Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

issuesiyo kusema ukweli shida iko kwem=nye matusi aliyotukana hivi kweli mtu akuambie matope kichwani yaani amekudharau sana huyu anahitaji akachunguzwe na kichwani pengine ubongo umegeukia sehemu isiyo yake
Acheni hisia kwani matope ni tusi?
 
Oooh nchi inaelekea kubaya. Nashauri tuwe wamoja na ikimpendeza Mhe. Rais Mkataba huu ufutwe na tuanze upya kwa kufuata taratibu zote.
 
inakera sana mtu unamshauri kabla mambo hayaja haribika anapuuza halafu

yameshaanza kuharibika mnaona ndio ana point asikilizwe aitwe,huo mimi nitaendelea

kukazia kuwa ni matope,pumba na mtori usiofaa kunyweka (japo sina mwanasheria) ila nasisitiza hayo ni matope.

Hukuona point zangu mwanzo saiz ndio uje uzione,matope Halafu kuna jina moja eti linasema mbali na Rais huyu pia n MAMA.

shenziii mama imekujaje hapa,tunaongelea mambo ya taifa unaleta umama na ubaba na ujomba hapa,mnafki mkubwa.
 
Umesema vema kuwa zilikuwa stahiki zake.
Nina declare interests. Hata mimi nina thread 2 zinazokosoa makubaliano ya DP WORLD na Tanzania kama:-

(1) Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD na thread nyingine ni kama ifuatavyo:

(2) Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

Sikiliza hii clip ya dakika 5 halafu tathmini kama afya ya akili ya Tundu Lissu iko sawa. Kumbuka Rais Samia akiwa Makamu ndiyo kiongozi pekee wa nafasi ya juu aliyemtembelea kumuona Tundu Lissu akiwa Nairobi hospital.

Kisha akamtembelea Brussels baada ya kuwa Rais. Na akamlipa stahiki ambazo chini ya Magufuli asingeweza kupata. Akamfutia na kesi zake 2 mahakama ya Kisutu

View attachment 2692011

Sasa kosa liko wapi mtu kulipwa lkn akaendelea kutetea uzalendo,rasilimali za Tanganyika?
Kwani alihongwa ili hasihoji?
 
Lisu amekosea, kwa mtu alie na akili timamu huwezi fanya alichofanya hapa. Hata kama ni mtanzania wa kawaida huwezi sema alichoongea ni matope. Kulikuwa na ubaya gani angeitwa na kutoa maoni yake kama Raisi alivyo sema. Upinzani wa aina hii ndo unaoirudisha hii nchi nyuma. Leo hii kwa aina hii ya kuropoka hata kama anamchango kwa Taifa kwenye masuala ya Sheria bado hataweza kuutoa kwani anaonyesha hayupo tayari.

Kukosoa kuwe na mipaka pamoja na staha. Amemvunjia Raisi heshima kwa kiwango kikubwa sana.
Kabla ya lisu kusema tulisema yale ni MASHUDU ya raisi na ifike mahali tukubali huyu mama akili yake inatosha tu kuvukia barabara , na anaaibisha mpaka Taasi ya urasi halafu nguvu kubwa inatumika kupinguza Madhaifu yake
 
Hata mimi nimelizima! Hili jamaa ndilo linataka liwe Rais? Kiufupi Lissu ni punguani aliyesoma! Litakuwa lina malezi mabaya! Hata kama Rais amekosea huwezi kutukana kiasi hicho bwana! Wakilimiminia zingine sitashangaa!
Atamiminiwa mama yako
 
Katukana cheo sasa huyu Rais sijui rais wa wapi labda kusema matope ya Ikulu ila sio kosa vibaya kusema ikul ni matape
 
Mh. Rais wakati anawapisha waziri na watendaji wa juu wa wizara ya uchumi, mipango, na uwekezaji liitoa maono yake anavyotaka tume ya mipango ifanye kazi; akashauri watendaji wasiogope kuchukua watu kutoka nje serikalini hata wale wanaopinga namna serikali inavyopanga na kutekeleza mipango yake ya uchumi.

Wale wa kusikia bila kusikiliza wakalibeba kana kwamba Rais Samia amesema wale wanapinga makubaliano ya bandari waite kwenye tume ya mipango- na Mh. Lissu akauita ushauri wa rais , matope au presidential rubbish.

View attachment 2692925

Mh. Lissu is sick and seriously sick
You are quite right, hawakumwelewa alikuwa anaongelea thimktanks. Ilitokana na wushful thinking: waliomba aseme hivyo lakini kakesema hivyo kwa hiyo wameswali swala na kuijibu wao wenyewe.
 
Matope ni kauli kali?na wala sio tusi punguzeni hisia mtamuelewa TL
Risasi 16 ziliathiri ubongo wa Tundu Lissu. Narudia kusema kuwa alikuwa na njia nyingi za kufikisha ujumbe kwa Rais bila kutumia lugha ya kifedhuli
 
Umesema vema kuwa zilikuwa stahiki zake.


Sasa kosa liko wapi mtu kulipwa lkn akaendelea kutetea uzalendo,rasilimali za Tanganyika?
Kwani alihongwa ili hasihoji?
Tunakubali kuhoji lakini siyo kwa lugha ile ya kifedhuli. Sisi wenyewe wananchi ndiyo tunawaharibu viongozi wetu hadi wanaamua kubana uhuru wa maoni
 
Risasi 16 ziliathiri ubongo wa Tundu Lissu. Narudia kusema kuwa alikuwa na njia nyingi za kufikisha ujumbe kwa Rais bila kutumia lugha ya kifedhuli

..mkataba wa Tz na Dp sio wa kifedhuli?

..kama sio wa kifedhuli kwanini serikali imelazimika kupeleka mswada wa kubadilisha sheria zetu ili kuwezesha mkataba na Dp kutekelezeka?

..Je, walioandaa na waliopitisha mkataba wa kifedhuli wanastahili kuitwa jina gani na wananchi?

..Je, hawastahili lawama na kukosolewa kwa mkataba walioingia?

..Je, walioingia mkataba mbovu wana haki ya kuwapangia wananchi kauli na namna ya kuukosoa mkataba mbovu na wakifedhuli walioingia?
 
Watu wanajadili maslahi ya Tanganyika kwa huruma ya kuwa aliyeuza nchi ni mwanamke au mama.
That is absurd!!
Na upumbafu.
 
Back
Top Bottom