kachelewa sana na kawasubirisha mno watu aisee.
ratiba inaonyesha ilikuwa afike masaa 4 kabla... siyo fair kabisa, kulikoni?

Ratiba mbona inaendelea kama kawaida hakuna alichochelewesha, sbb wananachi wakimaliza kuaga, then Jeshi linamuaga rasmi na ndio itakuwa mwisho wa kuaga.. Sasa kawasubiria watu kivipi na misa inaendelea, hata angekuwepo tokea asubuhi bado ratiba ingekuwa hivi hivi ilivyo.. Au hujui ratiba ikoje
 
Mzee kikwete ana kauli thabiti sana huyu mzee , namuelewa sana

----------
Muito wa simu yangu ni am sorry jk
 
Msaada please maana sikufanikiwa kusikiliza Historia ya marehemu
 
Punguza K vant Mkuu... Acha papala umeandika nini sasa?
Kwa ambao tulikuwa tuna hamu ya kumuona mh RAIS dk JPM Lupaso kwenye mazishi amewasili kwa gari
Karibu JPM kumsindikiza moendwa weru
 
Jakaya kwenye Tanzia yake alitaja kwamba uchumi haukuwa vyema kipindi cha mzee mwinyi Nimeona aliposimama mzee mwinyi pia kasema uchumi haukuwa vyema kipindi cha Jakaya, haya ni majibizano au ni balagha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…