Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Waongeze na drones za kucorect hiyo mizingaHatuna shoo mbovu,👍👍👍
Bm 21 + heavy artilleries supported by ground SFs💪💪💪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waongeze na drones za kucorect hiyo mizingaHatuna shoo mbovu,👍👍👍
Bm 21 + heavy artilleries supported by ground SFs💪💪💪
Mrusi aweke silincer itakuwa poaWanalialia kisa BM-21 silaha ya kawaida kwa sasa kwenye nchi za Afrika. Sema Mrusi aliunda, hata vita ya Kagera hizi Grad ziliogopwa sana. Tatizo lake huwa zinakuja kwa kelele, unaisikia inaunguruma na hasa ikiwa usiku. Sasa hujui itatua wapi.
Mbona hamridhiki watu wanalalamikaWaongeze na drones za kucorect hiyo mizinga
Unamaanisha mtu mfupi wa kawe gentamycin!?Kabisa,,, sisi kwenye vita ya msituni hakuna yoyote anaetukaribia kuanzia africa mashariki na kati mpaka ukanda wa sadc,, hata huyo msouth labda angani lkn sio porini,, cha ajabu humu kuna watu wakianza kumpamba kagame utasema labda yeye Alexander the great, kumbe yeye mwenyewe mziki wa mbongo anaujua vere wele....
Ukitaka iwe hivo madelu apewe uwaziri wa ulinziJw wawachape effectively,
Wakimaliza wahakikishe wanajimilikisha migodi japo miwili ya madini
DuuhWakati hayo yanaendelea Congo wanapora watanzania wanaosafirisha bidhaa na magari ya mizigo,,wanapigwa mawe wanaporwa hela had chakula,,madereva mnaosafir Congo muwe na makini kumechafuka huko!
Sio poaAisee...
Wakicorrect hiyo mizinga maana yake efficience ya kuua itaongezeka na italunguza upoteaji wa mizinga bila kua au kuharibuMbona hamridhiki watu wanalalamika
Silencer ya nini tena wakati hiyo kelele ndio psychological torture. Yani unasema tuwafanye mbwa wa ulinzi wasibweke wang'ate kimyakimya wakati sauti za kutisha huogofya.Mrusi aweke silincer itakuwa poa
Ahahahah..safi sana..mkuu huu nii uwanja wako wa nyumban.😁. I really admire that.Wanalialia kisa BM-21 silaha ya kawaida kwa sasa kwenye nchi za Afrika. Sema Mrusi aliunda, hata vita ya Kagera hizi Grad ziliogopwa sana. Tatizo lake huwa zinakuja kwa kelele, unaisikia inaunguruma na hasa ikiwa usiku. Sasa hujui itatua wapi.
Waw! Nimekumbuka HIMARS ilivomtesa Russia. 😀 😀Hatari sana, wapigwe hadi wakimbie kama enzi za JK
HeeeeTPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Unataka tutumie manati?Kwanini mnawapiga na silaha nzito hivyo
Mrusi yuko vizuri asiweke silincerSilencer ya nini tena wakati hiyo kelele ndio psychological torture. Yani unasema tuwafanye mbwa wa ulinzi wasibweke wang'ate kimyakimya wakati sauti za kutisha huogofya.
Uko vitani, unasikia mizinga ya adui inaunguruma angani, hujui itadondokea wapi ila moja unaona imedondoka mita 30 mbele na kuna watu wanapiga yowe kumaanisha wameumia. Mzinga mwingine umedondoka mbali yenu ila miti imevunjika, kwingine unasikia mwangwi. Utakaa hapo?
Wajerumani waliwahi unda ndege inaitwa Junkers Ju-87 Stuka, ilikuwa inapiga kelele wakati wa kushambulia na zinatisha.