Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
We mpumbavu ukisalimiwa uwe una jibu ...ujamboKuandika kwenyewe hujui, unajichekesha chekesha kama binti, ujuaji mwingi, tatizo ni nini?
Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpumbavu ukisalimiwa uwe una jibu ...ujamboKuandika kwenyewe hujui, unajichekesha chekesha kama binti, ujuaji mwingi, tatizo ni nini?
Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Siyo hizo tunazo tumia sisi wacha upumbavu hizi tunazo tumia ni zile zilizo expire na kutulipukiaBm 21 mrusi anazitumia vita ya Ukrain
We mpumbavu ukisalimiwa uwe una jibu ...ujambo
Hizbu sio sehemu ya jeshi LA Lebanon na hawapo kwenye jeshi la serikali.....au hujui historia ya kuanzishwa kwake???Bro hizbollah kuwafananisha na m23 ni matusi.
Hizbollah ni sehem ya jeshi la Lebanon.
Hamas ni wapigania Palestina.
M23 ni mamluki tu,waache watandikwe.
Hili sasa ndiyo jeshi linalotambulika siyo lile la EAC likiongozwa na Kenya. Tutawapa kipigo kama kile cha mwaka 2013 enzi za Kamanda MwakibolwaTPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Mrusi ana new modelSiyo hizo tunazo tumia sisi wacha upumbavu hizi tunazo tumia ni zile zilizo expire na kutulipukia
Waziri wa ulinzi ana kazi gani jeshini acha utoto wewe mduduUkitaka iwe hivo madelu apewe uwaziri wa ulinzi
Binamu jamaa yako huyo mnyarwanda mwenzioTangu lini wanyarwanda wakalinda mali za wakongomani........!!!!!;
Kenya hata ile ya Westgate walienda kuiba sio kuokoaHili sasa ndiyo jeshi linalotambulika siyo lile la EAC likiongozwa na Kenya. Tutawapa kipigo kama kile cha mwaka 2013 enzi za Kamanda Mwakibolwa
Huyu mtu mfupi itabidi tumpeleke rwanda, na slim alivyo hapend watuTangu lini wanyarwanda wakalinda mali za wakongomani........!!!!!;
Wajipange vizuriWatapata kipigo alichopata Amini wa Uganda.
Mtu mfupi Gentamycin akikusikia unamsena vibaya slimAkijichanganya atapigwa awamu hii , uzuri CDF wa Sasa hataki utani
Ni hizo hizo, wantumia hadi SU 25, NA T70 silaha za zamani but zinaua kuliko za mwaka 2024.Siyo hizo tunazo tumia sisi wacha upumbavu hizi tunazo tumia ni zile zilizo expire na kutulipukia
euro-sd.com
Kelele za mbwa koko tuKwa war mongers, hii meseji mmeisoma vyema?
Tunaandaliwa kisaikolojia na sababu imeshatafutwa
Ngoja tusubiri mwisho wakeHawa watakuja kutaabisha watoto wetu. hawataishia Congo.
Ngoja tu tumalizane nao, ila ningependa wawe wastaarabu tumalizane kistaarabu ingawa hawaonyeshi dalili ya kuwa wastaarabu.
Time is their worst enemy.
Amini nakuambia hilo linawezekanaTPDF wamepewa onyo na waasi vinginevyo watakiona cha mtema kuni