Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
COVID-19Mgeni kutoka nje ya nchi tofauti na mabalozi ni Waziri Mkuu wa Burundi tu! Tatizo ni corona au diplomasia yetu imeshuka kiasi hiki? Tujitafakari na tujisahihishe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
COVID-19Mgeni kutoka nje ya nchi tofauti na mabalozi ni Waziri Mkuu wa Burundi tu! Tatizo ni corona au diplomasia yetu imeshuka kiasi hiki? Tujitafakari na tujisahihishe!
Niliona mmoja kachukua fomu...butiama.Mmmmh huu uwongo tyuuh, kwan wanaowapa teuzi wote wana uwezo? Lazima kuna jambo hapa.
Dogo usiulize maswali ya hivi hautapata hata utendaji w kijiji!Mgeni kutoka nje ya nchi tofauti na mabalozi ni Waziri Mkuu wa Burundi tu! Tatizo ni corona au diplomasia yetu imeshuka kiasi hiki? Tujitafakari na tujisahihishe!
Watu wameanza tayari kuja hapo?Naona mafuriko yanamsubiri rais wa watu uwanjani. Lissu peoples president ,hili halina mjadala.
Corona "vilasi" mwana haramu kweli. Hadi october jibu litapatina tu.Aliyesema wageni wengi watakuja. Simkumbuki ni nani. Si unajionea mwenyewe. Mgeni ni waziri mkuu wa Burundi peke yake. Wengine wamewakilishwa na mabalozi wao..chezea microscopic organism wewe.
Coronavirus umetuweza.
Binadamu wote à bas.
mkuu vipi, wajumbe wamekushughulikia nini?Mgeni kutoka nje ya nchi tofauti na mabalozi ni Waziri Mkuu wa Burundi tu! Tatizo ni corona au diplomasia yetu imeshuka kiasi hiki? Tujitafakari na tujisahihishe!
Na sauti yake hata haivutii kusoma wasifu watu wakaelewa. Jamaa mjuaji sana, kwani ukisema 1938 kuna ubaya gani, kila eneo ni kenda kenda kenda ...Elfu mia kenda ndio nini?
Wawili madaraka na makongoro walichukua fomu, lakini waliambulia patupu, mie sina interest za teuzi wala siasa.Niliona mmoja kachukua fomu...butiama.
Ila sio lazima bahna, mbona hujipigii chapuo ww na ndugu zako?
Aisee
Wana coronaMajirani wametususia mziba
Chezea wajumbe weyeeeeh, wameshtua mtu akili yake [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mkuu vipi, wajumbe wamekushughulikia nini?
maana aina hii ya maswali si yako ati!
Hahahahahakwani ukisema 1938 kuna ubaya gani, kila eneo ni kenda kenda kenda ...
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Sasa tatizo ni wajumbe au?Wawili madaraka na makongoro walichukua fomu, lakini waliambulia patupu, mie sina interest za teuzi wala siasa.
Huyu waziri mkuu Burundi atakuwa aliishi Tanzania. Maana anaongea kiswahili cha Tanzania kabisa.
Ninazo ndiyo. Kibailojia nimeumbwa na hormones,na endocrine system yangu inafanya kazi kama kawaida.Una nyege wewe 😂