M23 wailaumu TPDF kutumia silaha nzito za kivita kulinda amani DRC
Wanalialia kisa BM-21 silaha ya kawaida kwa sasa kwenye nchi za Afrika. Sema Mrusi aliunda, hata vita ya Kagera hizi Grad ziliogopwa sana. Tatizo lake huwa zinakuja kwa kelele, unaisikia inaunguruma na hasa ikiwa usiku. Sasa hujui itatua wapi.
Hivi nyinvyi mgambo wa jwtz bado mnatumia hizo takataka za BM - 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mmeendanazo kongo kuondoa vyuma chakavu na mabomu yaliyo expire kwenye maghara yetu yasije kutulipukia kama ilivyo tokea siku za nyuma..
 
Hivi nyinvyi mgambo wa jwtz bado mnatumia hizo takataka za BM - 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mmeendanazo kongo kuondoa vyuma chakavu na mabomu yaliyo expire kwenye maghara yetu yasije kutulipukia kama ilivyo tokea siku za nyuma..
Hizo unazoita takataka ndo mabwana zako M23 wanalalamika kuwa ni silaha nzito! Umekaa kwa shemeji yako unasubiri dadayako aachiwe hela ya matumizi umuombe buku la bando uje kuandika utumbo jf!
 
Hizo unazoita takataka ndo mabwana zako M23 wanalalamika kuwa ni silaha nzito! Umekaa kwa shemeji yako unasubiri dadayako aachiwe hela ya matumizi umuombe buku la bando uje kuandika utumbo jf!
Ndiyo maana nikauliza ...maana hayo mavyuma chakavu haya staili kuwa tz kwa sasa yalisha tuanithi mara mbili nchini mwetu....mbagara na gongolamboto ....si wakati wa kuwa nayo hivyo kama yapo yapelekwe kongo kupigia panya road wa m23 kisha myatupe huko huko msirudi nayo nchini.
 
Hivi nyinvyi mgambo wa jwtz bado mnatumia hizo takataka za BM - 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mmeendanazo kongo kuondoa vyuma chakavu na mabomu yaliyo expire kwenye maghara yetu yasije kutulipukia kama ilivyo tokea siku za nyuma..
Kuandika kwenyewe hujui, unajichekesha chekesha kama binti, ujuaji mwingi, tatizo ni nini?

Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ndiyo maana nikauliza ...maana hayo mavyuma chakavu haya staili kuwa tz kwa sasa yalisha tuanithi mara mbili nchini mwetu....mbagara na gongolamboto ....si wakati wa kuwa nayo hivyo kama yapo yapelekwe kongo kupigia panya road wa m23 kisha myatupe huko huko msirudi nayo nchini.
Bm 21 mrusi anazitumia vita ya Ukrain
 
Back
Top Bottom