Hiyo ni ya wana chadema ila hatongoza serikali kwa stail hyo huyo wanaomtumaWewe ni Mwanachadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni ya wana chadema ila hatongoza serikali kwa stail hyo huyo wanaomtumaWewe ni Mwanachadema?
Mugabe museveni na wengi walikuwa wanaishi wapi ur fu%$/× full off shit hall thinkers we need changes sio from chaguzi hizi but this is like butterfly....Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Post yako wala sijaizingatia, nimemakinika na avatar yako.Chadema Sasa ni chama cha wazungu!
Wajumbe wenyewe akina mdude nyagali wana ufahamu gani?Kwa hiyo wajumbe waliompa kura hawana ufahamu huo?
Au wewe ndiye huna ufahamu?.
Samia anaishi ikulu, lisu hata baada ya uchaguzi mkuu alikimbilia ubelgijiSio kweli kwamba Lissu anaishi Belgium. Je, ni sahihi kusema Samia anaishi Oman? au USA, au nchi zote alizosafiri? Kama unaamini Lissu anaishi Belgium, kwanini usiamini Samia anaishi angani?
🚮Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Mke ubelgiji, watoto USA, baba tanzania, hiyo chemistry unaiona iko sawa kweli? Na ikitokea amepata matatizo na serikali si atakimbilia nje ya nchi huko alikozoea na kutelekeza chama, kama alivyofanya baada ya uchaguzi mwaka 2020?
Hebu soma majibu ya jamaa hapo juu utapata majibu mkuu na inaonekana unaendeshwa na hisia zaidi kuliko utashi,hebu msome TAL na umfuatilie vizuriYes, anaishi ubelgiji
💯It depends. Hizi propaganda zinazoletwa na hawa kina Laki Si Pesa, Lucas Mwashambwa, Choice Variables na Tlaatha haziwezi kumrubuni hata mtoto wa darasa la saba.
Ni upuuzi wa kijinga tu. Na kama wanalipwa huyo anayewalipa hana hata akili.
Unaishi nae nyumba moja?kwani uongo lisu haishi ubelgiji?
Kwakuwa akili huna na ni kidampa buku 7 wa Lumumba ngoja nikusaidie hii historia nyepesi.Ndio utuambie sasa ataongozaje akiwa nje ya nchi, sijawahi kuona kiongozi anaeongoza kutokea nje ya nchi
Watoto wake ndio walipigiwa kura na wanacdm?Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?