Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Huyo ni mkuu wa nchi ni taasisi siyo saccoskachelewa sana na kawasubirisha mno watu aisee.
ratiba inaonyesha ilikuwa afike masaa 4 kabla... siyo fair kabisa, kulikoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mkuu wa nchi ni taasisi siyo saccoskachelewa sana na kawasubirisha mno watu aisee.
ratiba inaonyesha ilikuwa afike masaa 4 kabla... siyo fair kabisa, kulikoni?
kachelewa sana na kawasubirisha mno watu aisee.
ratiba inaonyesha ilikuwa afike masaa 4 kabla... siyo fair kabisa, kulikoni?
taasisi ndiyo haswaa inahitajika kuheshimu protocol kwa 100%.Huyo ni mkuu wa nchi ni taasisi siyo saccos
Hii ni kweli kabisa, yupo anatoa shule kiaina hapa.Jakaya ni Mzungumzaji mzuri sana nadhani baada ya mwl nyerere kwa hawa marais wanne
Natoa wito kwa wananchi watakaojitokeza kujihadhari na Corona kwa kuvaa barakoa
Mzee mwinyi yeye ni kunasihi, anapendeza zaidiHii ni kweli kabisa, yupo anatoa shule kiaina hapa.
Natoa wito kwa wananchi watakaojitokeza kujihadhari na Corona kwa kuvaa barakoa
Hivi malisa ni kweli seminar imekufundisha kubagaza watu nyakati zote hata kipindi hichi cha farajaNatoa wito kwa wananchi watakaojitokeza kujihadhari na Corona kwa kuvaa barakoa
tafuta hotuba ya Dr Magufuli mbele ya wahanga wa Tetemeko la Kagera halafu urudi tena kuniulizaHivi malisa ni kweli seminar imekufundisha kubagaza watu nyakati zote hata kipindi hichi cha faraja
Kwanini hamku wa advice wale walioenda kumpokea Lissu kuvaa barakoa? Au wao corona haiwapati?Excellent advice Sir [emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1420]
Kwanini hamku wa advice wale walioenda kumpokea Lissu kuvaa barakoa? Au wao corona haiwapati?
Kwa ambao tulikuwa tuna hamu ya kumuona mh RAIS dk JPM Lupaso kwenye mazishi amewasili kwa gari
Karibu JPM kumsindikiza moendwa weru
Wawili....Msaada please maana sikufanikiwa kusikiliza Historia ya marehemu