helicopter tena ya rais?
Ibn batuta alisifu pesa za noti za wa wachina alipofika china,hiyo ni 1300,kuhusu tiba msome IBN Sina/ave Cena halafu ukipenda utahariri andiko lakoWaislamu hawana cha maana walichotengeneza hapa duniani chenye thamani.
Wanajazana ujinga halafu vitu vyote vya thamani wanatumia za makafiri.
Kuna siku shekh mmoja hivi kaweka audio yake anaisifu dini yake huku anawakashifu makafiri huku anaomba msaada ni mlemavu. Nilicheka sana
1. Hela wametengeneza makafiri
2. Flash drive wametengeza makafiri
3. Speaker (Subwoofer) wametengeneza makafiri
Uislamu ni dini ya ovyo sana, wakiumwa wanaenda kwenye hospital za makafiri kutibiwa na wanatumia dawa zilizotengenezwa na makafiriπππππ. Uislamu ni ujinga
Humu kila siku mnaongea viongozi wa Ki Africa wanakula mema ya Nchi wanatembelea V8 etc.Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? π«€
Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?π§π
Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?
Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
Hapa hatuongelei thaman yan kitu, bali tunaongelea usalama, raisi ni taasisi ambayo inatakiwa ilindwe kwa gharama, technolojia ya helicopter ya mwaka 70 haiwezi kua sawa na ya mwaka 2000 kiusalamaHumu kila siku mnaongea viongozi wa Ki Africa wanakula mema ya Nchi wanatembelea V8 etc.
View attachment 2995543
Huyo Raisi wa Zamani wa Iran akiwa kwenye usafiri wa Uma anaotumia kwenda kufundishia chuo.
Hili gari lake la zamani Peugeot ambalo lilipigwa mnada San Diego
View attachment 2995547
Raisi wa Sasa anatumia Mark II ama Peugeot 607, ama local made cars na kama Unavyosema Amefariki Na helcopter ya 1978.
Viongozi wao wa Namna hii ndio maana japo wana Vikwazo wametaka kusikojulikana hadi kuwa Nchi ya 15 kisayansi duniani.
So kufa kwenye Hellcopter kali ama Ndege ya Mabilioni ya Hela wakati Wananchi wako wanakula dagaa si sifa.
Hao wamarekani wenyewe hawawezi kuiongelea Iran kama anavyoongelea huyo popoma, Siku zote Trump aki adress iran lazima awasifie wananchi kwanza then ndio aponde uongozi.Ibn batuta alisifu pesa za noti za wa wachina alipofika china,hiyo ni 1300,kuhusu tiba msome IBN Sina/ave Cena halafu ukipenda utahariri andiko lako
Why Raisi apewe ulinzi mkali zaidi mpaka ifike stage ya kusacrifice mambo mengine kwa ajili yake, si kila siku tunasifia viongozi wa Ulaya humu wanatumia baiskeli?Hapa hatuongelei thaman yan kitu, bali tunaongelea usalama, raisi ni taasisi ambayo inatakiwa ilindwe kwa gharama, technolojia ya helicopter ya mwaka 70 haiwezi kua sawa na ya mwaka 2000 kiusalama
nchi ya 15 kisayansi raisi wao angekufa kizembe hivo?
Nyota na mwezi mnavyoviweka juu ya misikiti hutumika pia na wachawi na waganga wa kienyeji kupiga ramli.Myahudi kikosi cha Hamas kakishindwa akapigane na Iran [emoji1]
Misalaba ina lana nyie wacheni huoni wachawi wanaitumia hata kina diamond wamejua misalaba ni njia ya shetani [emoji1]
Sio ulinzi mkali, hapana, tunaongelea ubora na usalama, raisi hapaswi kutumia usafiri ambao usalama na ubora wake ni wa mashaka mashaka, rais anatakiwa kusafiri kwa usafiri ambao una guarantee kubwa ya usalamaWhy Raisi apewe ulinzi mkali zaidi mpaka ifike stage ya kusacrifice mambo mengine kwa ajili yake, si kila siku tunasifia viongozi wa Ulaya humu wanatumia baiskeli?
Nchi inayojielewa inakua na succession plan nzuri, Raisi ni mfanya kazi kama wafanyakazi wengine akiondoka anakuja mwengine.
Ukijua mtengenezaji wa hiyo helikopta ndio utachoka zaidiNajiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? π«€
Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?π§π
Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?
Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
1. Unajua pesa/hela zinatengenezwa wapi? Tangu lini muislamu akawa muasisi wa pesa?Ibn batuta alisifu pesa za noti za wa wachina alipofika china,hiyo ni 1300,kuhusu tiba msome IBN Sina/ave Cena halafu ukipenda utahariri andiko lako
Alipaswa chagua vita. Israel sio watu wakuchezea hata mrusi analijuwa Hilo na anajuwa mwisho wake.Kuna makosa madogo ukiyafanya madhara yake ni makubwa sana!
Ndicho kilichotokea!
Nyuma ya kifo kuna sababu haijalishi ni nzuri au mbaya!
Irani licha ya kufanya walichokifanya kwa Israel lilikuwa ni suala la Muda tu. Pengine tusubiri matukio mabaya zaidi kutokea.
Kwanini wasinunue za MrusiAirforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.
Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.
Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Iran miyayushoKwanini wasinunue za Mrusi
Imewekeza kwenye ugaidi tu. Majinga kweliMbona umeandika upupu mwingi!?
Helikopta ya 1971.
Pia Iran hakuwekeza kwenye aircraft technology.
HatarAsante. Mapambano yanaendelea moto utaendelea kuwaka tu hakuna kurudi nyuma. Huyo atakaeingia ndio kichaa zaidi