Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja niende Rugalo nipite getini pale kiwapongeze askari wetu.[emoji123]
mniombee nisipate ulemavu wowote[emoji120]
Wanajaribu kumpangia adui silaha ya kutumia?? Wanachekesha sana jamaa hawa!!!TPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Basi Mbinyo utakuwa umeanza kuwaingia hao wahuniTPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Inabidi wamalizwe biashara ifungwe.Hatari sana, wapigwe hadi wakimbie kama enzi za JK
Ww mbona unaubishi wa kitoto,yaani unaambiwa kitu unakubali halafu uzi huo huo unakataa ulichoambiwa ulisema Russian hawatumii bm21 umeletewa source umekubali wanatumia umebadilisha mada tena imekua milipuko tofauti usitute uchizi wako humo unajaza seva tu.Kama walizitumia basi ni safisha sklepa ...kama nilivyo pendekeza kwa jwtz nao wafanye hivyo ila kwa mrussi ni tofauti wao wameondoa vyuma chakavu vyote na kuunda vitu safi na vipya ndiyo maana NATO WANALIA
..kitu kingine usicho jua wewe ni aina ya milipuko silaha siyo mashine tu na aina ya milipuko pia
Drc hawatumii bongo vzr kwa utajiri huo wanashindwa kuajiri mecernaries wa kuwa assasinate hao wawili?mr slim na m7 wakifa kongo inaweza kutulia angalau.
Kwani mtema kuni alifanya nini?TPDF wamepewa onyo na waasi vinginevyo watakiona cha mtema kuni
Mm sijui hata jamaa wana nn tu,? yaani kila siku ni kulialia tu, kuna kipindi vikundi vya wizi vya slim na m7 walizichapa ndani ya kongo, aisee nilishangaa mnooo.Drc hawatumii bongo vzr kwa utajiri huo wanashindwa kuajiri mecernaries wa kuwa assasinate hao wawili?
Ukosefu wa akili wa serkali yao kwa kiwango cha juuMm sijui hata jamaa wana nn tu,? yaani kila siku ni kulialia tu, kuna kipindi vikundi vya wizi vya slim na m7 walizichapa ndani ya kongo, aisee nilishangaa mnooo.
Naona sasahivi tumepeleka Luteni Kanali kama msimamizi wa show.. Kipindi kile tulipeleka Brig JeneraliTungepewa sisi kuongoza hii vita na si afrika kusini wangekuwa washakimbia
kama kwa mwakibolwa 2013
Tumewahi kuwapiga kwenye hiyo hiyo misitu ya Kongo 😅 😅 😅Hao jamaa wametupa green light ili waki countermeasure tusianze kulia lia hapa.Noana wabongo wenzangu tunalisifia jeshi letu lakini tumesahau kilichowakuta wanajeshi wetu miaka 2 iliyopita.Hao M23 ni watabe kwenye gorilla warfare na misitu ya huko congo ni nyumbani kwako ngoja tusubiri retaliation yake itakuwa na ukubwa upi
Nikuletee na mimi link au unaleta ubishi mafii ya bataWw mbona unaubishi wa kitoto,yaani unaambiwa kitu unakubali halafu uzi huo huo unakataa ulichoambiwa ulisema Russian hawatumii bm21 umeletewa source umekubali wanatumia umebadilisha mada tena imekua milipuko tofauti usitute uchizi wako humo unajaza seva tu.
brig general ilikuwa ni misuse of resources, huyo luten kanali anawatosha kabisa.Naona sasahivi tumepeleka Luteni Kanali kama msimamizi wa show.. Kipindi kile tulipeleka Brig Jenerali
Una roho ngumu we jamaa.Hiyo Goma na kivu si watuuzie tu iwe mikoa ya Tanzania Ili Hao M23 tuwadeal effectively?
Naam, nimependa hii.. Uimara wa TPDF ndio hapa unaonekana.brig general ilikuwa ni misuse of resources, huyo luten kanali anawatosha kabisa.
porojoKusema ukweli nchi yetu iko vizuri sana kijeshi. Afrika Mashariki nzima wanatuelewa.