Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
📍: USAGARAHahaha mpwa hujui usemalo, Wacha nikuonjeshe facts. Hii hapa chini nimechukua kutoka group Fulani sitalitaja.
MWANZA_DAR
📍KONGOWE
01:🌳EBF🍊🍊_ 22:49
02:🌳KUFFI🌎🌎_22:50
03:UNSTOPPABLE🍊🍊_22:50
04:KATARAMA🇬🇶🇬🇶_22:52
#VIDEO LOADING#🔥🔥
Yaani saa nne wanaingia kongowe
KUTOKA DAR UELEKEO TABORA MPANDA KIGOMA📍: USAGARA
🍄1:🍊🍊 EBF 22:46🔥🙌
🍄2:🌍🌍 EBS 22:48
🍄3:🇬🇶🇬🇶 EBR 22:55
🍄4:
$$####PIZZO GRAPHER😎###$$
Wanayaruhusu lakini hawana uwezo wa kutadhibiti kwenye hajari sababu dereva wa basi hakubali kuendesha basi nyumba ya gali yoyoteNinayo furaha kuwajulisha kuwa zile kelele zetu zimefanikiwa kwa asilimia kubwa na hivyo mabasi yataanza safari saa tisa usiku kwa kuomba kibali.
Ni hatua kubwa na nzuri maybe very soon tutasafiri 24hrs, tuachane Sasa na habari za Speed meter a.k.a Ving'amuzi.
Kwahili la Mabasi kusafiri Usiku, nampongeza Mbunge Tulia Ackson
Kwa muda mrefu nilitaka kuandika hili la Sababu za "kitoto" za kuzuia magari yasisafiri usiku, hatimae Mbunge Tulia ameliona Hilo, tusubiri mamlaka zitekeleze. Mimi ni mdau wa safari za usiku sana, kwahio Wacha niwape experience.... 1. Zile Coaster za Arusha zinazuiliwa pale Mkata wa saa Tano...www.jamiiforums.com
Pia andiko langu lingine hili
Ni wakati muafaka kwa serikali kuruhusu magari ya abiria kusafiri usiku
Wakuu, week mbili hizi nimesafiri kwenda Tanga na Sasa Niko safarini kwenda Nyakanazi. Kwa Safari zote hizi, nimegundua na kuthibitisha yale ambayo nimewahi kuyasema hapa mara kadhaa. 1. Mabasi yanaondoka kwa sasi sana unnecessarily. Safari yangu ya Tanga nilifanikiwa kurekodi speed ambapo...www.jamiiforums.com
Taarifa hii hapa
View attachment 2610384
Hatari sanaTena kati ya saa 9 mpaka kunakucha ndo pa kupaogopa. Watakimbia kama wanawahi kufumania.
Mwaka 2018 Nimeingia Ubungo saa 3:30 usiku toka Mwanza na KisboHahaha mpwa hujui usemalo, Wacha nikuonjeshe facts. Hii hapa chini nimechukua kutoka group Fulani sitalitaja.
MWANZA_DAR
📍KONGOWE
01:🌳EBF🍊🍊_ 22:49
02:🌳KUFFI🌎🌎_22:50
03:UNSTOPPABLE🍊🍊_22:50
04:KATARAMA🇬🇶🇬🇶_22:52
#VIDEO LOADING#🔥🔥
Yaani saa nne wanaingia kongowe
Pori la uvinza sio zuri.Juzi nilikuwa nakuja kigoma tulifika kaliua saa tano kasoro tukalala pale had saa 12 asubuhi nikafika kigoma saa sita mchana nikashangaa Sana kulikuwa na sababu gani ya muhimu kulala kaliua...
Mkuu si itabidi utoke nyumbani saa 6 Usiku ili uwahi Mbezi stand?Sisi wa kasulu hakuna Tena kulala njiani Kaliua. Kasulu na Kigoma tunafika saa sita usiku
AN ametisha Sana.KUTOKA DAR UELEKEO TABORA MPANDA KIGOMA
::TABORA BUS STAND
::04/05/2023
:😡ALL_TANZANIA_BUSES
1.AN CLASSIC DZT 18:49 TBR
2.AL SAEDY DWZ. 19:02 TBR
3.HAPPY NATION DGB 19:24 MPND
4.ABOOD DKY 19:36 TBR
5.NBS CLASSIC EBR 20:19 TBR
6.KISBO SAFARI DCJ 20:21 TBR
7.MAJINJAH DEY 20:21 KGM
8.COLOR STAR DCA 21:07 TBR
🙏 🙏 ASANTE KWA KUCHAGUA @ALL_TANZANIA_BUSES #2023
FOLLOW
🇹🇿 @ALL_TANZANIA_BUSES
🇹🇿 @ALL_TANZANIA_BUSES
#ALLTANZANIABUSES
Mimi Binafsi sikubaliani nao kwa sababu sijaona kamawamefanya sampling kuona itakavyokuwa na ndio sababu huishia kufungia yasitembee usiku baada ya miezi kadhaaNadhani ni suala la muda tu, maana kuna mambo hayaepukiki kwenye dunia hii inayokwenda kwa kasi ajabu.
Ilianza saa 12 mara saa 11, sasa ni saa 9 kutoka popote pale ndani ya Tanzania kuelekea mikoa mingine ili mradi ukidhi vigezo hasa kigezo cha LATRA kukuruhusu.
Mamlaka ya usafiri ya udhibiti wa usafiri ardhini nchini imewaagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda kuanza safari muda huo wa saa tisa usiku wafike katika Ofisi zao kuomba upya leseni.
Salum Pazzy anayekaimu kitengo cha uhusiano na mawasiliano cha LATRA amesema, ni lazima madereva wasajiliwe ili kuwa na taarifa zao za msingi.
Kwa maoni yangu, angalau kidogo mnasogea japo bado sana maana tunapaswa kusafiri 24hrs katika dunia inayopungua ukubwa kila siku, ikiwa watu hawalali kwa sasa wakikimbia huko na huko.
hahahaaaaaTena kati ya saa 9 mpaka kunakucha ndo pa kupaogopa. Watakimbia kama wanawahi kufumania.
...Na ndio saa za Kusinzia Dereva hizo.[emoji848]Tena kati ya saa 9 mpaka kunakucha ndo pa kupaogopa. Watakimbia kama wanawahi kufumania.
Ndiyo maana tunasema humu wengine siyo wasafiri that's why mnapinga.Mfano: wangeanza route ambazo ni salama Zaidi kama sampling kwa muda hata wa miezi 6hivi
Arusha/Moshi/Dar /Moro
Kwani polish wameshindwa kudhibiti? Yaan police inawanyooshea mikono juu majambazi? UjingaPori la uvinza sio zuri.
Kinachotakiwa kwa madereva wetu ni kuwa tu makini. Saa tisa alfajiri, siyo muda wa kutisha sana. Hayo matukio ya ujambazi yanadhibitika.Matokeo ya kulazimisha mambo huwa mabaya. Ajali zitakuwa nyingi sana na matukio ya magari kutekwa na majambazi yataongezeka.
Tuwe wavumilivu, SGR itatupa usalama zaidi kusafiri usiku.
Nashangaa kuna watanzania hadi leo wanadhani madereva wa Tanzania wapo dunia nyingine, kwamba wao hawawezi kuendesha magari usiku.Mkuu chombo hicho kikiingia zambia tu,ni kutambaa usiku na kikifika Harare kinakutana na wababe wa Harare to jhb, nani kutusua beitbridge mapema? Wakina intercape waanze kujipanga
Kwanza mkipata ajalali maporini muda huo msaada wa haraka mnaupataje? Kuna vijiji vingine wana asili ya uhalifu, mkianguka tu wanakuja kuwapora, muda huo utampata nani, haya mambo waache kuyaangalia kisiasa tu, waangalie na kiusalama zaidi wa wasafiri.Masaa 24 kwa madereva wepi? Ni hawa hawaa wa mabasi wanaotanua hovyo hovyo na kutowajali watumiaji wengine wa barabara? Trust me ajali zitakazofuatia hapo ….zitakuwa za kutisha sanaa!