Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Siasa ni sayansi. Tulia wewe!Kweli Rais ana madaraka makubwa. Kwa hiyo anacreate ajira special kwa hawa wazee wawili. Halafu Samia yupo addicted na mitandao. Anasoma sana mitandao. Lukuvi atakuwa mshauri wa Rais ama?Kabudi tumeambiwa anaongonza majadiliano ya mikataba. Stupid.Wakifa na kaburini awafuate. Maana as if bila wao nchi haiendi. Stupid
Mama amekomaa haswaaaaaa.
Hawa ndio wamemalizwa, genge Lao na dhamira yao ya uspika imepigwa pini kiaina na Mheshimiwa Mama yetu kipenzi.