Kwa TL kila goti litapigwa. Wewe umekuwa mstari wa mbele kuhubiri chuki dhidi ys Lissu; leo umekuwa Rafiki??Binafsi naamini kesho kutakuwa na mafuriko ya watu Uwanja wa Taifa. Kutakuwa na wanaoenda kutazama gwaride na watakaokuwa wanaenda kumshangaa Lissu ambao ndio watakuwa wengi.
Watawala waangalie msiba wa Winne Mandela jinsi walivyowapa nafasi EFF nao wafanye hivyo kesho. Lissu apewe nafasi ya kutoa salamu!
Aidha nawapongeza polisi leo kwa busara waliyotumia. Busara hii iendelee hadi uchaguzi Mkuu uishe.
Huyu mnafiki mkubwa sana.Were mnafiki nenda kalale
Wajumbe wamemnyosha naona kidogo kidogo anarudisha makoloniunataka urudi
Sema nyie majamaa walamba nyayo mnakera sana
YesHuyo askofu wako ndiye yule Leonard Mwizarubi wa pale unga limited Arusha au ni mwingine?
Usijali, mbona jana mliandamana na maisha yakaendelea? Muandamane Tu, mi nitaendelea kula mboliko yanguMkuu una mpango wa kunajisi box la kura nini hiyo October, ndio maana umeshukuru hayo mahojiano yamekatishwa, kwani umejua mkiiba safari hii watu wataandamana tena nini?
Hii kitu inanifikirisha hata mimi,Mbona hawa wa toto wa nyerere makongoro na madaraka kwa muone kano kimazingira kieshima kinyazifa Serikalini wapo tofauti Sana na watoto wa mwinyi, kikwete, lowassa, karume mfano kwenye kura za maoni ccm huko kwao wamekatwa Lakin watoto wa kikwete, lowassa mwinyi, wametoboa kwenye kura za maoni ccm
Abaki huko hukoWajumbe wamemnyosha naona kidogo kidogo anarudisha makoloni
We jamaa unahangaika sana .una maruwe ruwe sanaBinafsi naamini kesho kutakuwa na mafuriko ya watu Uwanja wa Taifa. Kutakuwa na wanaoenda kutazama gwaride na watakaokuwa wanaenda kumshangaa Lissu ambao ndio watakuwa wengi.
Watawala waangalie msiba wa Winne Mandela jinsi walivyowapa nafasi EFF nao wafanye hivyo kesho. Lissu apewe nafasi ya kutoa salamu!
Aidha nawapongeza polisi leo kwa busara waliyotumia. Busara hii iendelee hadi uchaguzi Mkuu uishe.
Pole sana bro hujapata uteuzi mpaka sasa sijui umekwama wapiBinafsi naamini kesho kutakuwa na mafuriko ya watu Uwanja wa Taifa. Kutakuwa na wanaoenda kutazama gwaride na watakaokuwa wanaenda kumshangaa Lissu ambao ndio watakuwa wengi.
Watawala waangalie msiba wa Winne Mandela jinsi walivyowapa nafasi EFF nao wafanye hivyo kesho. Lissu apewe nafasi ya kutoa salamu!
Aidha nawapongeza polisi leo kwa busara waliyotumia. Busara hii iendelee hadi uchaguzi Mkuu uishe.
Picha?wanafunzi wametusaidia kuujaza uwanja!!
Diplomasia na kuipuuza Corona ndo chanzo kikuu.Mgeni kutoka nje ya nchi tofauti na mabalozi ni Waziri Mkuu wa Burundi tu! Tatizo ni corona au diplomasia yetu imeshuka kiasi hiki? Tujitafakari na tujisahihishe!