M23 wailaumu TPDF kutumia silaha nzito za kivita kulinda amani DRC
Kunguru hao waoga kauli za mtu muoga BM-21 silaha ndogo sana na hata FARDC pia wanazo zingepelewa BM-27 na BM-30 si wangekimbia hovyo ila BM-21 zinatisha pamoja na udogo wake na zilichangaia sana ushindi wa vita vya Kagera.
Naam.. ilikuwa 1979 adui baada ya kupigwa kipigo kumchakucha walisikika wakilia na kukimbia wakiwa viwete kwa kilugha chao: kakokola tondeka nyuma the rest is history, mbarara wanaijua sana BM -21, kazi anayo kunguru majuto yake ni ya daima piga kunguru hao! Piga kunguru hao! Mpaka mpaka maji itoke kwa shimo la kiuno.
 
Acha ujuaji, acha kujichekesha chekesha kama binti, uzi wa mambo ya kijeshi huu unajichekesha kabinti? Dunia imechafuka siku hizi kuna watu wanaoa wanaume wenzao.
Kweli ila mimi nitakuoa ukisha pokea baraka za papa...mimi ni basha mzoefu komredi
 
Silencer ya nini tena wakati hiyo kelele ndio psychological torture. Yani unasema tuwafanye mbwa wa ulinzi wasibweke wang'ate kimyakimya wakati sauti za kutisha huogofya.

Uko vitani, unasikia mizinga ya adui inaunguruma angani, hujui itadondokea wapi ila moja unaona imedondoka mita 30 mbele na kuna watu wanapiga yowe kumaanisha wameumia. Mzinga mwingine umedondoka mbali yenu ila miti imevunjika, kwingine unasikia mwangwi. Utakaa hapo?
Wajerumani waliwahi unda ndege inaitwa Junkers Ju-87 Stuka, ilikuwa inapiga kelele wakati wa kushambulia na zinatisha.
Ilikua inapiga king'ora fulani hivi mji mzima unazizima kumbe ni kadege kamoja🤣🤣
 
Ni hizo hizo, wantumia hadi SU 25, NA T70 silaha za zamani but zinaua kuliko za mwaka 2024.
View attachment 2893888View attachment 2893889
Kama walizitumia basi ni safisha sklepa ...kama nilivyo pendekeza kwa jwtz nao wafanye hivyo ila kwa mrussi ni tofauti wao wameondoa vyuma chakavu vyote na kuunda vitu safi na vipya ndiyo maana NATO WANALIA
..kitu kingine usicho jua wewe ni aina ya milipuko silaha siyo mashine tu na aina ya milipuko pia
 
Kweli ila mimi nitakuoa ukisha pokea baraka za papa...mimi ni basha mzoefu komredi
Ndio maana nilianza kuhisi una tatizo, nenda katafute maana ya hilo neno ambalo wewe umeona ni ufahari kujitangaza humu halafu utajua kwamba sina kosa lolote nikisema wewe ni SHOGA.

Ndio sababu hata kicheko chako mwanzo hakukiwa cha kiume, pole mkuu, endelea kuwa basha/shoga.

Dunia imefika sehemu ambayo mtoto wa kiume anajivunia kuwa shoga, tena anajiita shoga mzoefu kabisa. Aibu!
 
Ni hizo hizo, wantumia hadi SU 25, NA T70 silaha za zamani but zinaua kuliko za mwaka 2024.
View attachment 2893888View attachment 2893889
Kuna new mod yake
 
Kila siku tunawaambia humu Jeshi la Tanzania lipo mbali sana ki kanda.
M23 na washirika wake ni watoto wadogo sana mbele yetu.
Jeshi letu halina maana kama halikutafuti wewe.

Jeshi la Tanzania ni kama nyuki wa misitu ya selous hapigwi busu.

Long Live TPDF
 
Katika vitu ambavyo kagame na m23 yake hawakitaki kiwepo congo,ni tpdf,tpdf wanajua kubonda bana!!..ile 2013 m23 hawakuwahi kujua Kama makombora huwa yanapigwa vile,yaani heavy,muda wote,hakuna muda wa kula
TPDF heshima yao anaijuwa Museveni. Na Museveni ndiye aliyewalea akina Kagame. Naamini hata Kagame anajuwa hilo. Hawezi kuleta mbambamba na Tanzania.

Akifanya mchezo tunamtoa hata Kigali kama tilivyomtoa Iddi Ami Dada pale Kampala mwaka 1979
 
Hivi unajua kilichowakuta wanajeshi wa kenya kule Somalia.Hoa m23 hawana tatizo na TPDF ndio mana wametoa warning kuwa wata retaliate kama hivyo vitendo vitaendelea tena kwa kishindo.Ngoja tusubiri majibu kutoka kwao ndo tutaweka hitimisho
Hufai kuwa mzalendo wa nchi hii. Umejaa skepticism tu. Wewe pekee ndio unajiona kuwa na uwezo wa kuforesee hiyo risk kuliko wanajeshi wetu?
 
Jwtz halijawah kuniangusha bana. Cku zote nilikuwa najisemea hawa wazee kwanini wasikae na serIkali ya Congo tuingie nao mkataba tunaweka ulinz madin yanayopatikana tunagawana. Unapeleka vikosi vya kutosha biashara inawekwa mezan untrain vijana wanaenda front ajira hiyo. ***** Kagame
 
Back
Top Bottom