ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Mimi sikumfahamu. Jiwe?Your communication should be given level four alert by those who are concerned.
Kwa taarifa za awali humu JF! Kwa hiyo place and cause of death vinabakia siri lakini bado tunaambiwa tukauage mwili!Uliambiwa na nani?
Unamiaka mingapi?JWTZ, nawapenda na kuwakubali sana Wanajeshi wetu, huwa napata furaha sana nikiwaona, Mungu wabariki Wajeda wetu, ...
Channel ya chamaChannel Pekee yenye ubora wa urushaji matangazo ni channel Ten, nimeipenda sana, kwanza wana drone za juu na muonekano wa picha ni safi na tulivu.
Sauti imetulia vizuri kabsa.
Wajue kuwa kipochosababisha kifo cha Mkapa kimefichwa tena kwa makusudi maana alifariki kwenye hospitali ya Makumbusho na sababu inajulikana kwa baadhi.
Chukua tahadhari Corona ipo, inaua na kama ukiendelea kushupaza shingo "UTAKUFA TU NA MIMI NASEMA UFE MAANA HAKUNA NAMNA SASA! CHAGUENI WAKUMSIKILIZA KISHA UWE MBAYUWAYU MAANA ANGEWASIKILIZA NDEGE WENZAKE ANGEANGUKIA KICHWA"
Binadamu Haitwi Mzoga,Kuwa na Lugha NzuriKama si ujinga vipi usimame barabarani for 2 hours kwa kusubiri mzoga upite,
UTV ndio kiboko, sauti nzuri,picha hd jamaa wako vizuri sana.Nakubaliana na wewe ila Kwenye sound wamechemsha kidogo
Wacha mihemko wewe. Lini mji huu watu waliacha kukusanyika. Ulishapita kule feri soko la samaki au k/Koo au nyumba za ibada ukaona Hakuna mikuaanyiko? Kila kitu kimerudi kawaida hiyo korona iko wapi? Ndio itoke huko Kenya ije Leo kwenye ibada ya taifa.?Tumeidharau sana COVID-19 tunaenda kukusanyika tena, basi huyu mungu ni wa peke yetu dunia nzima
Jiwe alishapa na akaenda kujiuguza chattle na akasavaivu. Ishu ni kwamba korona inabidi tuizoee ila tusiiogope.This time jiwe zamu yake kukipokea kikombe alichokinywea Nkurunzinza.
Stay tuned
Huo mwili kwanini wasiuzungushe mtaani kwa gari maalum kuliko kuwapa wananchi shida na kuwahatarisha na magonjwa ya mlipuko!?
Mkuu tumia lugha ya staha kidogo...hata kama humpendi ungebakia kimya ingekuwa vema pia.Kama si ujinga vipi usimame barabarani for 2 hours kwa kusubiri mzoga upite, wakati huo huo unajihatarishia maisha yako kwa maradhi ya maambukizi kama Covid-19.
Nenda na kule ferry soko la samaki au kariakoo sokoni kawape huo ujumbe, Kama hawajakukata mkia huo.Wanaoenda uwanjani wajihadhari sana corona bado IPO sana tu
[emoji23][emoji23]Tatizo huwa mnaangalia tbc.
Haujui kama tbc inakula sana umeme
Ujumbe huu pelela pia ferry soko la samaki.Natoa wito kwa wananchi watakaojitokeza kujihadhari na Corona kwa kuvaa barakoa
Huishaji visa we mwanamkeMzee Ndesamburo alipofariki hatukuweza kumuaga uwanja wa Memorial.
Ndio ila sauti imeanza kuzingua kidogoUTV ndio kiboko, sauti nzuri,picha hd jamaa wako vizuri sana.
kibri kimetujaa wanadamu kama tutaishi milele hapa dunian