inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hili na si ili,nyie memkwa mna shida sana!MK254 mzee wa kenya unajisikiaje kuhusu ili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili na si ili,nyie memkwa mna shida sana!MK254 mzee wa kenya unajisikiaje kuhusu ili
Wewe utakuwa mjedaSilencer ya nini tena wakati hiyo kelele ndio psychological torture. Yani unasema tuwafanye mbwa wa ulinzi wasibweke wang'ate kimyakimya wakati sauti za kutisha huogofya.
Uko vitani, unasikia mizinga ya adui inaunguruma angani, hujui itadondokea wapi ila moja unaona imedondoka mita 30 mbele na kuna watu wanapiga yowe kumaanisha wameumia. Mzinga mwingine umedondoka mbali yenu ila miti imevunjika, kwingine unasikia mwangwi. Utakaa hapo?
Wajerumani waliwahi unda ndege inaitwa Junkers Ju-87 Stuka, ilikuwa inapiga kelele wakati wa kushambulia na zinatisha.
Kipigo cha kwenda 😂Kusema ukweli nchi yetu iko vizuri sana kijeshi. Afrika Mashariki nzima wanatuelewa.
Kipigo cha kwenda 😂Kusema ukweli nchi yetu iko vizuri sana kijeshi. Afrika Mashariki nzima wanatuelewa.
JWTZ - Wakandaji wakipelekwa biashara inaisha mapema mnoNaskia JWTZ walipeleka under 20 years hao wahuni wamesha anza kulalamika je wakienda wakina Kibu D itakuaje sasa..
Hio mizinga ni chokonozi hata kama wahuni waijificha lazma watachomoka mashimoni full wengeSilencer ya nini tena wakati hiyo kelele ndio psychological torture. Yani unasema tuwafanye mbwa wa ulinzi wasibweke wang'ate kimyakimya wakati sauti za kutisha huogofya.
Uko vitani, unasikia mizinga ya adui inaunguruma angani, hujui itadondokea wapi ila moja unaona imedondoka mita 30 mbele na kuna watu wanapiga yowe kumaanisha wameumia. Mzinga mwingine umedondoka mbali yenu ila miti imevunjika, kwingine unasikia mwangwi. Utakaa hapo?
Wajerumani waliwahi unda ndege inaitwa Junkers Ju-87 Stuka, ilikuwa inapiga kelele wakati wa kushambulia na zinatisha.
CHa kushangaza Mali na rasilimali za nchi zinakadhiwa waarabu na wazungu wanapiga mihela halafu vijana kuanzia wasiojua kusoma Hadi wenye digrii 2 wote ni boda waliotoboa ni machawa, sasa sijui JW hawaoni Hadi wameweza kuona kule mbali congo lakini mijizi tumeifuga humu ndani!Kusema ukweli nchi yetu iko vizuri sana kijeshi. Afrika Mashariki nzima wanatuelewa.
Tulia wewe jirani awe na amani ili biashara yetu ya bandari ikue vizuri. Halafu uache kuipangia nchi vipaumbele, au wewe ni sehemu ya hao M23 sio?CHa kushangaza Mali na rasilimali za nchi zinakadhiwa waarabu na wazungu wanapiga mihela halafu vijana kuanzia wasiojua kusoma Hadi wenye digrii 2 wote ni boda waliotoboa ni machawa, sasa sijui JW hawaoni Hadi wameweza kuona kule mbali congo lakini mijizi tumeifuga humu ndani!
Hivi hilo dubwana pia tunalo kumbe?Je tukitumia KN 09 itakuwaje?
DRC ina mamluki wengi na hawana uzalendo overWako huko muda wote,
Hao M23 huwa wanapigwa kila siku wanarudi kwa baba yao.
Wakiona Jwtz wametimka ndo wanarudi tena na ujinga wao.
Jeshi la Drc ni la kibwege sana sijui wasaidiwe vipi.
Kama kukusanya mazao etiPelekeni moto week 3 fungeni hesabu kabidhi maeneo kwa Serikali ya DRC chap chap
Mapema kabisa walichukua enzi za Uncle Magu pale Kaskazini mwa KoreaHivi hilo dubwana pia tunalo kumbe?
Uzuri siku hizi hana matusi aise. Binafsi nilishangaa alipelekwa na nani kwa mganga!!! Maneno yake yalikuwa yanaunguluma kama mashine ya kusaga aise. GENTAMYCINE ,njoo basiGentamycin akikusikia mkuu mimi simo
M23 watapoteana
Tanzania Army Employs ‘Saba Saba’ Guns Against M23 RebelsTPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Museveni na Kagame ni majambazi ndani ya Kongo , na shughuli zao ni kufadhili makundi ya wahalifu kuvuna dhahabu na magogo ya mbao , maliasili zinazovunwa kijambazi na hazinufaishi serikali ya CongoMm sijui hata jamaa wana nn tu,? yaani kila siku ni kulialia tu, kuna kipindi vikundi vya wizi vya slim na m7 walizichapa ndani ya kongo, aisee nilishangaa mnooo.
Umesema ukweli ,kinachotakiwa ni kujipa sisi kipaumbeleCHa kushangaza Mali na rasilimali za nchi zinakadhiwa waarabu na wazungu wanapiga mihela halafu vijana kuanzia wasiojua kusoma Hadi wenye digrii 2 wote ni boda waliotoboa ni machawa, sasa sijui JW hawaoni Hadi wameweza kuona kule mbali congo lakini mijizi tumeifuga humu ndani!