T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Asante mkuuAhahahah..safi sana..mkuu huu nii uwanja wako wa nyumban.😁. I really admire that.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuAhahahah..safi sana..mkuu huu nii uwanja wako wa nyumban.😁. I really admire that.
Ni silaha ndogo ila ina mvumo unaoogofya unaoleta mawenge.Wanalialia kisa BM-21 silaha ya kawaida kwa sasa kwenye nchi za Afrika. Sema Mrusi aliunda, hata vita ya Kagera hizi Grad ziliogopwa sana. Tatizo lake huwa zinakuja kwa kelele, unaisikia inaunguruma na hasa ikiwa usiku. Sasa hujui itatua wapi.
Vita sio rahisi hivyoTungepewa sisi kuongoza hii vita na si afrika kusini wangekuwa washakimbia
kama kwa mwakibolwa 2013
Dawa imeingia tayariTPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Hiyo sio vita hicho ni kikundi cha wahuni kama panya road wa darVita sio rahisi hivyo
Kunguru hao waoga kauli za mtu muoga BM-21 silaha ndogo sana na hata FARDC pia wanazo zingepelewa BM-27 na BM-30 si wangekimbia hovyo ila BM-21 zinatisha pamoja na udogo wake na zilichangaia sana ushindi wa vita vya Kagera.View attachment 2893231
TAFSIRI KWA KISWAHILI
Sisi M23 tunaidhinisha kwamba, tunaheshimu jumuiya zote zilizopo katika ukanda wetu na hatuna tatizo lolote na jumuiya ya SADC hususani sehemu yenye Jeshi la wananchi wa Tanzania.
Lakini, Majeshi ya SADC yamekuwa yakitumia mifumo ya roketi nzito aina ya 122 MRLS (bm) inayolipua na kuua raia wema wa maeneo yetu, wanaotumia silaha hizo ni wanajeshi kutoka Tanzania.
View attachment 2893222
View attachment 2893239
Ikiwa mashambulizi haya yataendelea, M23 haitaakuwa na namna nyingine bali kuzikamata silaha, kuziharibu pamoja na wanaozi operate (wanajeshi wa Tanzania) ili kujilinda.
tofauti yake ni nini? na sisi tunazo zipi?Kunguru hao waoga kauli za mtu muoga BM-21 silaha ndogo sana na hata FARDC pia wanazo zingepelewa BM-27 na BM-30 si wangekimbia hovyo ila BM-21 zinatisha pamoja na udogo wake na zilichangaia sana ushindi wa vita vya Kagera.
Acha kuharibu uzi kisa uchawaJWTZ chini ya maza iko poa sana.
Ni mifumo ya kubeba na kurusha rokect nyingi kwa mkupuo.tofauti yake ni nini? na sisi tunazo zipi?
Kwahiyo mkuu wataka kusema hiyo hiyo Bm21 inawatosha??Silencer ya nini tena wakati hiyo kelele ndio psychological torture. Yani unasema tuwafanye mbwa wa ulinzi wasibweke wang'ate kimyakimya wakati sauti za kutisha huogofya.
Uko vitani, unasikia mizinga ya adui inaunguruma angani, hujui itadondokea wapi ila moja unaona imedondoka mita 30 mbele na kuna watu wanapiga yowe kumaanisha wameumia. Mzinga mwingine umedondoka mbali yenu ila miti imevunjika, kwingine unasikia mwangwi. Utakaa hapo?
Wajerumani waliwahi unda ndege inaitwa Junkers Ju-87 Stuka, ilikuwa inapiga kelele wakati wa kushambulia na zinatisha.
So unadhani nini shida pale DRC?Ni mifumo ya kubeba na kurusha rokect nyingi kwa mkupuo.
BM-21 mrl 122mm ni mfumo mwepesi(light) wa kurusha rocket nyingi unaweza kurusha rocket mpaka 50 Km.
BM-27 mrl 220mm ni mfumo wa wastani(medium) wa kurusha rocket nyingi,unaweza kurusha rocket kutoka 0.5 mpaka 70 Km.
BM-30 mrl 300 mm mfumo mzito wa kurusha rocket nyingi unaweza kurusha rocket mpaka km 120, yaani unaweza kuzirusha rocket kutoka Goma mpaka Kigali au kutoka Rusumo mpaka Kigali.Kuna kipindi mwezi 12 mwaka jana Rais Felix Tshisekedi wa DRC alinikuliwa akisema anaweza kuipiga Kigali na mabomu bila kuvuka mpakusoma ka kama ataendelea kuvuga usalama East DRC hii mifumo FARDC pia wanayo
Hi mifumo yote TZ ipo mingi tu ya kutosha.
Apigwe nani wewe?watapigwa hao mpaka chooni kwao.TPDF wamepewa onyo na waasi vinginevyo watakiona cha mtema kuni
BM-21 ndio level yao na hata mortars wakipewa 80, 81 au 82mm zinawatosha. Hawana level ya kusumbua hadi utumie mizinga mikubwa na ndege za kisasa.Kwahiyo mkuu wataka kusema hiyo hiyo Bm2 inawatosha??
Hawa wanamgambo wa KDF walienda tu kujivinjari na mabinti wa kikongo..hamna kitu walifanyaKenya walikuwa pale cha ajabu ni kama walienda kupigana ngumi za mtaani.
Keep it up TPDF, taasisi pekee niliyo na imani nayo linapokuja suala la uaminifu kwa nchi.