Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Show show.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!!! Wamechakazwa vibaya saaanaWatu wanapigwa wanakimbia silahaView attachment 2893202View attachment 2893203View attachment 2893205
Tungepewa sisi kuongoza hii vita na si afrika kusini wangekuwa washakimbiaKusema ukweli nchi yetu iko vizuri sana kijeshi. Afrika Mashariki nzima wanatuelewa.
Hadi hurumaDah!!! Wamechakazwa vibaya saaana
Hiyo ni JW au ni m23?Dah!!! Wamechakazwa vibaya saaana
Unaujua huo mwandikoUkute hii imeandikwa kigari
Walio pigwa ni m23Hiyo ni JW au ni m23?
Yule mzee aliwamba vibaya sana sana sana hawana hamu naye mpaka keshoTungepewa sisi kuongoza hii vita na si afrika kusini wangekuwa washakimbia
kama kwa mwakibolwa 2013
Good sanaWalio pigwa ni m23
Mpaka kesho wanamkumbuka, hapo wanatafta huruma ya UNYule mzee aliwamba vibaya sana sana sana hawana hamu naye mpaka kesho
Acheni kusumbua raia wa Congo, muishi kwa amani vinginevyo kipigo kinawahusuView attachment 2893231
Sisi M23 tunaheshimu jumuiya zote zilizopo katika ukada wetu na hatuna tatizo lolote na jumuiya ya SADC hususani sehemu ya Jeshi la wananchi wa Tanzania ambao nao wameletwa katika operesheni katika ukanda wetu,
Lakini, Majeshi ya SADC yamekuwa yakitumia mifumo ya roketi nzito aina ya 122 MRLS (bm) ambayo inatumiwa na jeshi la Tanzania kulipua na kuua raia wema wa maeneo yetu,
View attachment 2893222
Ikiwa mashambulizi haya yataendelea, M23 haitaakuwa na namna nyingine bali kuzikamata silaha, kuziharibu pamoja na wanaozi operate (wanajeshi wa Tanzania) ili kujilinda.
Watulie wapewe dozi 😆😆View attachment 2893231
TAFSIRI KWA KISWAHILI
Sisi M23 tunaidhinisha kwamba, tunaheshimu jumuiya zote zilizopo katika ukanda wetu na hatuna tatizo lolote na jumuiya ya SADC hususani sehemu yenye Jeshi la wananchi wa Tanzania.
Lakini, Majeshi ya SADC yamekuwa yakitumia mifumo ya roketi nzito aina ya 122 MRLS (bm) ambayo inatumiwa na jeshi la Tanzania kulipua na kuua raia wema wa maeneo yetu,
View attachment 2893222
Ikiwa mashambulizi haya yataendelea, M23 haitaakuwa na namna nyingine bali kuzikamata silaha, kuziharibu pamoja na wanaozi operate (wanajeshi wa Tanzania) ili kujilinda.
Hicho kisago lazima ukimbieKwani wao hawajipendi ?!
Wewe utakuwa mgeni wa haya mambo,Acheni kusumbua raia wa Congo, muishi kwa amani vinginevyo kipigo kinawahusu
Na Jeshi letu litatekeleza kwa ukamilifu wajibu wake, kama mlizoea kuchezea majeshi mengine hapa mmeula wachuya
Wapendeni adui zenuPelekeni moto week 3 fungeni hesabu kabidhi maeneo kwa Serikali ya DRC chap chap