eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kenya walikuwa pale cha ajabu ni kama walienda kupigana ngumi za mtaani.
Keep it up TPDF, taasisi pekee niliyo na imani nayo linapokuja suala la uaminifu kwa nchi.
Wazee wa maboflo hawana walijualo.