Leo naamka na watu wajinga wanaotaka kufanya sherehe kubwa kwa kuwachangisha wengine

Mchango wa harusi 10,000 sijawahi ona. Na huyo utakayemchangia elf 10 hataifikisha kwenye michango ataishia kuitumia kwa shida zake binafsi.

Itakua ya Birthday maana watu 20 wakitoa hizo 10k kila mtu, Cake ya 50k, soda 30k, vikali 30k, pilau nyama 50k inayobaki ya birthday girl/boy kununua nguo na kiatu Mtaa wa Congo Kariakoo.

Makeup atafanyiwa na shosti wake anaemiliki salon Mtaa wa nyuma buree [emoji108]
 
OKeee
 
Bro kuna gharama kwenye hiz Mambo lakin kuna faida kubwa. Jitahd uwe sehem ya jamii. Ckuambii uchangie harus zote lakin hakikisha na wewe na sehem ya watu. Kuna watu bilionears nawajua lakin wanachanga. Hawahtaji hela yako wanahtaji uwepo wako. Furah na watu na kulia nao ndio maisha. Achana ubinafs wa kizungu. Mtu kama amepewa miaka 40 ya kuishi na katika hizo siku akakupa hapo cku moja huyo mtu ni muhim kwako sana. Ni kama ukiwa na gar jitahd hata kama una gar cku moja moja unapanda dalala utakuja kufikir tofauti.
 
Ndoa au sherehe si dharura so kulamtu ajipange au tuanze mfumo wa watu kuja na vyajula na vinywaji vyetu kwenye hizo sherehe zunu kama hamna hela za kuandaa sherehe hiZo
 
Unayumba mkuu
 
Mtu akikupa kadi ya mchango kama huna hela mwambie tu sina. Usiharibu bajeti au kuingia kwenye madeni kwa starehe za watu.
Mimi huwa nachua ten nalikunja halafu namfinyia kwa stori nyingi na vicheko namwambia dont look it, dont show me, dont show anyone, basi na yeye analitia mfukoni bila kuangalia huyooo.
 
Kiukweli harusi zinatutia umasikini mtu hata hamjuani sana anataka mchango na masalamu kibao atayaanzisha ,akishafanikisha jambo lake njiani anakupita kama hakujui utadhani hukumchangia ,pia waliosoma na wew wanataka michango,nyumba za ibada, makazini,mtaani ,ndugu nao Kila sehem michango alafu hapo unakuta una kiwanja hakina hata tofali 50....mim harusi sitochangia kbsa nishasema haiwezekani unakuwa na kadi zaidi ya 6 na zote wameweka single eti 70 au laki Moja ,nendeni mkafunge harusi za kiserikali msilazimishe " " kula muwa
 
Mimi nachangia wagonjwa tu. Hata nikikuchangia sizidishe elfu 50 never.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…